Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Mwanachama wa kundi la wapuuzi 46... Ndio maana umekimbia hapa kutetea mwanaume mwenzako..

Wala nchi nyuzi kama hizi hautawaona... Hawa akina Barbarosa ndio wanakula nchi, na kamwe kwenye thread za kuteteana kama hizi huwezi kuwakuta.. Nyie mburula mnaotumwa kwa ujira hapa leo mtakesha kutetea..
Punguza mhemuko wewe....ina maana Makamba kamzidi ufisadi yule mgombea wenu wa urais??
 
[QUjingalao, post: 15483887, member: 56995"]Mbona lowassa aliwafaa huko Chadema..
chungeni kauli zenu
We jamaa Wa hovyo kweli, unaleta uchama hata mambo ya kitaifa.[/QUOTE]
Facts hua haziangalii utaifa au uchama bali zinabaki kuwa facts tu.

Kama mligeuza ufisadi kuwa ni sifa ya kugombea urais basi na leo mvumilie tu!
 
Na ile kambi ya pale ufipa iliyokuwa na wakorea,waangola na wakenya iliishia wapi?
Wale si mliwatia ndani au?? Mimi sijui walipo na huko walipo itakuwa walishalipwa au makubaliano yao yalishafikiwa..

Nyie maskini ya Mungu mpaka mnaombewa pesa majukwaani teh teh teh teh
 
Akipgwa Chini Uwaziri Makamba Ntatembea Uchi Jf Nzima
inawezekana akaendelea kubaki na uwaziri kama makubaliano ya kamati kuu yalivyotanabaisha , mbona Escrow Team iko madarakani ? lakini tunachotaka hapa ni kujua nani ni nani .
 
Naona tunagombana bure hakuna mmoja wetu anajua ukweli wa suala hili, waliotajwa kuhusika na kashfa hii wapo, tuwape muda, nina imani kutokana na aliyehusishwa ni mmoja wapo ni waziri katika serikali yetu, na sidhani kama atakaa kimya bila kulitolea maelezo, maana kama tunavyoona hii serikali ya hapa kazi tu na kutumbua majipu.
 
mpaka sasa mwanadada mange kule mtandao wa insta anapost clip na picha mbalimbali za ushahidi wa jinsi mwanadada mwamvita anavyotafuta watu wenye pesa na kuwaunga na kaka ake watoe hongo wapate dili serikalini. kuna muitaliano anadai usd 1million baada ya kuahidiwa dili la kujenga bandari ya bagamoyo
picha na sauti nashindwa upload
Hiyo muitaliano kama ni mtu honesty kwa nini alitoa rushwa kama ni kweli?
 
Uongo mwengine hauna hata mshiko.
Hata kama kuna voice note..watu wanateng.eneza kuchafuana
Bandari ya Bagamoyo inahusu nini Italy.
Mradi ule upo wazi ni katia ya Serikali ya TZ China na Oman funds...na contractor ni wachina wenyewe wanao fadhili....
Uongo mwengine bwana...na watu kwa chuki wanakubali kula ndoana ya uongo.
Basi hata hamutafuti historia ya kujengwa bandari ya bagamoyo?
Sasa huyo mtaliano anahusu nini ? Hata akilini haingIii.
Huyu mwanamke mange ni muongo sana na hupendda kutukana watu na kuchafua watu bure....anafanya hayo akiwa nje ya nchi....
Ni mjuba kweli kweli akianza kutukana basi utafikiri hana vocublary nyengine isipokua matusi.....namna alivo mtukana Hoyce Temu na kumdhalilisha hafai kabisa kushabikiwa...
Wakati anamtukana ndg lowassa watu walishangilia sana, acha upande wa pili uisome no. Kidogo
 
Aweke more evidences na amtaje huyo aliyemwambia kuhusu uchafu wa makamba. Sio kuchafuana bali haki itendeke.
Mbona kama umepanic mkuu? Tushaambiwa kuwa kuna zaidi yanakuja
hata hivyo vyombo vya usalama ndio vyenye jukumu la kufuatilia zaidi
yeye ameonesha njia tu.
 
2792fee30822779aa40f9eb692760888.jpg

KUMBE HAYUPO BONGO NDO MANA KAJIAMINI KUFUNGUKA
 
This is called 'framing someone'. The conversation was very leading. In some very increminating questions Mwamvita simply said "are you in your right state of mind?" When Bagamoyo was mention she also said "its not Bagamoyo......."
 
Katika hali isiyo ya kawaida, Mwanadada anayejulikana katika Mitandao ya Kijamii, Mange Kimambi, amewachana January Makamba na Mwamvita katika Instagram page yake kwa kuweka sauti zilizorekodiwa wakipanga deal na mfanyabiashara wa kiitaliano ambaye amelizwa dola milion 100 ili apewe deal la kujenga port Bagamaoyo.

Jaribu kupitia..
Enzi za JK ndio sikupata deal mimi billion moja jamaa kapigwa
(Mazungumzo ya Sauti yameambatanishwa)

005b63a5fa8710a5ceac0c39f51af7d0.jpg
 
Sauti siyo ya Mtaliano bali ni mtu toka Middle East yaweza kuwa Misri, Myahudi, Mjordani, Mirani, Mpalestina au Mlebanoni. Mtaliano nimekataa kutokana na Accent yake.
 
Hawa makambas no wonder mange aliwahi kusema huyu binti wa voda alimfanyia figisu mumewe mzungu aliyekuwa dg wa sgs tz kuondolewa nchini na uhamiaji.
 
Kwa watu ambao hajawahi kufanya deal lolote na serikali hawawezi kujua umuhimu wa connection kama hio muitalianilo aliyokua anaitafuta
 
Muda mwingine namhurumia Magufuri japo sikumpigia kura.
 
Back
Top Bottom