Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Ungesikiliza clips tu unajua huyo njemba sio mtaliano...lafdhi yake ya ki Nigeria au South Africa.
Tafuta wataliano wakiongea ki english utajua hizo cilps zime editiwa kuchafua watu.
Na sauti hizo mbili haziendani moja ya huyo njemba ni live na nyengine ni ya audio au simu.
Zaidi njemba he is not mtaliano....
Sauti tu inajulisha hilo ni tapeli fulani la nigeria .


mkuu kuna unalolijua zaidi?
Tafadhali funguka tu nasi tupate kujua kinachoendelea in deep.
 
Huyo muitaliano alijua hayo?? Ye kaambiwa kaka angu mtu mkubwa ukitaka unapata akaamini!! Kumbe kakutana na mapapaa msofee!! Ukimuongela Mange kumbuka hata saa mbovu husema ukweli mara mbili ktk saa 24
Sikioiza hizo clips then uje tena
Ni wazi wa mchana njemba sio mtaliano kabisa kabisa ..mtaliano akiongea tu unawajua tena alie kasirika basi utasikia tu bono bono sinyore..hahahhhahahah tumieni akili kidogo sio mnameza tu
Hata hio voice note moja ni direct recoding nyengine ya simu...kujua ni kitu kimekua edited..
 
Katika hali isiyo yakawaida mwana dada anayejulikana katika Mitandao ya Kijamii Mange Kimambi amewacha January Makamba na Mwamvita katika Instagram page yake kwa kuweka sauti zilizo rekodiwa wakupanga deal na mfanya biashara wa kiitaliano ambaye ameliza dola milion 100 ili apewe deal lakujenga port Bagamaoyo jaribu kupitia.
005b63a5fa8710a5ceac0c39f51af7d0.jpg



facts kama hizi zinapaswa kufikishwa mahala husika kwa hatua zaidi na kuepusha ushabiki wa mitandaoni tii usioleta tija mbali na hukumu za vidolee
 
wewe acha hizo,huyo mzungu kaliwa hela zake,sio kwwamba hiyo tender alipata ila aliambiwa angepata so akatowa rushwa kwa March,hapo upo?
Na wewe kwa akili yako bila kiriba unafikiri huyo anae ongea ni mzungu ? Tena mtaliano ? Tumia akili kidogo kufikiri
 
Cc khasim Majaliwa.....@John Pombe Magufuli......@Ombeni Sefue......
Wakuu.....tushirikiane kuwatag hawa viongozi.....tunaweza kusaidia chochote..........
****
HII NDIYO FAIDA YA MITANDAO HURU /
MAOVU YANAFICHULIWAAAA...!!
*NA VIONGOZI WAKUU WANAPATA KUJUA,AU WANGELIJUAJE?
 
Naamini January hawezi Fanya hayo!!, ngoka tuvute wakati, lakini kumbukeni mti wenye matunda mazuri ndio upokea mawe mengi!. Wawekezaji wengi huwafata viongozi, wakikosa utafuta pakutolea stress zao!!. Pole Brother January Makamba, usijari, maana ili uwe bora lazima ukubari kuumia.
 
hahahahaha Hata Sepp Blatter baada ya kugombana na MICHEL PLATIN,ilibidi Blatter nae ambalast Platin kuwa alimtumiaga euro milion moja,hiyo ikamfanya Platin nae achungunzwe na hata kufungiwa na hakugombea urais.Hapa kinachomatter ni kuwa habari ni ya kweli,ugomvi wao umerahisisha tu sisi tumepata kujua mauozo.March ni mpokea rushwa.
Iyo habari ni majungu tu hakuna ukweli
 
Kuna Dada mmoja machachari sana asie Na hata lepe LA woga anaitwa mangekimambi hatimae Leo ameanza kutoa maelelzo yenye ushahidi huko Instagram kuhusu ufisadi WA January Makamba akishirikiana Na Dada yake Mwamvita Makamba
Inasemekana wamekua wakiwahadaa wawekezaji WA kimataifa kua watapata deal za kaz serikalini Na kuchukua pesa Na badae deal izo kufail....yapo mengi wengne wataongeza....ni hatari
 
Majungu katika muktadha upi??
Je ni uzushi hamna kitu ka hicho??
Je ni majungu sababu Mange kasnitch??
He ni majungu sababu Mange kasema baada ya kugombana na Mwamvita??
Nafkiri vyombo vichunguze kujiridhisha saa nyingine majungu ni ukweli!!
Hakuna kazi ya kiusalama inayofanyia kazi majungu.
 
Aisee mimi nawasubiri UKAWA kwani wao ndio the right whistleblower kwenye hili...na hapo ndio ntakapo anza kuelewa uaminifu wa Magufuri kwa wananchi wake the issue is very straightforward aisee na ndio maana Mak..alikuwa hataki kurudisha fomu za Mali zake tume ya maadili hadi aliposhikiwa mtu. ....Aisee huyu jamaa angepewa nchi oh my God. ...inawezekana ndo maana alichukuwa fomu ya kugombea urais kusudi awafumbe macho anaowaibia wamuone ni very prominent figure kwenye chama chake wakati si kweli. .Na hili deal la bandari ya bagamoyo ndo limenistua zaidi isije ikawa ndo ilikuwa gia ya kuomba jina lake liingizwe tano bora ili kuwastuwa hao wawekezaji ili khali aliyeliweka akijua hawezi pita
 
Na wewe kwa akili yako bila kiriba unafikiri huyo anae ongea ni mzungu ? Tena mtaliano ? Tumia akili kidogo kufikiri
Mzungu ndio,maana waitaliano english yao ina accent yao,nao hawajui english vizuri maana sio lugha yao mama
 
Iyo habari ni majungu tu hakuna ukweli
Wakati ni mwamuzi wa haki!! At the end of the day itafahamika tu
Waswahili walisema Lisemwalo......
Na Adhana husikika misikitini
 
Ungesikiliza clips tu unajua huyo njemba sio mtaliano...lafdhi yake ya ki Nigeria au South Africa.
Tafuta wataliano wakiongea ki english utajua hizo cilps zime editiwa kuchafua watu.
Na sauti hizo mbili haziendani moja ya huyo njemba ni live na nyengine ni ya audio au simu.
Zaidi njemba he is not mtaliano....
Sauti tu inajulisha hilo ni tapeli fulani la nigeria .
Asanteh sana mkuu ndio maana nikasema hakuna kazi za kiusalama zitakaa nakuanza kufuatilia majungu haya mambo alimfanyia hadi le mutuz kuhusu dr Mwaka wabongo hawayapimi kwanza.
 
Back
Top Bottom