Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

Noma hata mi january staki awe kiongoz hapa nchin anapenda rushwa
 
Hii issue inaendeshwa kimajungu bila kuzingatia facts. Jaribu kusoma proposal ya mradi wa bandari ya Bagamoyo naamini ipo humu JF. Contractor wa hii bandari ilikua ni sharti atoke China since mkopo wa ujenzi unatoka China.

Over 100bill dollars zinahitajika kwa huu mradi, hizi pesa zinazotajwa hapa sijui 1mil ni pesa ndogo sana kulinganisha na mradi husika. Siwatetei Makamba ila huyu atakua ni mfanyabiashara bogus kuliko wote duniani na bora kaingizwa mjini kwa upopoma wake kama ni kweli.

Kuna taratibu za kufuata kutoa malalamiko au kudai haki yako, sitegemei kampuni iliyotaka tenda ya ujenzi wa bandari iende kupeleka malalamiko yake instagram au kwa socialite fulani mwenye umaarufu kwa mambo ya kipuuuzi ili ayafikishe sehemu husika. Hii ni too low kuamini

Hiyo Inazuiya Vipi Kuwa Kulikuwa na Jitihada za Kumpushi mtu Mwingine au Kampuni Nyingine. Na Pia Huyu anayelalamika anaweza Kuwa alikuwa Ni wakala wa Kampuni fulani hivyo alihonga kwa Niaba yao. Unataka Kusema Husikii sauti ya Mwamvita? Mimi Nafikiri Kuana Uhalifu uliokuwa Ukiendelea, Kwamba Ulifanikiwa au la Hiyo Ni Issue nyingine, tuache kutetea Ujinga.
 
Leo mnamuona Mange kichaa!! Alivyokuwa anamtukana Lowasa alikuwa timamu?? Vumilieni MWIBA UNATOLEWA SEHEMU ULIPOIINGILIA
Leo wewe unamuona ana akili, alivyokua anamsema Lowasa mkamuona kichaa leo akili kazitoa wapi?
 
Huyo ana ugomvi wake binafsi na Mwamvita kwanini atoe izo siri baada ya kugombana? Hapa ndipo utajua kama ni majungu vyombo vya usalama awafanyii kazi majungu.
Kwani hujui hilo ni jambo la kawaida mtu kutoa siri za rafiki yake wakigombana au mke na mume kutoleana siri zao wakiachana, lakina haina maana utakua lazima ni uongo, kwasababu hakuuzungumzia kabla.
 
Mange kipindi jamaa anamtumia kumchafuà lowasa Na ukawa kisa ccm Leo hii wanashangaa akija Na story Yake Na kusema ni uongo nafurahi kuona mwanachama Wa ccm akitoa uchafu Wa mwanachama mwenzake najua waliokuwa wanamwamini huyu mwezi Wa kwanza wajitathimini upya vipi ile ishu ya mama Wa marekani Wa Rockefeller aliyepigwa Na huyu huyu bado makampuni mengine
 
Leo wewe unamuona ana akili, alivyokua anamsema Lowasa mkamuona kichaa leo akili kazitoa wapi?
Hata saa mbovu Kuna saa inasema ukweli!! La muhimu ni kuachia muda ambae ni fair judge... Ila hata hivyo aliosemwa anatuhuma nyingii
Wizi wa mitihani, kutoza $ kwa waliotaka kumuona Rais, kupoka deal la Malaria no more, upotevu wa pesa za kampeni ccm, kumtapeli binti wa Rockefeller, na nyingine nyingi...... Sasa kwa nini tusiamini na hili?? Kisa kasema Mange??
Hata kichaa akisema kuna Simba hutajihadhari kisa aliesema kichaa??
 
Ukisoma hii post na uchangiaji wake unaweza kukubaliana na title moja ilikuwa maarufu hapa jana kama ckosei, ckutaka hata kuchangia manake ckutaka kujustfy upumbavu uliosemwa. Yan humu watu wamewekwa kusifia jambo lolote alimradi limewekwa na mtu, wa ccm basi. Kumbe ndo maana mambo ya umeya na zanzibar huwa hawaji sana sababu wanakuwa hawana base. Sis hatuhitaji kujua whether kuna bifu au la as long as taarifa imetolewa na ushahidi wa saut upo, ufanyiwe kazi japokuwa cdhani kama outcome yoyote itakuwepo sababu hiyo ni kesi yao na waamuzi ni wao.
 
Voice verification is necessary kuhahakisha ni sauti ya bi makamba, huu ni mchezo rahisi sana kuubuni na kumharibia mtu Jina.

Na ingependenza kama hizo evidence kama ni za kweli azipeleke kwenye Authority husika, na pia nchi husika hiyo kampuni iliposajiliwa , kwani hata kwao kuna sheria za kuwahukumu watoa rushwa. Unless this is a pre planned character assassination.
 
Jamani kwa akili hizi Watanzania hatutokaa tupige hatua!
Nimebaki nashangaa kuona hata huku JF kunakoaminika kwa kuwa na maGT's wakiacha kujadili issue na kuanza kumshambulia Mange.

Wengi wenu mkisema kwamba hii scandal ni ya kutunga!!!
Kwanini tusimsubiri huyo Mange aanze kuanika vielelezo vya uthibitisho alivyodai anavyo tujue ukweli ni upi?
Namna hii tunamvunja moyo anayetoa habari nyeti kama hizi na kumtetea mtuhumiwa kweli?

Kwenye suala linalogusa maslahi ya taifa kama hili sio jambo dogo.
Mwamvita ameshajibu tuangalie Mange atakuja na ushahidi gani maana anasema ndio kwanza ameanza anasubiri ajibiwe azidi kuweka mambo hadharani.

Binafsi huwa simkubali Mange lakini katika hili naweka chuki binafsi pembeni na kumsikiliza ana hoja gani.
 
Wito wangu kwa moderators ni kuconfirm hii taarifa kama ni kweli na isije ikawa tunajadili uzushi wa Instagram na hatimaye ku-smear jina la JF au kupelekea kutoa sababu kwa TCRA kupiga fine au kufungia .

Kumbukumbu zangu zinaonesha kuwa Mange alishawahi kutoa uzushi au hata kuwananga na kutukana wakuu wa JF na alijadiliwa sana humu....alionekana hana caliber ya kuwa na hoja za kiGT....

Kwa hiyo leo tunapojadili hoja hii ni vyema tukajiongeza kidogo ili tusiangukie kwenye mtego wa kijinga.

Mpaka sasa nasita kuamini juu ya uzushi huu kwa sababu ya historia ya huyu mpiga filimbi!!!
Mbona alivyokuwa anamtukana Lowassa kipindi cha Kampeni mlikuwa mnamwita Jembe na mpaka zawadi mkamtumia??? Leo amekuwa mbaya tena??
 
Inaelekea leo Mange anaongelewa vizuri maana katika kusoma sioni zile ID zake za humu JF za kutetea...hadi nataka kuzisahau siku hizi.
 
Hii issue inaendeshwa kimajungu bila kuzingatia facts. Jaribu kusoma proposal ya mradi wa bandari ya Bagamoyo naamini ipo humu JF. Contractor wa hii bandari ilikua ni sharti atoke China since mkopo wa ujenzi unatoka China.

Over 100bill dollars zinahitajika kwa huu mradi, hizi pesa zinazotajwa hapa sijui 1mil ni pesa ndogo sana kulinganisha na mradi husika. Siwatetei Makamba ila huyu atakua ni mfanyabiashara bogus kuliko wote duniani na bora kaingizwa mjini kwa upopoma wake kama ni kweli.

Kuna taratibu za kufuata kutoa malalamiko au kudai haki yako, sitegemei kampuni iliyotaka tenda ya ujenzi wa bandari iende kupeleka malalamiko yake instagram au kwa socialite fulani mwenye umaarufu kwa mambo ya kipuuuzi ili ayafikishe sehemu husika. Hii ni too low kuamini
Hapa watu wanapinga utapeli kufanywa na MTU ambaye sasa ni waziri. Mfanyabiashara awe mjinga au vipi sisi hatuangalii hilo Bali uaminifu wa mashaka wa kiongozi.
 
Duh,kwa mara ya kwanza nimempenda mange kimambi,asanteee
WEE BAVICHA, HUYU DADA SIO MJINGA KAMA NYIE, ANAJUA ZURI NA BAYA! Sio kama nyie vichwa maji! Hata alipompinga Lowassa alikuwa sawa kabisa, na hii ishu yake ya sasa ifuatiliwe na vyombo husika.

Na muombe lowasa na watu wake hawakushika nchi, amgewaanika hadi mifupa! Huyu dada ana whistle blowers ktk mfumo yena wako ktk core kabisa!
 
Back
Top Bottom