johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,606
- 142,927
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema kufuatia agizo la Rais Magufuli la kuongeza ajira za walimu 13,000 wizara yake itaanza kupokea maombi kuanzia Jumatatu ijayo.
Hii ni neema kwa mliosomea ualimu.
Maendeleo hayana vyama!
Hii ni neema kwa mliosomea ualimu.
Maendeleo hayana vyama!