Waziri Jafo: Dirisha la ajira za walimu 13,000 wa msingi na sekondari kufunguliwa Jumatatu!

Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema kufuatia agizo la Rais Magufuli la kuongeza ajira za walimu 13,000 wizara yake itaanza kupokea maombi kuanzia Jumatatu ijayo.

Hii ni neema kwa mliosomea ualimu.

Maendeleo hayana vyama!
Ukishatuma maombi utasubiria ajira mpaka miguu idumbukie tumboni.

Hilo ndio 🐍🐍🐍Magu, linawajua vizuri wadanganyika.
 
Usanii mtupu!Zinatafutwa kura tu hapo na hoja za kuwajibu wapinzani kuhusu ajira.

Hata mikitangaza kuongeza mishahara wakati wowote kuanzia sasa pasipo Bunge kupitisha,tutawapiga chini tu.

Hatudanganyiki!
Wewe siyo mhitimu wa ualimu. Tulia wadogo zetu waajiriwe
 
Wazee walipokutana na waganga na kuunda watu waitwao wahenga walisema "Ukijikuna tako basi usikate kucha na meno" mwisho wa kunukuu...

Naona sisiemu wanajitekenya na kucheka wenyewe.
 
Tundu Lissu ni mipango wa Mungu, inamaana usingerudi wakulima wa pamba wasingelipwa malipo yao, walimu wasingepata ajira. Msishangae madiliko ya kikokotoo yakafuatia.

Lissu tuvushe baba.
Na anatuvusha kweli wallah.
 
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema kufuatia agizo la Rais Magufuli la kuongeza ajira za walimu 13,000 wizara yake itaanza kupokea maombi kuanzia Jumatatu ijayo.

Hii ni neema kwa mliosomea ualimu.

Maendeleo hayana vyama!
Hadanganyiki mtu, unadhani watu ni wajinga. Baada ya uchaguzi si mnawatimua...
 
Mtoa post wewe pamoja na aliyetoa hizo ajira wote ni wangesee,,,,vijana wamemaliza chuo tangu 2015, hawajapata ajira wengine wamekuwa boda boda wengine mama ntilie wengine wanabeti tu, wengine wameshafariki....kumamae zenu acheni kutuchoraa,,,,hiyo miaka mitano yote mlikuwa wapi kutoa ajira, hadi mje mtoe ajira kipindi cha kampeni,,,
Hahahahahaha😆.
Waongezee lingine mkuu, hawa jamaa wanajaribu kuwahadaa watanzania "wanyonge".
Wajue tu ajira watatoa, mishahara watapandisha, korosho watazilipia, watafanya kila kitu ndani ya mwezi huu mmoja lakini mziki ni ule ule tunawawekea bill ya mafuta ya KY, mwezi October lazima tunawa-Amber Rutty, kuanzia diwani mpaka rais!
 
Hahahahahaha.
Waongezee lingine mkuu, hawa jamaa wanajaribu kuwahadaa watanzania "wanyonge".
Wajue tu ajira watatoa, mishahara watapandisha, korosho watazilipia, watafanya kila kitu ndani ya mwezi huu mmoja lakini mziki ni ule ule tunawawekea bill ya mafuta ya KY, mwezi October lazima tunawa-Amber Rutty, kuanzia diwani mpaka rais!
hakuna namna itabidi tu tuwainamishe
 
[QUOTE="Navuta bangi, post: 36586018,....kumamae zenu acheni kutuchoraa,,,,hiyo miaka mitano yote mlikuwa wapi kutoa ajira, hadi mje mtoe ajira kipindi cha kampeni,,,[/QUOTE]

Umeandika kwa hisia Kali sana
 
Usanii mtupu!Zinatafutwa kura tu hapo na hoja za kuwajibu wapinzani kuhusu ajira.

Hata mikitangaza kuongeza mishahara wakati wowote kuanzia sasa pasipo Bunge kupitisha,tutawapiga chini tu.

Hatudanganyiki!
Kura 13,000?
Yaani tusitoe ajira kuogopa tutaonekana tunatafuta kura?
 
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema kufuatia agizo la Rais Magufuli la kuongeza ajira za walimu 13,000 wizara yake itaanza kupokea maombi kuanzia Jumatatu ijayo.

Hii ni neema kwa mliosomea ualimu.

Maendeleo hayana vyama!
Hamna hajira wala nn..


Uongo mtupu
 
Shukrani nyingi kwa serikali ya awamu ya tano.Shukrani nyingi zaidi kwa mfumo wa vyama vingi na kampeni zinazoendelea.Faida ya kuwa vyama vingi na kushindanisha sera.
Sasa hawa wa vyama vingine wasingezibwa midomo kwa miaka 5 huoni kama wangeweza kutoa mawazo mengi mbadala na watanzania kupata unafuu wa maisha, kuliko kulimia meno kwa miaka 5??
 
Back
Top Bottom