Waziri Jafo: Dirisha la ajira za walimu 13,000 wa msingi na sekondari kufunguliwa Jumatatu!

Upinzani ni silaha muhimu . Bila chadema msingetangaza hizo ajira.

Hizo Ni rushwa za ajira... Wakati wa kampeni.

Naomba TL alitolee maelezo hili... Na awambie waajiriwa wapya wasibweteke kwa kuonjeshwa karanga moja huku wakitema big g ya misimamo yao..
 
Hahaha acheni watu waajiriwe jamani maisha magumu sana, hata wakiajiri siku ya kupiga kura pia sawa tu.

Msiyaaangalie maisha kwa upande mmoja tu wa kisiasa, tuwakumbuke na hawa wanaotafuta ajira.
 
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema kufuatia agizo la Rais Magufuli la kuongeza ajira za walimu 13,000 wizara yake itaanza kupokea maombi kuanzia Jumatatu ijayo.

Hii ni neema kwa mliosomea ualimu.

Maendeleo hayana vyama!
Wahitimu ni wengi, elfu kumi na tatu hazitoshi, waache utapeli
 
Kwakweli tutaona kila rangi😂
Wanakumbuka shuka wakati kumekucha.
 
Mwaka jana na mwaka juzi Walimu wa sayansi na washule za msingi walilamba ajira
Sasa hizi zina wahusu pia walimu wa Art au wasayansi Kama miaka yote?

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema kufuatia agizo la Rais Magufuli la kuongeza ajira za walimu 13,000 wizara yake itaanza kupokea maombi kuanzia Jumatatu ijayo.

Hii ni neema kwa mliosomea ualimu.

Maendeleo hayana vyama!
Bwashee iyo ni rushwa ya kura!
 
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema kufuatia agizo la Rais Magufuli la kuongeza ajira za walimu 13,000 wizara yake itaanza kupokea maombi kuanzia Jumatatu ijayo.

Hii ni neema kwa mliosomea ualimu.

Maendeleo hayana vyama!

JE KWANINI WASICHUKUE MAJINA YA WALIOKWISHA OMBA HUKO NYUMA MAANA YAPO KWENYE SERVER ZAO?
WATU WALISHAOMBA ZAIDI YA MARA MOJA, INGEKUWA VIZURI WAKACHUKUA YALE MAOMBI NA KUWAPANGIA KAZI NA SI KUOMBA TENA.
 
Mbona kila nikiangalia sioni update yeyote?

Alimaanisha jumatatu ipi?
 
Msiba uko hapo kwenye mstari wa blue
20200908_083227.jpg


Sent from my MAR-LX1M using JamiiForums mobile app
 
Usanii mtupu!Zinatafutwa kura tu hapo na hoja za kuwajibu wapinzani kuhusu ajira.

Hata mikitangaza kuongeza mishahara wakati wowote kuanzia sasa pasipo Bunge kupitisha,tutawapiga chini tu.

Hatudanganyiki!
Walisema wangeajiri madaktari 2,000 hivi karibuni, mpaka leo hakuna daktari hata mmoja waliyrmwajiri tangu ilipotolewa hiyo kauli.

Hii nayo inaweza kuwa ni kati ya zile hadithi za CCM, maalum kwaajili ya wasio na akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom