Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 28,181
- 73,332
Ya hicho unachokifanya mkuuudaHongera ya nini 🤔
Ya hicho unachokifanya mkuuudaHongera ya nini 🤔
Hongera piaYa hicho unachokifanya mkuuuda
Wanawake noma sana, Jamaa kamjengea Mwanamke nyumba alafu Mwanamke anaingiza wanaume wengine ndani, hapa nilipo Muda huu kuna Mwanamke kaingiza Mwanaume ndani wakati mumewe yupo kwenye mishe mishe za kusaka faranga Muda huu na analala nae mpaka asubuhiHongera ya nini 🤔
Yote kwa yote ndoa ni muhimu mno na haiepukiki.Kila nikitafakari naona wazee wa Kataa ndoa wapo sahihi hasa baada ya kusoma kitabu kiitwacho '
The Manipulated Man
by Esther Vilar (1971)'
Muandishi wa kitabu hicho ni mwanamke ambaye kwa kifupi anasema mwanaume anazaliwa na kufundishwa au kufunzwa kuwa mtumwa wa mwanamke maisha yake yote.
Yeyote anaye jaribu kuelezea jinsi mwanaume anavyo tumiwa Kama mtumwa na mwanamke anapata upinzani mkubwa.
Anaelezea zaidi chombo chochote Cha habari au gazeti likijaribu kuweka makala kuelezea mateso hayo ya wanaume linapata upinzani na kukosa fursa ya kutangaza au kufanya biashara sababu wanawake ndiyo sehemu kubwa ya masoko ya biashara mbalimbali.
Sijui Kama ipo sahihi kisheria naambatanisha kitabu husika.
Mods mnaweza kufuta Kama Kuna mgogoro wa hati miliki (copy right)
Wanawake wana Pepo yao tofauti na wanaume huko kuzimuHongera pia
Kuna mwenzio mkewe sahizi anakandwa na kibwana mdogo cha mtaa wakati yeye (mumewe) yupo mkoani kusaka farangaYote kwa yote ndoa ni muhimu mno na haiepukiki.
Kikubwa kuoa mwanamke sahihi.
Tatizo asilimia kubwa huwa tunakosea kuoa na ndio tunageneralize ndoa hazifai.
Mwenyewe yashanikuta kwenye ndoa ila jibu langu ni kwamba mimi ndio nimekosea ila siwezi kugeneralize kuwa KATAA NDOA.
HWanawake noma sana, Jamaa kamjengea Mwanamke nyumba alafu Mwanamke anaingiza wanaume wengine ndani, hapa nilipo Muda huu kuna Mwanamke kaingiza Mwanaume ndani wakati mumewe yupo kwenye mishe mishe za kusaka faranga Muda huu na analala nae mpaka asubuhi
Jamaa kapiga simu kuuliza km yupo maana naona Simu yake HAPOKEI na huko ndani ni miguno tu naona Jamaa atakua anampasua jipu au anamtoa mwiba mguuniDuh ni maumivu jamaa huyo mwanamke aogopi mwambie mume wake.
H
Warekodi tupige pesa 😀😀Wanawake noma sana, Jamaa kamjengea Mwanamke nyumba alafu Mwanamke anaingiza wanaume wengine ndani, hapa nilipo Muda huu kuna Mwanamke kaingiza Mwanaume ndani wakati mumewe yupo kwenye mishe mishe za kusaka faranga Muda huu na analala nae mpaka asubuhi
KauwaKazungumzia sex ,kuwa mwanaume ili afanye ngono hutegemea saikolojia yake , Ila ikitokea mwanmke akamwambia kuwa sijafika -orgasm basi huyo mwanume atakuwa stressful Sana na kuwaza Sana.
Ila kasema swala la mwanamke kufika orgasm au kieleleni huwa n yeye mwenyewe mwanamke anaweza kufika tu alitegemei performance ya mwanaume . the same mwanaume kufika kileleni hakutegemei performance ya mwanamke
Ila linapokuja swala la kufika kieleleni lawama hutupiwa wanaume kitu ambacho sio kweli
Ndo unakuta MTU anahangaika kupaka mkongo 😁😁 kumeza Viagra ujinga mtupu
Mwanamke sahihi ni relative concept.Yote kwa yote ndoa ni muhimu mno na haiepukiki.
Kikubwa kuoa mwanamke sahihi.
Tatizo asilimia kubwa huwa tunakosea kuoa na ndio tunageneralize ndoa hazifai.
Mwenyewe yashanikuta kwenye ndoa ila jibu langu ni kwamba mimi ndio nimekosea ila siwezi kugeneralize kuwa KATAA NDOA.
Kumbe hii ndo username yako hapa JF?Mjomba wangu na yeye hakijampita.View attachment 2976270
Ndio kuna shida kwani?!Kumbe hii ndo username yako hapa JF?
YaniniHongera pia