Wazee wa Kataa ndoa na kitabu cha The Manipulated Manby Esther Vilar (1971) wamenifikirisha Sana

Mjomba wangu na yeye hakijampita.
Screenshot_20240428-221516.jpg
 
Ndugu zangu kuna siri imejificha miongoni mwa wanawake ambao ni walimu , kuna namna hata kama kazaliwa mwaka 2000 anakua tofauti na hawa watoto wa penda pesa, vinguo vya hovyo na tamaa kedekede.

Kuna namna ukidate hata na mwanamke mwalimu awe kaajiriwa, kajiajiri au hajaajiriwa au yupo chuoni anasomea masomo ya ualimu kuna mazingira ukipita nae unaona kabisa hapa nipo na mwanamke chuma kweli kweli tena anayejitambua sana, moyo unakushuhudia kabisa hawa ndio wake wa kuoa.

Wanawake walimu wametofautiana san kimaadili na hawa wanawake wengine , wanajua wanachokifanya na mara nyingi hawafanyi kitu kwa kukurupuka, ukikaa ukatuliza akili utaona kabisa hapa amefanya hivi baada ya kufikiria sana

Ukidate / kuoa mwanamke mwalimu anajua kabisa wewe unatakiwa ufundishwe hata kama mwanaume una akili kuna namna ukiyapiga picha mahusiano yenu utaona mahusiano yenu /ndoa yenu anaipeleka kama anaongoza darasa la wanafunzi wanaohitaji kujifunza ili wa elewe na wafanikiwe kufika mbele.

Wanawake walimu kuna namna wanakua na amri/ ukali wenye masikitiko ndani yake , hata kama umefanya jambo baya kuna namna atakuelekeza kwa upole ila ndani yake utaona kunatoka tone za amri na masikitiko zinazokutaka wewe uache kufanya uo ubaya unao hangaika nao kila siku

Wanawake walimu kuna namna hawapendi purukushani mbele za jamii, kuna namna wanaishi kwenye jamii ili kuwa mfano wa kuigwa kama walimu, kuna namna hata ukiwa nae kwenye mahusiano utaona tuu anajiweka katika mazingira ya kulinda heshima yake ili iweze kusomwa vyema na jamii.

Wanawake walimu ni wanawake wanao kwenda na muda na mahesabu makali, hawezi kufanya vitu nje ya muda wala nje ya mahesabu mliyokubaliana kuyafanya, utakuja gundua mahusiano yenu anayapeleka kwa muda na mahesabu makali sana kwaajili ya kulinda future za baadae.

Wanawake walimu ni walezi wazuri na bora watoto na familia, pia ni walezi wazuri wa mume anamchukulia mwanaume kama mtoto anayehitaji kufundishwa

Wanawake walimu ndani yao ukichunguza sana utagundua ndani yao hawana ubaguzi, hawachagui wanaume wa hali ya juu sana kiuchumi, wao wanapendelea sana wanaume wa kawaida na wacha Mungu, wanapendelea wanaume wanao jiheshimu na kujitambua ila wawe ni wanaume wa kawaida sana tena wenye uchumi mdogo.

Hata ukimwambia wewe ni mpambanaji, kinyozi, bodaboda, mfanya usafi, mlinzi, kibarua viwandani, mpiga tofali ni ngumu sana kukukataa kirahisi maana anaona wewe ni kama darasa lenye wanafunzi wanaofeli hivyo wanapaswa kusaidiwa kunyanyuka kwenda juu.

Ndugu zangu, wanawake walimu ni wake bora sana , haijalishi kazaliwa mwaka 2000 ila ni wanawake bora sana kuoa na kuwaweka ndani.

* Kataa ndoa hawakatai kuishi na mwanamke wanakataa ule mkataba wa ndoa utakao watia nguvuni, wanawake walimu wanaamini hata ule mkataba wa ndoa ni makaratasi tuu kama mitihani ya wanafunzi wanayo sahihisha kila semister/ midterm*
 
Ndugu zangu kuna siri imejificha miongoni mwa wanawake ambao ni walimu , kuna namna hata kama kazaliwa mwaka 2000 anakua tofauti na hawa watoto wa penda pesa, vinguo vya hovyo na tamaa kedekede.

Kuna namna ukidate hata na mwanamke mwalimu awe kaajiriwa, kajiajiri au hajaajiriwa au yupo chuoni anasomea masomo ya ualimu kuna mazingira ukipita nae unaona kabisa hapa nipo na mwanamke chuma kweli kweli tena anayejitambua sana, moyo unakushuhudia kabisa hawa ndio wake wa kuoa.

Wanawake walimu wametofautiana san kimaadili na hawa wanawake wengine , wanajua wanachokifanya na mara nyingi hawafanyi kitu kwa kukurupuka, ukikaa ukatuliza akili utaona kabisa hapa amefanya hivi baada ya kufikiria sana

Ukidate / kuoa mwanamke mwalimu anajua kabisa wewe unatakiwa ufundishwe hata kama mwanaume una akili kuna namna ukiyapiga picha mahusiano yenu utaona mahusiano yenu /ndoa yenu anaipeleka kama anaongoza darasa la wanafunzi wanaohitaji kujifunza ili wa elewe na wafanikiwe kufika mbele.

Wanawake walimu kuna namna wanakua na amri/ ukali wenye masikitiko ndani yake , hata kama umefanya jambo baya kuna namna atakuelekeza kwa upole ila ndani yake utaona kunatoka tone za amri na masikitiko zinazokutaka wewe uache kufanya uo ubaya unao hangaika nao kila siku

Wanawake walimu kuna namna hawapendi purukushani mbele za jamii, kuna namna wanaishi kwenye jamii ili kuwa mfano wa kuigwa kama walimu, kuna namna hata ukiwa nae kwenye mahusiano utaona tuu anajiweka katika mazingira ya kulinda heshima yake ili iweze kusomwa vyema na jamii.

Wanawake walimu ni wanawake wanao kwenda na muda na mahesabu makali, hawezi kufanya vitu nje ya muda wala nje ya mahesabu mliyokubaliana kuyafanya, utakuja gundua mahusiano yenu anayapeleka kwa muda na mahesabu makali sana kwaajili ya kulinda future za baadae.

Wanawake walimu ni walezi wazuri na bora watoto na familia, pia ni walezi wazuri wa mume anamchukulia mwanaume kama mtoto anayehitaji kufundishwa

Wanawake walimu ndani yao ukichunguza sana utagundua ndani yao hawana ubaguzi, hawachagui wanaume wa hali ya juu sana kiuchumi, wao wanapendelea sana wanaume wa kawaida na wacha Mungu, wanapendelea wanaume wanao jiheshimu na kujitambua ila wawe ni wanaume wa kawaida sana tena wenye uchumi mdogo.

Hata ukimwambia wewe ni mpambanaji, kinyozi, bodaboda, mfanya usafi, mlinzi, kibarua viwandani, mpiga tofali ni ngumu sana kukukataa kirahisi maana anaona wewe ni kama darasa lenye wanafunzi wanaofeli hivyo wanapaswa kusaidiwa kunyanyuka kwenda juu.

Ndugu zangu, wanawake walimu ni wake bora sana , haijalishi kazaliwa mwaka 2000 ila ni wanawake bora sana kuoa na kuwaweka ndani.

* Kataa ndoa hawakatai kuishi na mwanamke wanakataa ule mkataba wa ndoa utakao watia nguvuni, wanawake walimu wanaamini hata ule mkataba wa ndoa ni makaratasi tuu kama mitihani ya wanafunzi wanayo sahihisha kila semister/ midterm*
Mke mwema hayupo makazini, jamii, kabila, dini, shuleni/vyuoni isipokuwa ni matokeo halisi ya malezi bora ya Mama na Baba wacha Mungu kiimani na kivitendo.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
1. Nani kasema uanaume ni ndoa?
2. Unataka unyonyeshe kama mkeo KIAJE?
3. Waliacha ndoa zao uanaume uliisha?

#YNWA
1.uanaume sio ndoa ila ni pamoja na ndoa,huoi na unahamasisha watu wasioe ili waolewe wao ama??

2.namaanisha nafasi yako kama mume ni kutoa matunzo,mama atanyonyesha,ukiona anakupunja maa a yake unadai usawa.

3.waliobaki na uanaume wao wakachukua wanawake wengine na kuendelea walipoishia.
 
Ndugu zangu kuna siri imejificha miongoni mwa wanawake ambao ni walimu , kuna namna hata kama kazaliwa mwaka 2000 anakua tofauti na hawa watoto wa penda pesa, vinguo vya hovyo na tamaa kedekede.

Kuna namna ukidate hata na mwanamke mwalimu awe kaajiriwa, kajiajiri au hajaajiriwa au yupo chuoni anasomea masomo ya ualimu kuna mazingira ukipita nae unaona kabisa hapa nipo na mwanamke chuma kweli kweli tena anayejitambua sana, moyo unakushuhudia kabisa hawa ndio wake wa kuoa.

Wanawake walimu wametofautiana san kimaadili na hawa wanawake wengine , wanajua wanachokifanya na mara nyingi hawafanyi kitu kwa kukurupuka, ukikaa ukatuliza akili utaona kabisa hapa amefanya hivi baada ya kufikiria sana

Ukidate / kuoa mwanamke mwalimu anajua kabisa wewe unatakiwa ufundishwe hata kama mwanaume una akili kuna namna ukiyapiga picha mahusiano yenu utaona mahusiano yenu /ndoa yenu anaipeleka kama anaongoza darasa la wanafunzi wanaohitaji kujifunza ili wa elewe na wafanikiwe kufika mbele.

Wanawake walimu kuna namna wanakua na amri/ ukali wenye masikitiko ndani yake , hata kama umefanya jambo baya kuna namna atakuelekeza kwa upole ila ndani yake utaona kunatoka tone za amri na masikitiko zinazokutaka wewe uache kufanya uo ubaya unao hangaika nao kila siku

Wanawake walimu kuna namna hawapendi purukushani mbele za jamii, kuna namna wanaishi kwenye jamii ili kuwa mfano wa kuigwa kama walimu, kuna namna hata ukiwa nae kwenye mahusiano utaona tuu anajiweka katika mazingira ya kulinda heshima yake ili iweze kusomwa vyema na jamii.

Wanawake walimu ni wanawake wanao kwenda na muda na mahesabu makali, hawezi kufanya vitu nje ya muda wala nje ya mahesabu mliyokubaliana kuyafanya, utakuja gundua mahusiano yenu anayapeleka kwa muda na mahesabu makali sana kwaajili ya kulinda future za baadae.

Wanawake walimu ni walezi wazuri na bora watoto na familia, pia ni walezi wazuri wa mume anamchukulia mwanaume kama mtoto anayehitaji kufundishwa

Wanawake walimu ndani yao ukichunguza sana utagundua ndani yao hawana ubaguzi, hawachagui wanaume wa hali ya juu sana kiuchumi, wao wanapendelea sana wanaume wa kawaida na wacha Mungu, wanapendelea wanaume wanao jiheshimu na kujitambua ila wawe ni wanaume wa kawaida sana tena wenye uchumi mdogo.

Hata ukimwambia wewe ni mpambanaji, kinyozi, bodaboda, mfanya usafi, mlinzi, kibarua viwandani, mpiga tofali ni ngumu sana kukukataa kirahisi maana anaona wewe ni kama darasa lenye wanafunzi wanaofeli hivyo wanapaswa kusaidiwa kunyanyuka kwenda juu.

Ndugu zangu, wanawake walimu ni wake bora sana , haijalishi kazaliwa mwaka 2000 ila ni wanawake bora sana kuoa na kuwaweka ndani.

* Kataa ndoa hawakatai kuishi na mwanamke wanakataa ule mkataba wa ndoa utakao watia nguvuni, wanawake walimu wanaamini hata ule mkataba wa ndoa ni makaratasi tuu kama mitihani ya wanafunzi wanayo sahihisha kila semister/ midterm*



Mimi nimesoma ualimu na nimekaa na hao walimu unachoongea ni uongo hakuna kundi la watu wajinga Kama hilo kundi
 
Ndugu zangu kuna siri imejificha miongoni mwa wanawake ambao ni walimu , kuna namna hata kama kazaliwa mwaka 2000 anakua tofauti na hawa watoto wa penda pesa, vinguo vya hovyo na tamaa kedekede.

Kuna namna ukidate hata na mwanamke mwalimu awe kaajiriwa, kajiajiri au hajaajiriwa au yupo chuoni anasomea masomo ya ualimu kuna mazingira ukipita nae unaona kabisa hapa nipo na mwanamke chuma kweli kweli tena anayejitambua sana, moyo unakushuhudia kabisa hawa ndio wake wa kuoa.

Wanawake walimu wametofautiana san kimaadili na hawa wanawake wengine , wanajua wanachokifanya na mara nyingi hawafanyi kitu kwa kukurupuka, ukikaa ukatuliza akili utaona kabisa hapa amefanya hivi baada ya kufikiria sana

Ukidate / kuoa mwanamke mwalimu anajua kabisa wewe unatakiwa ufundishwe hata kama mwanaume una akili kuna namna ukiyapiga picha mahusiano yenu utaona mahusiano yenu /ndoa yenu anaipeleka kama anaongoza darasa la wanafunzi wanaohitaji kujifunza ili wa elewe na wafanikiwe kufika mbele.

Wanawake walimu kuna namna wanakua na amri/ ukali wenye masikitiko ndani yake , hata kama umefanya jambo baya kuna namna atakuelekeza kwa upole ila ndani yake utaona kunatoka tone za amri na masikitiko zinazokutaka wewe uache kufanya uo ubaya unao hangaika nao kila siku

Wanawake walimu kuna namna hawapendi purukushani mbele za jamii, kuna namna wanaishi kwenye jamii ili kuwa mfano wa kuigwa kama walimu, kuna namna hata ukiwa nae kwenye mahusiano utaona tuu anajiweka katika mazingira ya kulinda heshima yake ili iweze kusomwa vyema na jamii.

Wanawake walimu ni wanawake wanao kwenda na muda na mahesabu makali, hawezi kufanya vitu nje ya muda wala nje ya mahesabu mliyokubaliana kuyafanya, utakuja gundua mahusiano yenu anayapeleka kwa muda na mahesabu makali sana kwaajili ya kulinda future za baadae.

Wanawake walimu ni walezi wazuri na bora watoto na familia, pia ni walezi wazuri wa mume anamchukulia mwanaume kama mtoto anayehitaji kufundishwa

Wanawake walimu ndani yao ukichunguza sana utagundua ndani yao hawana ubaguzi, hawachagui wanaume wa hali ya juu sana kiuchumi, wao wanapendelea sana wanaume wa kawaida na wacha Mungu, wanapendelea wanaume wanao jiheshimu na kujitambua ila wawe ni wanaume wa kawaida sana tena wenye uchumi mdogo.

Hata ukimwambia wewe ni mpambanaji, kinyozi, bodaboda, mfanya usafi, mlinzi, kibarua viwandani, mpiga tofali ni ngumu sana kukukataa kirahisi maana anaona wewe ni kama darasa lenye wanafunzi wanaofeli hivyo wanapaswa kusaidiwa kunyanyuka kwenda juu.

Ndugu zangu, wanawake walimu ni wake bora sana , haijalishi kazaliwa mwaka 2000 ila ni wanawake bora sana kuoa na kuwaweka ndani.

* Kataa ndoa hawakatai kuishi na mwanamke wanakataa ule mkataba wa ndoa utakao watia nguvuni, wanawake walimu wanaamini hata ule mkataba wa ndoa ni makaratasi tuu kama mitihani ya wanafunzi wanayo sahihisha kila semister/ midterm*
Sifa hizi tofauti sana na waalimu wale shemeji zangu.
 
Back
Top Bottom