Wazee wa Kataa ndoa na kitabu cha The Manipulated Manby Esther Vilar (1971) wamenifikirisha Sana

Titicomb

JF-Expert Member
Jan 27, 2012
11,403
17,996
Kila nikitafakari naona wazee wa Kataa ndoa wapo sahihi hasa baada ya kusoma kitabu kiitwacho '
The Manipulated Man
by Esther Vilar (1971)'

Muandishi wa kitabu hicho ni mwanamke ambaye kwa kifupi anasema mwanaume anazaliwa na kufundishwa au kufunzwa kuwa mtumwa wa mwanamke maisha yake yote.
Yeyote anaye jaribu kuelezea jinsi mwanaume anavyo tumiwa Kama mtumwa na mwanamke anapata upinzani mkubwa.

Anaelezea zaidi chombo chochote Cha habari au gazeti likijaribu kuweka makala kuelezea mateso hayo ya wanaume linapata upinzani na kukosa fursa ya kutangaza au kufanya biashara sababu wanawake ndiyo sehemu kubwa ya masoko ya biashara mbalimbali.

Sijui Kama ipo sahihi kisheria naambatanisha kitabu husika.
Mods mnaweza kufuta Kama Kuna mgogoro wa hati miliki (copy right)
 

Attachments

  • Esther Vilar - The Manipulated Man-Pinter & Martin (1998).pdf
    519.8 KB · Views: 5
Kila nikitafakari naona wazee wa Kataa ndoa wapo sahihi hasa baada ya kusoma kitabu kiitwacho '
The Manipulated Man
by Esther Vilar (1971)'

Muandishi wa kitabu hicho ni mwanamke ambaye kwa kifupi anasema mwanaume anazaliwa na kufundishwa au kufunzwa kuwa mtumwa wa mwanamke maisha yake yote.
Yeyote anaye jaribu kuelezea jinsi mwanaume anavyo tumiwa Kama mtumwa na mwanamke anapata uoinzani mkubwa.

Anaelezea zaidi chombo chochote Cha habari au gazeti likijaribu kuweka makala kuelezea matesp hayo ya wanaume linapata uoinzani na kukosa fursa ya kutangaza au kufanya biashara sababu wanawake ndiyo sehemu kubwa ya masomo ya biashara mbalimbali.

Sijui Kama ipo sahihi kisheria naambatanisha kitabu husika.
Mods mnaweza kufuta Kama Kuna mgogoro wa hati miliki (copy right)


Hicho Kitabu kaelezea hadi libido na kusema mwanaume huwa wanadhani wanawake hawana mihemko ya ngono na kudhani kupewa ngono ni reward. Kumbe wanawake wanatamani Sana ngono pia.

.
 
Hicho Kitabu kaelezea hadi libido na kusema mwanaume huwa wanadhani wanawake hawana mihemko ya ngono na kudhani kupewa ngono ni reward. Kumbe wanawake wanatamani Sana ngono pia.

Since nilikisoma hicho Kitabu niliacha kuwa manipulated na wanawake na Ku-focus na MAISHA
Hujachelewa waokoe na wengine ...😆
 
Hujachelewa waokoe na wengine ...😆


Wasome Kitabu mkuu watajifunza mambo mengi positive na wataushinda uraibu .

Huyo mama kaelezea mambo ya maana Sana .

Kuna sehemu kasema mwanamke huwa hayupo logically katika kuchagua soulmate akiweza kuletewa mwanaume mwenye tabia nzuri Ila hana Pesa za kutosha na pia akaletea MTU mwenye pesa ambaye Hana tabia nzuri , lazima atamfata huyo mwenye pesa na akifilisika anamkibia


Naona huyu mama mzungu katumia elimu yake kuwakomboa watu

Ndo maana wazungu huwa hawasumbuliwi na mapenzi Sana Kama blacks
 
Screenshot_20240428-220530_Adobe Acrobat.jpg

Sijasoma chote, nilikuwa napitia kama highlights nikakutana na hizo facts, kila point nikisoma naweka nukta najirefer 🤣🤣🤣 nahis kama ulimwengu umewapa remote wanawake watucontrol
 
Anafuata Pesa wanaambiana wasitembea na waume za watu hotel za kifahari watazisikia kwenye bomba


Kazungumzia sex ,kuwa mwanaume ili afanye ngono hutegemea saikolojia yake , Ila ikitokea mwanmke akamwambia kuwa sijafika -orgasm basi huyo mwanume atakuwa stressful Sana na kuwaza Sana.

Ila kasema swala la mwanamke kufika orgasm au kieleleni huwa n yeye mwenyewe mwanamke anaweza kufika tu alitegemei performance ya mwanaume . the same mwanaume kufika kileleni hakutegemei performance ya mwanamke


Ila linapokuja swala la kufika kieleleni lawama hutupiwa wanaume kitu ambacho sio kweli

Ndo unakuta MTU anahangaika kupaka mkongo 😁😁 kumeza Viagra ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom