Mwana parokia
Member
- Sep 27, 2023
- 60
- 86
Mimi niko Masomoni mkuu!! Taarifa ilikuwa inasema walioko Masomoni ni excepted.Ulijaza au hukujaza?
Mimi niko Masomoni mkuu!! Taarifa ilikuwa inasema walioko Masomoni ni excepted.Ulijaza au hukujaza?
Mimi nilijua masihara mkuu, yaani maisha haya ya utumishi wa umma mshahara unasubiriwa kwa hamu kwelikweli mifuko inakuwa haina kitu halafu ndio inakuwa hivi.Mimi niko Masomoni ,ni miongoni mwa waliokosa mshahara kabisa.Very painfully
Walioko masomoni hawakutakiwa kupandisha mpango zaidi tuu ya kujiunga na mfumo. Au huko kwenu walifundisha tofauti?Halafu ni vijana tu. Ila dharau zimewaponza. Eti serikali inajua niko masomoni. Kumbe alitakiwa kuplan halafu aweke barua ya ruhusa, amemaliza.
Kuna baadhi ya Halmashauri wanawalazimisha kupandisha mpango kazi. Hasa Rorya jambo linalotia shaka maana unampimaje mtu ambaye hayupo kituoniWalioko masomoni hawakutakiwa kupandisha mpango zaidi tuu ya kujiunga na mfumo. Au huko kwenu walifundisha tofauti?
Hapo ndipo ilipotokea shida .Halmashauri yangu maafisa utumishi walisema walioko Masomoni hawahusiki mpaka watakapo toka Masomoni.Walioko masomoni hawakutakiwa kupandisha mpango zaidi tuu ya kujiunga na mfumo. Au huko kwenu walifundisha tofauti?
Mshahara ukikatwa kuanza kulipwa sio mchezo.🤣🤣🤣🤣🪑💺🎶🎶🎶Alloohh!! Yaani unategemea salary iingie Pasaka iwe njema mara paap kibubu kinakauka hadi next month.
Hii nchi kuna watu hawako serious na maisha ya binadamu wenzao.Mshahara ukikatwa kuanza kulipwa sio mchezo.🤣🤣🤣🤣🪑💺🎶🎶🎶
Hakika mkuu 📌📌📌📌Hii nchi kuna watu hawako serious na maisha ya binadamu wenzao.
Ni balaa aisee afu ndounategemewa.Mimi nilijua masihara mkuu, yaani maisha haya ya utumishi wa umma mshahara unasubiriwa kwa hamu kwelikweli mifuko inakuwa haina kitu halafu ndio inakuwa hivi.
Pole sana braza.
Acha kabisa mkuu.Ni balaa aisee afu ndounategemewa.
Very painfully ❌ very painful ☑️Kingereza kibovu hicho, andika Kiswahili tu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Lakini si umeielewa alimaanisha Nini?Kingereza kibovu hicho, andika Kiswahili tu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
walitakiwa kuplan then utekelezaji ungekuwa barua ya ruhusa kwenda masomoni.Walioko masomoni hawakutakiwa kupandisha mpango zaidi tuu ya kujiunga na mfumo. Au huko kwenu walifundisha tofauti?
Sina hakika kama unaufahamu huo mfumo wenyewe!Watumishi wa serikali wamezoea kuwa wazembe sana naunga mkono hoja.
Mbona wenzenu wanaufahamu na wamefanyia kazi maelekezo ya serikali au nyie mna serikali yenu tofauti na hii.Sina hakika kama unaufahamu huo mfumo wenyewe!