RAINEL LIHAWA
Member
- Apr 14, 2015
- 33
- 30
Habari za majukumu viongozi?
Naomba tupeane angalizo hususan kuhusu huu mfumo wa PEPMIS.
Kumezuka utapeli mkubwa sana. Watumishi wanapigiwa simu wakitishiwa kuwa mfumo umewatema na hivyo mshahara wa mwezi Januari hawatapata na ili kulitatua hilo wanaombwa fedha.
Mwalimu mmojawapo ndani ya Halmashauri X amepigiwa. Tuchukue tahadhari kubwa.
PIA KITU KINGINE
Hii mifumo uwe nayo makini
Unashauliwa kutumia kwenye device zako tuu kwani mifumo hii ina taarifa zako nyeti.
Usikubali Kwa Kila mtu kumpa au kufanyia kazi kwenye device ya mtu mwingine.
Anaweza ona taarifa zako zote na asije akavuruga mambo huko.
Kama unahitaji msaada usijaribu kutoa check namba yako Kwa mtu usiemjua.
Baadae atakwambia umtumie na password yako. Usije fanya hivyo.
Nawatakia sherehe njema za kuuaga mwaka 2023 na kuupokea mwaka mwaka mpya wa 2024.
Mwenyezi Mungu akatujalie uwe ni mwaka wa kheri na mafanikio tele..
Naomba tupeane angalizo hususan kuhusu huu mfumo wa PEPMIS.
Kumezuka utapeli mkubwa sana. Watumishi wanapigiwa simu wakitishiwa kuwa mfumo umewatema na hivyo mshahara wa mwezi Januari hawatapata na ili kulitatua hilo wanaombwa fedha.
Mwalimu mmojawapo ndani ya Halmashauri X amepigiwa. Tuchukue tahadhari kubwa.
PIA KITU KINGINE
Hii mifumo uwe nayo makini
Unashauliwa kutumia kwenye device zako tuu kwani mifumo hii ina taarifa zako nyeti.
Usikubali Kwa Kila mtu kumpa au kufanyia kazi kwenye device ya mtu mwingine.
Anaweza ona taarifa zako zote na asije akavuruga mambo huko.
Kama unahitaji msaada usijaribu kutoa check namba yako Kwa mtu usiemjua.
Baadae atakwambia umtumie na password yako. Usije fanya hivyo.
Nawatakia sherehe njema za kuuaga mwaka 2023 na kuupokea mwaka mwaka mpya wa 2024.
Mwenyezi Mungu akatujalie uwe ni mwaka wa kheri na mafanikio tele..