Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,353
- 4,535
Umofia kwenu wanajukwaa
Ni ajabu na raha kuona mamlaka zimeacha kupambania watu wake katika msingi wa kila agenda ya maadui wa taifa.
Hususani adui maradhi, sasa hivi UKIMWI ama HIV watu hawaogopi wamebuni njia ya kutumia mafuta ya nazi ambapo jinsia ke humiminiwa mafuta hayo insido (ukeni) na pia jinsia me hutia kwa apexo (juu ya rungu max).
Inasikitisha kitu hiki cha mafuta kimekubalika na kuaminiwa na wanawake wanauliza kabisa unamafuta kama huna nipe pesa nikanunue.
Nimetembea mikoa ya pwani, pwani ya kusini, hii kitu mafuta imekolea condom haiuziki na hainunuliki.
Utamaduni wa hii kitu utaleta gharika mamlaka amkeni.
Swali kwa madaktari wa afya viral load inakuwaje kuhusu ishu ya mafuta na kinga dhidi ya wadudu? Usalama upo kiasi gani?
Madaktari tusaidieni jamii itaangamia, na kama inafaa basi kampeni ya matumizi iongezwe vibes.
Nawasilisha jipende jipende kupima VVU ndio mpango kila wakati na popote pale.
Ni ajabu na raha kuona mamlaka zimeacha kupambania watu wake katika msingi wa kila agenda ya maadui wa taifa.
Hususani adui maradhi, sasa hivi UKIMWI ama HIV watu hawaogopi wamebuni njia ya kutumia mafuta ya nazi ambapo jinsia ke humiminiwa mafuta hayo insido (ukeni) na pia jinsia me hutia kwa apexo (juu ya rungu max).
Inasikitisha kitu hiki cha mafuta kimekubalika na kuaminiwa na wanawake wanauliza kabisa unamafuta kama huna nipe pesa nikanunue.
Nimetembea mikoa ya pwani, pwani ya kusini, hii kitu mafuta imekolea condom haiuziki na hainunuliki.
Utamaduni wa hii kitu utaleta gharika mamlaka amkeni.
Swali kwa madaktari wa afya viral load inakuwaje kuhusu ishu ya mafuta na kinga dhidi ya wadudu? Usalama upo kiasi gani?
Madaktari tusaidieni jamii itaangamia, na kama inafaa basi kampeni ya matumizi iongezwe vibes.
Nawasilisha jipende jipende kupima VVU ndio mpango kila wakati na popote pale.