Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Kuna kila dalili kuwa idadi inaweza kuongezeka; mlioko nyumbani someni Nipashe....
Kuna kila dalili kuwa idadi inaweza kuongezeka; mlioko nyumbani someni Nipashe....
Kwa hiyo unaomba vifo viongezeke? Huyu jamaa kweli kadata...
I am sory, i wish wangekuwa wameokoka, sasa unajua kwa imani yangu, mtu akifa wakati hajampokea Bwana, ndo moja kwa moja motoni, sasa, sisi tuliobaki, tupate fundisho kuwa, sikikuu za kimungu kama hizi sio sikukuu za kufanya maovu. poleni wafiwa.ila hata tukiomba Mungu azilaze mahali pema roho zao, hatafanya hivyo, ni kujilisha upepo tu.
Nashangaa kwanini mwenye ukumbi huo bado hajakamatwa na polisi mpaka sasa hivi. Yaani anathibitisha tu kutokea kwa tukio hilo halafu basi! Eti watoto waliwazidi nguvu walinzi!!!! Tangu lini watoto wakawa na nguvu kuliko baunsa? Hapo ni tamaa ya pesa tu ilitawala mpaka akajaza watoto wengi kuliko uwezo wa ukumbi.
Yale yale ya kusema dala dala halijai kwa kuwa sio ndoo ya maji...!!! Poor Tanzanians!!!
Nashangaa kwanini mwenye ukumbi huo bado hajakamatwa na polisi mpaka sasa hivi. Yaani anathibitisha tu kutokea kwa tukio hilo halafu basi! Eti watoto waliwazidi nguvu walinzi!!!! Tangu lini watoto wakawa na nguvu kuliko baunsa? Hapo ni tamaa ya pesa tu ilitawala mpaka akajaza watoto wengi kuliko uwezo wa ukumbi.Yale yale ya kusema dala dala halijai kwa kuwa sio ndoo ya maji...!!! Poor Tanzanians!!!
My Take:PRESIDENT Jakaya Kikwete has sent his condolences to the families of 19 children who died in a discotheque when celebrating Idd el Fitr in Tabora on Wednesday.
The President has also called for a thorough investigation into the matter and stern measures taken against all those involved.
Police in the region said today that six other children are hospitalized, two of them in critical condition, following the incident.
The owner of the club, Mr Shashi Patel, has been arrested as police continue with investigations.
The Minister for Labour, Employment and Youth Development, Prof Juma Kapuya, said that the president has given 500,000/- to each one of the families of victims of tragedy, the worst in the countrys history.
Prof Kapuya said that President Kikwete has received with profound shock the childrens death that occurred at around 6:30 pm at Bubbles Night Club.
Tabora acting Regional Police Commander, Mr Daudi Siasi, said that the children suffocated after the club was overheated due to poor ventilation.
Temperatures in tabora has been recorded at over 33 degrees Centigrade. The children who perished were aged between 7 and 15 years.
Among others, the Uyui District medical Officer, Dr Makelele lost two children in the tragedy. His wife passed away three weeks ago.
The National Social Security Fund (NSSF), owners of the building that housed the club, have also promised to give 500,000/- to the families of each of the children that died in the tragedy, and 100,000/- to the families of the injured children.
Tabora regional authorities have given each family of the deceased children 50,000/- and the go ahead for the families to bury their dead.
Mr Siasi named those who died in the incident as Veronica Manigu (7), Beatrice Makelele (14), Jacob Gerald (12), Salma Hamis (12), Khadija Waziri (13), Rehema Moto (14), Selemani Iddi (11), Mrisho Seklemani (10), Abdallah Rehani (14) and Agatha manigu (12).
Others are Paulina Emmanuel (11), Mohammed Kapaya (15), Ramla Yenga (15), Habiba Shabani (15), Donald Kasera (12), Mwanahamisi Waziri (11), Philipo Haule (11), Ashura Jacob (12) and Yasini Rashidi (11).
The injured are Msimu Rehani (14), Tatu Amani (15), Kulwa Iddi (12), Sakina Alli (10) who was discharged and later returned to hospital, Jumanne Abdulla whose age was not established and Naomi Joseph (13) who are in critical condition.
My Take:
This is big, this is huge, this is absolutely insane. I'm so maad. Huu sasa ni uhuni. Hii ni mamilioni ya fedha za adhabu. NSSF na mabilioni waliiyonayo wanatoa Shs. 500,000 Really (yaani dola 500 hivi). Hivi watanzania wanajua kiasi kilichotumika kwenye utalii wao juzi New York? Kweli ndio thamani ya watoto wetu hii na ndiyo dalili ya uchungu?
You know what this reminds me of? Kesi ya Ditopile na jinsi wakuu walivyoanza kujitokea na kutoa pole na rambirambi.. tegemea the same Tabora.