Roadmap
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 2,898
- 5,797
Mwigulu ana Vision kubwa binafsi zaidi ya Uwaziri, Hata mwendezake aliwahi kumchana kuwa atulie afanye kazi zake mambo ya kuota Urais kila saa hayafai, Hawezi kutumikia vision mbili at a time yani Atekeleze mikakati ya wizara ya Fedha hapo hapo alinde vision ya kutaka Urais that cant be
Hata Assad pia hafai kuongoza hio Wizara abaki kuwa mshauri tu
Hata Assad pia hafai kuongoza hio Wizara abaki kuwa mshauri tu