Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waibe wengine ajiuzulu waziri!. Dawa ni kufukuza kazi hao wezi na kuwafikisha mahakamani. Ajiuzulu waziri halafu wale wezi waendelee kudunda mtaani!!.
Hili sio suala lenye kufanana na Mwinyi alipojiuzulu mwaka 1975. Kipindi kile walikufa watu kwa ujinga wa waliokuwa chini ya waziri wa mambo ya ndani. Hili la Mwigulu hajafa mtu bali kuna wezi wa chini yake, fukuza kazi hao waheshimiwa kama ushahidi upo wenye kujitosheleza, ili wengine wajifunze kupitia adhabu wanayopewa.
Ndio huo ambao umewakuta hao wote waliosimamishwa na waziri mkuu.Nn maana ya uwajibikaji???tuanzie hapo kwanza
Ndio huo ambao umewakuta hao wote waliosimamishwa na waziri mkuu.
Hata hizo taasisi imara zitaongozwa na nani ambaye atakuwa imara chief?.Haahaa, afrika inahitaji taasisi imara Sio watu imara mkuu, Sheria zetu nyingi Ni za uonevu mtupu badala ya kulinda rasilimali zetu, wizi upo muda wote na awamu zote.Tulishuhudia jpm akitembea na mabilioni kwenye magari na kugawa hovyo kwa watu binafsi wote ule Ni wizi mtupu
Wanene pekee ndiyo wenye uthubutu wa kuomba malipo ya m250+, wasioulizwa, wengine hawawezi.Kama walioinitiate process ya kukwapua hizo pesa ni wanene sana, mwisho wa siku watakwambia hizo pesa zilitoka katika process nzima ya mazishi ya the late JPM.
Imagine. Viongozi majuha kwelikweliHivi pesa nyingi hivyo yaweza toka bila wazir husika na katibu mkuu husika kujua???
Kwa mwendo huu? HeLa zishapigwa afu unasema "ata" asee wabongo mnawahi kusamehRAIS WA TANZANIA 2025 kweli watu wanaiba yuko ofisini..anaumbuliwa na waziri mkuu ..yeye alikuwa wapi kuyajua haya ......
Mwigulu apunguze siasa ..na kuzungukwa na madalali , afanye kazi , kwa mwendo huu watamtumbua ..
Ajiuzulu na wezi wafukuzwe.Waibe wengine ajiuzulu waziri!. Dawa ni kufukuza kazi hao wezi na kuwafikisha mahakamani. Ajiuzulu waziri halafu wale wezi waendelee kudunda mtaani!!.
Hili sio suala lenye kufanana na Mwinyi alipojiuzulu mwaka 1975. Kipindi kile walikufa watu kwa ujinga wa waliokuwa chini ya waziri wa mambo ya ndani. Hili la Mwigulu hajafa mtu bali kuna wezi wa chini yake, fukuza kazi hao waheshimiwa kama ushahidi upo wenye kujitosheleza, ili wengine wajifunze kupitia adhabu wanayopewa.
Sio rahisi kama tunavyoongea humu.Ajiuzulu na wezi wafukuzwe.
Mnaanza kutengeneza mazingiraKipimo cha "Kazi Iendelee" kitaonekana hapa! Kama ni Mwigulu ameliona hili akaona atoe habari basi wananchi tufahamishwe haraka tujue. La sivyo hii ina maanisha kwamba waajiriwa hewa wameshaanza kurudi serikalini. Hili linaogopesha, wahusika wafunguliwe mashtaka haraka iwezekanavyo.