Nchi hii mtumishi ambae hana posho ni mwalimu tu. Huyu kila kitu ataambiwa awe mzalendo.Hawa viongozi wetu wanacheza tu na akili zetu! Haya ni maonesho tu yasiyokuwa na uhalisia! Mbona mengine hatuambiwi? Kwani ni wizara ya frdha tu wanalipana maposho makubwa? Ubadhirifu upo kila mahali lakini mnachagua sehemu ambayo mnajua mtawapumbaza wananchi! In fact hakuna litakaloendelea kwa sababu sheria navtsratibu zinawaruhusu kujilipa walivyojilipa! Acheni kutuchezea akili nyie!