jokaKuu,Bulesi,
..hivi waziri mkuu ana mamlaka ya kutuma watu kwenda nyumbani kwa waziri yeyote yule na kumsachi??
..mimi nadhani mwenye mamlaka hayo alikuwa ni Raisi, na alipaswa kufanya hivyo baada ya kumfuta kazi waziri wake.
..Raisi akiamua kumsachi waziri yeyote yule maana yake amepoteza imani naye. waziri huyo pia anapaswa kujiuzulu nafasi yake in protest ikiwa Raisi hatamfuta kazi.
Nadhani point zako hapo ndizo zilizompelekea Mwalimu kumzuia Sokoine asifanye msako nyumbani kwa Msuya.