King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,593
Sawa kabisa Dr. Ndungulile. Tujue kama kwa kipato halali kunanuwezekano mtumishi wa umma au mwanasiasa akawa na 90 billion kwen akauntu binafsi?
Fikiria tu mbunge ambaye anachukua 12m per month kwa mda wa miaka mi5 asipotumia hata sumni ina maanisha atasave 720m,bil90 haiwezekani uipate kihalali wengi walihongwa na makampuni ya madini na mafuta!