Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

Wakuu tuanze kwa kutaja majina ya wanaoshakiwa; na baadaye tuyapigie kura.
Kiongozi wa juu serikalini, no doubt
1. JK wa sasa, then
2.
3.

Mkuu, nahisi kwenye hii list JK /kiongozi wa juu wa serikali hayupo. Hiki kitu ninavyokiona ni CCM against CCM wenyewe wameamua kuchomeana. Kuna kundi linaloficha hela Uarabuni/Dubai na lingine linaloficha hela Uswisi. Sasa nafikiri lile la Dubai (akiwepo JK) ndio linalo-push hii issue forward kwa lengo fulani. It may be wanajaribu kumchafua/kumuumbua mtu/watu fulani ndani ya hao hao CCM; ambae ameikosoa serikali au ame-challenge serikali hii. Inawezekana kati ya hao wanaotaka Rais avuliwe uenyekiti wa CCM; kuna wanaoweka fedha Uswisi na ukiangalia vizuri baadhi yao ni viongozi wa serikali zilizopita. Inawezekana pia ni kuchafuana kwa makundi katika pilikapilika za mbio za uraisi. Nilicho na uhakika nacho ni kwamba wanao-push hii issue forward (behind the scene) ni kundi ndani ya CCM. Hili utaliona wazi kwani; baadhi ya wana CCM wameshikia bango kutajwa majina kwa hawa watu kitu ambacho sio normal kwa CCM.
However; hatutaacha kuwapongeza wale wenye nia dhabiti-nia ya uzalendo yakusafisha nchi na chama kwa ujumla na sio visasi au kuchafuana. Ninavyofahamu; kinara wa kuweka pesa Uswisi anayefahamika na wengi ni mzee wa kusini Che-Mkapa. Nakubaliana na wengine kwamba; kuwa na pesa nyingi si hoja kama wataweza kueleza jinsi walivyozipata. Nafikiri kwa mtizamo wakizalendo; huwezi kuwekeza that much money kwa nchi nyingine wakati ungeweza kuwekeza nchini kwako kama kweli hiyo pesa ni halali (at least this is how I see it). Lakini pia kutokuwa mzalendo sio kosa vile vile. Nafikiri tukivuta subira tutajua majina na vile vile tutajua chanzo cha hii issue kuwa pushed forward now kwani hii scandle ilikuwa inafahamika siku nyingi tu.
 
Ritz?system haijakupa mafao yako nini?



Katemwa na system na yeye Naona kaanza kutema cheche.....ana Kama wiki 3 haja sign sababu maneno yamemuishia ndio maana nape Kampa red card watarudi kwenye mstatili mmoja mmoja na hii thread yako nape akiisoma anaku ulimboka fasta Tehe Tehe Tehe Ritz Naona limbwata la gambazzzzzzz ulilolishwa lime expire njoo uvae gwanda achana na commission tumikia taifa lako kwa faida ya kizazi chako njaa ya Siku moja haiui bwana Ritz
 
Mkuu, nahisi kwenye hii list JK /kiongozi wa juu wa serikali hayupo. Hiki kitu ninavyokiona ni CCM against CCM wenyewe wameamua kuchomeana. Kuna kundi linaloficha hela Uarabuni/Dubai na lingine linaloficha hela Uswisi. Sasa nafikiri lile la Dubai (akiwepo JK) ndio linalo-push hii issue forward kwa lengo fulani. It may be wanajaribu kumchafua/kumuumbua mtu/watu fulani ndani ya hao hao CCM; ambae ameikosoa serikali au ame-challenge serikali hii. Inawezekana kati ya hao wanaotaka Rais avuliwe uenyekiti wa CCM; kuna wanaoweka fedha Uswisi na ukiangalia vizuri baadhi yao ni viongozi wa serikali zilizopita. Inawezekana pia ni kuchafuana kwa makundi katika pilikapilika za mbio za uraisi. Nilicho na uhakika nacho ni kwamba wanao-push hii issue forward (behind the scene) ni kundi ndani ya CCM. Hili utaliona wazi kwani; baadhi ya wana CCM wameshikia bango kutajwa majina kwa hawa watu kitu ambacho sio normal kwa CCM.
However; hatutaacha kuwapongeza wale wenye nia dhabiti-nia ya uzalendo yakusafisha nchi na chama kwa ujumla na sio visasi au kuchafuana. Ninavyofahamu; kinara wa kuweka pesa Uswisi anayefahamika na wengi ni mzee wa kusini Che-Mkapa. Nakubaliana na wengine kwamba; kuwa na pesa nyingi si hoja kama wataweza kueleza jinsi walivyozipata. Nafikiri kwa mtizamo wakizalendo; huwezi kuwekeza that much money kwa nchi nyingine wakati ungeweza kuwekeza nchini kwako kama kweli hiyo pesa ni halali (at least this is how I see it). Lakini pia kutokuwa mzalendo sio kosa vile vile. Nafikiri tukivuta subira tutajua majina na vile vile tutajua chanzo cha hii issue kuwa pushed forward now kwani hii scandle ilikuwa kkinafahamika siku nyingi tu.
Nakubaliana na analysis yako...hata hivyo maybe magroup hayo yanaweka kotekote,only maybe yanaweka sehemu moja zaidi kuliko nyingine.Nakubali wanaviziana.
 
Kweli wahenga walisema hata saa mbovu kuna wakati inasema ukweli. Hii serikali pamoja na udhaifu wake lakini imefanikiwa kuchelewesha baadhi ya aibu zinazoikabili.
Kama si kulifungia mwanahalisi sasahivi tungeshajua majina ya hawa mafisadi walioficha vijisenti vyao huko uswisi.
 
Kweli wahenga walisema hata saa mbovu kuna wakati inasema ukweli. Hii serikali pamoja na udhaifu wake lakini imefanikiwa kuchelewesha baadhi ya aibu zinazoikabili.
Kama si kulifungia mwanahalisi sasahivi tungeshajua majina ya hawa mafisadi walioficha vijisenti vyao huko uswisi.

Kwani hao mwanahalisi hawamo humu?
 
Ritz, ningefurahi sana kama ningeona majina yao hapa...
 
There you are MKUU, mambo ya maigizo tu ya kujaribu kujijenga kisiasa by all means - hooks or crooks everything goes! Mimi binafsi nina imani kwamba JK ana nia thabiti ya kukomesha janga hili la ulaji wa kupindukia - tatizo ni kwamba sasa hivi ana wakati mgumu wa kujuwa amuamini yupi ahache yupi, akipata ushahidi wa kutosha hata huwe rafiki yake kivipi atakutia ndani - mifano tunayo; wakati wa enzi za Kambarage sio kwamba ubadhilifu haukuwepo - ulikuwepo sana lakini sikuwahi kumsikia anamtia former Waziri au katibu mkuu mahabusu au kumfungulia mashitaka! Swali ni kwa nini? sana sana alichokuwa anafanya ni kuwahamisha hamisha na wakati mwingine kuwatelemsha vyeo basi.

Chukulia mfano wa vita vya wahujumu uchumi, nini kilitokea baada ya kukamatwa ndugu yangu marehemu Mzee Barongo, Nyerere kahamuru the late Sokoine amuachie huru Barongo mara moja bila ya kutoa sababu za kulidhisha kwa wananchi, wananchi walipo mzonga zonga Nyerere kuhusu suala la mzee Barongo kuachiwa huru, Nyerere alijibu "Hee ban hee, yaani mtu ukipewa gari kuendesha kwa kasi kwenye barabara ya mashimo atafanyaje? si lazima upunguze mwendo unapofikia kwenye mashimo" kaulihiyo ya Nyerere ilikuwa na dhamila ya kumkingia kifua rafiki ya Barongo!! Nafikili jibu hilo lilimkata maini Mzalendo Sokoine akapunguza kasi ya kushughulikia suala la uhujumu uchumi.

Mimi nikisikia watu wanasema JK ni dhaifu nashanga sana! Hivi angekuwa dhaifu au mtu ambaye hawezi ku-make decision mbona Mh. Lowassa ambaye ni rafiki yake wa karibu na JK angukuwa bado ni Wazari mkuu, wewe unafikili JK angechukuwa simu akampigia SITA kwamba hataki suala la Richmond lijadiliwe Bungeni angeshindwa kuzima hoja ya R'mond? nini kilicho tokea kwa akina Yona, Mlamba, Mgonja na sasa hivi Mzee Iddi Simba - Nani anaweza kutoa ushahidi wa kuonyesha kwamba Marais walio mtangulia JK waliwahi kuwashughulikia marafiki zao bila woga, hakuna.

Nimezungumza mengi kidogo hili wakati mwingine tunapo walahumu watu tujaribu kulinganisha na historia ya tawala zilizo pita.
Haikuwa Barongo, ilikuwa ni Msuya. Na hiyo quote yako uliyobold ni kama vile umetunga. Sidhani Nyerere aliwahi kusema "hee ban hee.
 
uko sawa kabisa mkuu, bado sijaona mwenye kuvaa viatu vya nyerere ktk serikali hii, hivyo uzalendo haupo
yaani mkutano wa kizota ughalimie billion 55, wakati shule za dar Es Salaam karibia zote hazina madeski?
 
selikali ilitumia wakuu wa polisi wote wa mikoa, wakuu wa mikoa, mahakama, na wakuu wa wilaya kuwakalipia walimu warudi mashuleni waliitisha mgomo. Leo hii kuna wizi wa mabilion na yamewekwa uswiss, kuna wizi mkubwa huko kwa wakurugenzi wa maendelo wa wilaya wote tanzania, wabunge kuomba rushwa hadharani, lakini ajabu sioni ukali wa serikali wa kuwatumia wakuu wa polisi, mikoa na wilaya kuwakama wezi hao, kulikoni? serikali hii, eti inaweza kuilaani Israel inapowapiga vita wapalestina lakini haiwezi kulaani wanasiasa wezi wnapoipiga vita hazina yetu! aliyetuloga kweli kafa!!
 
Time will tell,kila kitu kitafahamika na ndiyo itakuwa mwisho wa hawa magamba.kuoneana aibu sasa basi.

kwa taarifa tu ni kuwa kati kati ya hao 27 miongoni mwao ni magamba na wengine ni magwanda!!! inatatisha makeke yanaanza kabla hujatolewa mahali? mke wa jinsi hiyo sioi ngooo!!!!
 
Kweli wahenga walisema hata saa mbovu kuna wakati inasema ukweli. Hii serikali pamoja na udhaifu wake lakini imefanikiwa kuchelewesha baadhi ya aibu zinazoikabili.
Kama si kulifungia mwanahalisi sasahivi tungeshajua majina ya hawa mafisadi walioficha vijisenti vyao huko uswisi.

kubenea nadhani bado yupo!!!! na bado ana nafasi kubwa kutoa mchango wake na wala jukwa kwake si mwanahalisi (magazeti tu) tunamuomba hata kwa j/f ni mahara pake alete vitu
 
Pesa zilizofichwa Dubai, nchi nyingine za kiarabu, baadhi ya nchi za Carribean na South Africa hizi kamwe hazitajulikana. Si ajabu hizi zilizogunduliwa Switzerland ni cha mtoto wenyewe huita vijisenti.

Mkuu, nahisi kwenye hii list JK /kiongozi wa juu wa serikali hayupo. Hiki kitu ninavyokiona ni CCM against CCM wenyewe wameamua kuchomeana. Kuna kundi linaloficha hela Uarabuni/Dubai na lingine linaloficha hela Uswisi. Sasa nafikiri lile la Dubai (akiwepo JK) ndio linalo-push hii issue forward kwa lengo fulani. It may be wanajaribu kumchafua/kumuumbua mtu/watu fulani ndani ya hao hao CCM; ambae ameikosoa serikali au ame-challenge serikali hii. Inawezekana kati ya hao wanaotaka Rais avuliwe uenyekiti wa CCM; kuna wanaoweka fedha Uswisi na ukiangalia vizuri baadhi yao ni viongozi wa serikali zilizopita. Inawezekana pia ni kuchafuana kwa makundi katika pilikapilika za mbio za uraisi. Nilicho na uhakika nacho ni kwamba wanao-push hii issue forward (behind the scene) ni kundi ndani ya CCM. Hili utaliona wazi kwani; baadhi ya wana CCM wameshikia bango kutajwa majina kwa hawa watu kitu ambacho sio normal kwa CCM.
However; hatutaacha kuwapongeza wale wenye nia dhabiti-nia ya uzalendo yakusafisha nchi na chama kwa ujumla na sio visasi au kuchafuana. Ninavyofahamu; kinara wa kuweka pesa Uswisi anayefahamika na wengi ni mzee wa kusini Che-Mkapa. Nakubaliana na wengine kwamba; kuwa na pesa nyingi si hoja kama wataweza kueleza jinsi walivyozipata. Nafikiri kwa mtizamo wakizalendo; huwezi kuwekeza that much money kwa nchi nyingine wakati ungeweza kuwekeza nchini kwako kama kweli hiyo pesa ni halali (at least this is how I see it). Lakini pia kutokuwa mzalendo sio kosa vile vile. Nafikiri tukivuta subira tutajua majina na vile vile tutajua chanzo cha hii issue kuwa pushed forward now kwani hii scandle ilikuwa inafahamika siku nyingi tu.
 
kama watu wanajua mpaka na kiasi cha fedha kilichofichwa na wahusika , inakuwaje wanashindwa kutaja majina? Au kile kile kitendo cha serikali kulifungia mwanahalisi kimeweza kufanikisha nia ya serikali ya kuwatia woga wamiliki wa vyombo vya habari?

We unavyoambia ''kiongozi wa juu serikalini na aliyepata kua waziri wa serikali ya awamu ya tatu'' wadhani ni nani?
 
Mkuu, nahisi kwenye hii list JK /kiongozi wa juu wa serikali hayupo. Hiki kitu ninavyokiona ni CCM against CCM wenyewe wameamua kuchomeana. Kuna kundi linaloficha hela Uarabuni/Dubai na lingine linaloficha hela Uswisi. Sasa nafikiri lile la Dubai (akiwepo JK) ndio linalo-push hii issue forward kwa lengo fulani. It may be wanajaribu kumchafua/kumuumbua mtu/watu fulani ndani ya hao hao CCM; ambae ameikosoa serikali au ame-challenge serikali hii. Inawezekana kati ya hao wanaotaka Rais avuliwe uenyekiti wa CCM; kuna wanaoweka fedha Uswisi na ukiangalia vizuri baadhi yao ni viongozi wa serikali zilizopita. Inawezekana pia ni kuchafuana kwa makundi katika pilikapilika za mbio za uraisi. Nilicho na uhakika nacho ni kwamba wanao-push hii issue forward (behind the scene) ni kundi ndani ya CCM. Hili utaliona wazi kwani; baadhi ya wana CCM wameshikia bango kutajwa majina kwa hawa watu kitu ambacho sio normal kwa CCM.
However; hatutaacha kuwapongeza wale wenye nia dhabiti-nia ya uzalendo yakusafisha nchi na chama kwa ujumla na sio visasi au kuchafuana. Ninavyofahamu; kinara wa kuweka pesa Uswisi anayefahamika na wengi ni mzee wa kusini Che-Mkapa. Nakubaliana na wengine kwamba; kuwa na pesa nyingi si hoja kama wataweza kueleza jinsi walivyozipata. Nafikiri kwa mtizamo wakizalendo; huwezi kuwekeza that much money kwa nchi nyingine wakati ungeweza kuwekeza nchini kwako kama kweli hiyo pesa ni halali (at least this is how I see it). Lakini pia kutokuwa mzalendo sio kosa vile vile. Nafikiri tukivuta subira tutajua majina na vile vile tutajua chanzo cha hii issue kuwa pushed forward now kwani hii scandle ilikuwa inafahamika siku nyingi tu.

Du kutokuwa mzalendo si kosa!!! Wala kupeleka fedha nje??? hakika uko sahihi lakini hata "Daktari kula wagonjwa wake si kosa !!!!!!!"
 
uko sawa kabisa mkuu, bado sijaona mwenye kuvaa viatu vya nyerere ktk serikali hii, hivyo uzalendo haupo
CHA KUSHANGAZA WOTE WALIKUWA WANAFUNZI WAKE WAAMINIFU ALIWAPELEKA KUWANOA KWENYE KILE CHUO CHA CHAMA, WENGINE ALIWANADI KAMA WATU SAFI. Angefufuliwa leo angeomba arudishwe haraka alikotoka, RIP Baba wa Taifa.
 
vita ni mbaya ila kwa hii hali sijui tutaikwepaje, haiwezekan wengine wafe njaa na wengine wameficha pesa bora Tupigane Tufe tukitafuta haki kuliko kukaa kimya tufe kwa njaa. tutakwenda motoni kwa uzembe VIJANA TUAMKE, WAKATI NI SASA ,,,, KUNA YULE MWINGINE MKUUUUBWAAA JESHIINI NAE NASIKIA AN TRILIONI ZA MBILI. HAPA BORA TUPIGANE TUTAHESHIMIANA , HUU NI USANGI MTUPU
 
Hii nchi kweli shamba la bibi mpaka wakati wa Nyerere napo watu wamefanya ufisadi, tatizo muandishi kaficha majina.


Unataka majina ya nini? hapo cha msingi ujue tu kwamba walioiba ni viongozi wa CCM, inatosha!
 
Back
Top Bottom