Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

Watanzania 27 wanamiliki mabilioni Uswisi

Shetani akizeeka huwa anakuwa malaika- huenda Ritz gamba yupo kwenye period,I mean transition period ya kuvua ugamba na kuvaa uzalendo japo ni rahisi jua kutokea kusini kuliko fisadi kujivua gamba na kuvaa uzalendo- mfano Chenge,Sita,Mwakyembe coz gamba always remain gamba!
 
Ngoja tukusaidie title..... "VIONGOZI 27 WA CCM WAMILIKI MABILIONI USWIS"
 
Haikuwa Barongo, ilikuwa ni Msuya. Na hiyo quote yako uliyobold ni kama vile umetunga. Sidhani Nyerere aliwahi kusema "hee ban hee.

Mimi nilimsikia kwa masikio yangu RADIONI Nyerere akitoa mfano huo wa gari kwenda mwendo wa kasi kwenye mashimo. Hebu twambie wahandishi wa habari walipo mzonga Baba wa Taifa kuhusu kuachiliwa huru Barongo, Nyerere alijibu nini? - na kumbuka alikuwa amekasirishwa na maswali kuhusu Barongo. Mimi siwezi kujuwa unataka kupre-empty kitu gani au kuna kitu gani kimakukera.

Sikuwahi kusikia Mh. Msuya amewekwa kuzuizini/kufungwa wakati wa operation ya kukamata wahujumu uchumi - sasa hapo sijuhi anaye TUNGA ni nani kati yako na mimi?

Unaweza kweli kuthibitishia wana JF kwamba Mh.Msuya aliwahi kutuhumiwa katika sakata la kuhujumu uchumi? au kuthibitisha kwamba Nyerere aliwahi kuzungumza chochote kuhusu Mh.Msuya na kashifa HIZO, zaidi ya the late Barongo?
 
Mimi nilimsikia kwa masikio yangu RADIONI Nyerere akitoa mfano huo wa gari kwenda mwendo wa kasi kwenye mashimo. Hebu twambie wahandishi wa habari walipo mzonga Baba wa Taifa kuhusu kuachiliwa huru Barongo, Nyerere alijibu nini? - na kumbuka alikuwa amekasirishwa na maswali kuhusu Barongo. Mimi siwezi kujuwa unataka kupre-empty kitu gani au kuna kitu gani kimakukera.

Sikuwahi kusikia Mh. Msuya amewekwa kuzuizini/kufungwa wakati wa operation ya kukamata wahujumu uchumi - sasa hapo sijuhi anaye TUNGA ni nani kati yako na mimi?

Unaweza kweli kuthibitishia wana JF kwamba Mh.Msuya aliwahi kutuhumiwa katika sakata la kuhujumu uchumi? au kuthibitisha kwamba Nyerere aliwahi kuzungumza chochote kuhusu Mh.Msuya na kashifa HIZO, zaidi ya the late Barongo?
Hukusikia Msuya kutuhumiwa katika sakata la kuhujumu uchumi kwa sababu it did not happen. Sokoine alitaka kufanya upekuzi kwenye nyumba yake na Msuya akampigia Mwalimu simu akilalamika kuwa hawezi kukaguliwa huku akiwa waziri. That was the end of it. Barongo hakukamatwa na Sokoine.
 
Mjengo umeoza Mkuu wanawaza namna ya kutafuta rushwa huku na kule, kwenda kujirusha na kilevi, kuchapa usingizi wakiwa mjengoni na kukinga mikono kuchukua posho zao.

Kwanini hili suala lisijadiliwe Mjengoni ?
 
Sasa Ritz hii serikali si ndiyo unaiteteaga kila siku wewe, lazima kuna kitu(mchongo/deal) wamekunyima ndiyo ukapata kijigadhabu cha kuandika taarifa za magazeti.

Kwa wewe Ritz naju unawajua, ungefanya kitu cha maana kidogo na taarifa yako ingekuwa imekaa sawa kama ungetutajia japo hata watu watano tu, unawajua bana tutajie tu najua wamekumwagia mboga na wewe mwaga ugali
 
Taarifa hizo zinaeleza kuwa mbali na 1.kigogo anayemiliki Sh90 bilioni, wapo wengine wanne, ambapo anayefuatia anamiliki Dola 30 milioni (Sh48 bilioni) mwingine Dola 20 milioni (Sh32 bilioni) na 2. wengine wawili kila mmoja anamiliki Dola 10 milioni (Sh16 bilioni). Katika orodha ya walioweka fedha nchini humo, pia 3.wamo wawili waliowahi kuwa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya kwanza ya Mwalimu Julius Nyerere, ambao wanamiliki Dola 500,000 kwa kila mmoja.

Miongoni mwa wanaomiliki fedha hizo ni kiongozi wa juu nchini pamoja na 4.aliyepata kuwa waziri katika Serikali ya Awamu ya Tatu iliyoongozwa na Rais Benjamin Mkapa.

SOURCE: MWANANCHI AGOSTI 18 2012
Kama tunaichukulia habari hii kichama, tutaona wanaomiliki pesa hizo kutoka CCM ni sita kati ya 27. Kuna uwezekano kuwa waliobaki 21 si viongozi wa CCM.

RIZ ,Ujue sasa hicho chama chenu kimejaa wezi na majambazi,i hate ccm
Niliainisha idadi ya washukiwa na hiki ulichokisema hapa. Una kila sababu ya kuichukia CCM, lakini habari hii haikutaja kama wote wanaomili pesa hizo ni viongozi wa CCM. Je, kama itatokea kati yao ni mmoja wa chama unachokipenda, bado utaendela kuichukia CCM tu? Nahisi kwa hili, tuache mapenzi na chuki za kisiasa bali kuwachukia wezi hawa bila ya kujali chama, dini, kanda au asili yao - huo ndio uzalendo.
 
Sasa Ritz hii serikali si ndiyo unaiteteaga kila siku wewe, lazima kuna kitu(mchongo/deal) wamekunyima ndiyo ukapata kijigadhabu cha kuandika taarifa za magazeti.

Kwa wewe Ritz naju unawajua, ungefanya kitu cha maana kidogo na taarifa yako ingekuwa imekaa sawa kama ungetutajia japo hata watu watano tu, unawajua bana tutajie tu najua wamekumwagia mboga na wewe mwaga ugali

manucho,
Mungu ametupa vichwa kwa ajili ya kufikiri sio kufugia rasta hata kama una akili kama za kuku za kuvukia barabara jaribu kuzitumia vizuri unachotakiwa hapa ni kujenga hoja kwenye hii thread sio kumshambulia Ritz, mleta mada.
 
Last edited by a moderator:
kwangu mimi hii si habari,,,,,NAHITAJI HABARI,HABARI YENYE MAJINA YA WALIOFICHA,,,,NA SI KUWATAJA PIA WAFIKISHWE MAHAKAMAN,NA SI TU KUWEKWA MAHAKAMAN PIA WAPOKWE HAYO MAHELA,NA SI KUPOKWA TU WANAPASWA KUHUKUMIWA JELA,NA SI KUHUKUMIWA TU PIA WAFILISIWE

Na si kufilisiwa tu, wanyong'we! Tatizo mwenye mamlaka ya kunyonga naye yumo.
 
There you are MKUU, mambo ya maigizo tu ya kujaribu kujijenga kisiasa by all means - hooks or crooks everything goes! Mimi binafsi nina imani kwamba JK ana nia thabiti ya kukomesha janga hili la ulaji wa kupindukia - tatizo ni kwamba sasa hivi ana wakati mgumu wa kujuwa amuamini yupi ahache yupi, akipata ushahidi wa kutosha hata huwe rafiki yake kivipi atakutia ndani - mifano tunayo; wakati wa enzi za Kambarage sio kwamba ubadhilifu haukuwepo - ulikuwepo sana lakini sikuwahi kumsikia anamtia former Waziri au katibu mkuu mahabusu au kumfungulia mashitaka! Swali ni kwa nini? sana sana alichokuwa anafanya ni kuwahamisha hamisha na wakati mwingine kuwatelemsha vyeo basi.

Chukulia mfano wa vita vya wahujumu uchumi, nini kilitokea baada ya kukamatwa ndugu yangu marehemu Mzee Barongo, Nyerere kahamuru the late Sokoine amuachie huru Barongo mara moja bila ya kutoa sababu za kulidhisha kwa wananchi, wananchi walipo mzonga zonga Nyerere kuhusu suala la mzee Barongo kuachiwa huru, Nyerere alijibu "Hee ban hee, yaani mtu ukipewa gari kuendesha kwa kasi kwenye barabara ya mashimo atafanyaje? si lazima upunguze mwendo unapofikia kwenye mashimo" kaulihiyo ya Nyerere ilikuwa na dhamila ya kumkingia kifua rafiki ya Barongo!! Nafikili jibu hilo lilimkata maini Mzalendo Sokoine akapunguza kasi ya kushughulikia suala la uhujumu uchumi.

Mimi nikisikia watu wanasema JK ni dhaifu nashanga sana! Hivi angekuwa dhaifu au mtu ambaye hawezi ku-make decision mbona Mh. Lowassa ambaye ni rafiki yake wa karibu na JK angukuwa bado ni Wazari mkuu, wewe unafikili JK angechukuwa simu akampigia SITA kwamba hataki suala la Richmond lijadiliwe Bungeni angeshindwa kuzima hoja ya R'mond? nini kilicho tokea kwa akina Yona, Mlamba, Mgonja na sasa hivi Mzee Iddi Simba - Nani anaweza kutoa ushahidi wa kuonyesha kwamba Marais walio mtangulia JK waliwahi kuwashughulikia marafiki zao bila woga, hakuna.

Nimezungumza mengi kidogo hili wakati mwingine tunapo walahumu watu tujaribu kulinganisha na historia ya tawala zilizo pita.

acha porojo mkuu! Mifano ni mingi sana enzi za mwalimu Nyerere. Alikuwa kidikteta zaidi which is good!
 
acha porojo mkuu! Mifano ni mingi sana enzi za mwalimu Nyerere. Alikuwa kidikteta zaidi which is good!

Mkuu nakubaliana nawe kwamba Kambarage alikuwa mkali kweli kweli na ka-trait ka a watered down diktetaship but not a fully blown Dictactor par se. Nikweli wakati mwingine mambo kama hayaendi unaongeza ka ukali kidogo - karoti na fimbo/kiboko.

Ah, lakusema naleta porojo naona hapo umepata a slip up ya ulimi tu mkuu, mimi sio mwandishi wa riwaya za kusadikika. Have a nice day.
 
Hukusikia Msuya kutuhumiwa katika sakata la kuhujumu uchumi kwa sababu it did not happen. Sokoine alitaka kufanya upekuzi kwenye nyumba yake na Msuya akampigia Mwalimu simu akilalamika kuwa hawezi kukaguliwa huku akiwa waziri. That was the end of it. Barongo hakukamatwa na Sokoine.

Mkuu hii ya kuhusu Mh.Msuya kutaka kupekuliwa nyumbani kwake na Sokoine iliandikwa kwenye gazeti gani au ilitangazwa katika Redio gani? Pili ni zababu zipi zilizo sababisha Mh.Barongo kuwekwa korokoroni wakati wa wimbi la kamata kamata wahujumu uchumi. Nani alitoa amri ya kumuachia huru Mzee Barongo?
 
Hukusikia Msuya kutuhumiwa katika sakata la kuhujumu uchumi kwa sababu it did not happen. Sokoine alitaka kufanya upekuzi kwenye nyumba yake na Msuya akampigia Mwalimu simu akilalamika kuwa hawezi kukaguliwa huku akiwa waziri. That was the end of it. Barongo hakukamatwa na Sokoine.

Jasusi yuko sahihi kwani ni kweli wakati wa kuwakamata wahujumu uchumi, Sekoine alitaka kwenda kumpekua Cleopa Msuya nyumbani kwake wakati huo akiwa waziri lakini mwalimu alimsimamisha asimpekue!!!
 
Usije shangaa wanaosema nao ni wahusika...time will tell
 
Jasusi yuko sahihi kwani ni kweli wakati wa kuwakamata wahujumu uchumi, Sekoine alitaka kwenda kumpekua Cleopa Msuya nyumbani kwake wakati huo akiwa waziri lakini mwalimu alimsimamisha asimpekue!!!

Bulesi,

..hivi waziri mkuu ana mamlaka ya kutuma watu kwenda nyumbani kwa waziri yeyote yule na kumsachi??

..mimi nadhani mwenye mamlaka hayo alikuwa ni Raisi, na alipaswa kufanya hivyo baada ya kumfuta kazi waziri wake.

..Raisi akiamua kumsachi waziri yeyote yule maana yake amepoteza imani naye. waziri huyo pia anapaswa kujiuzulu nafasi yake in protest ikiwa Raisi hatamfuta kazi.
 
Back
Top Bottom