LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
Hivi ina maana haiwezekani kabisa kumkokota mkulu mbele ya haki jamani!? ama kweli tunahitaji katiba mpya haraka sana ili tuwachape bakora hawa majambazi.
majina ndo yanamata huu ukoko wa nini !
kwa hiyo tatizo ni sera za chama chako zinazofuga mafisadiHii nchi kweli watu shamba la bibi mpaka wakati wa Nyerere napo watu wamefanya ufisadi, tatizo muandishi kaficha majina.
waandishi wa hbr wamekuwa mbao za matangazo,hawazami ndani kujua na kuleta habari zenye mashiko.
mwanzisha uzi inaonekana anapenda sana udaku?? Kwanin usitaje majina??? Au swala lipo mahakaman haliluhusiwi kujadiliwa??
I cant believe, tunaomba serikali ithibitishe hili, nimemkumbuka Nyerere alisamee pension yake kwa kuwa nchi ni maskini, kumbe kuna nyang'au walikuwa wanasubiria aondoke waanze kuamisha hizi fedha. Mimi nawaomba wananchi tuamke nakulipigania hili. Hata kama serikali itakataa kuwataja na kuwachukulia hatua kali ikiwemo kufilisiwa, sisi tukutane jangwani kuelekea ikulu kumshinikiza rais arudishe hizo fedha au ajiuZulu. Currently we are talking inflation which is 20%+ shame on CCM
waandishi wa hbr wamekuwa mbao za matangazo,hawazami ndani kujua na kuleta habari zenye mashiko.
Ritz?system haijakupa mafao yako nini?
Wanabodi,
Watanzania 27 wakiwamo wanasiasa na wafanya biashara, imebainika kuwa ndio wameficha mabilioni ya fedha nchini Uswisi, huku mmoja wao akiwa anamiliki Dola za Marekani milioni 56 (sawa na Sh89.6 bilioni).
Taarifa hizo zinaeleza kuwa mbali na kigogo anayemiliki Sh90 bilioni, wapo wengine wanne, ambapo anayefuatia anamiliki Dola 30 milioni (Sh48 bilioni) mwingine Dola 20 milioni (Sh32 bilioni) na wengine wawili kila mmoja anamiliki Dola 10 milioni (Sh16 bilioni). Katika orodha ya walioweka fedha nchini humo, pia wamo wawili waliowahi kuwa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya kwanza ya Mwalimu Julius Nyerere, ambao wanamiliki Dola 500,000 kwa kila mmoja.
Miongoni mwa wanaomiliki fedha hizo ni kiongozi wa juu nchini pamoja na aliyepata kuwa waziri katika Serikali ya Awamu ya Tatu iliyoongozwa na Rais Benjamin Mkapa.
SOURCE: MWANANCHI AGOSTI 18 2012
Hii nchi kweli shamba la bibi mpaka wakati wa Nyerere napo watu wamefanya ufisadi, tatizo muandishi kaficha majina.
Wanabodi,
Watanzania 27 wakiwamo wanasiasa na wafanya biashara, imebainika kuwa ndio wameficha mabilioni ya fedha nchini Uswisi, huku mmoja wao akiwa anamiliki Dola za Marekani milioni 56 (sawa na Sh89.6 bilioni).
Taarifa hizo zinaeleza kuwa mbali na kigogo anayemiliki Sh90 bilioni, wapo wengine wanne, ambapo anayefuatia anamiliki Dola 30 milioni (Sh48 bilioni) mwingine Dola 20 milioni (Sh32 bilioni) na wengine wawili kila mmoja anamiliki Dola 10 milioni (Sh16 bilioni). Katika orodha ya walioweka fedha nchini humo, pia wamo wawili waliowahi kuwa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya kwanza ya Mwalimu Julius Nyerere, ambao wanamiliki Dola 500,000 kwa kila mmoja.
Miongoni mwa wanaomiliki fedha hizo ni kiongozi wa juu nchini pamoja na aliyepata kuwa waziri katika Serikali ya Awamu ya Tatu iliyoongozwa na Rais Benjamin Mkapa.
SOURCE: MWANANCHI AGOSTI 18 2012
kama watu wanajua mpaka na kiasi cha fedha kilichofichwa na wahusika , inakuwaje wanashindwa kutaja majina? Au kile kile kitendo cha serikali kulifungia mwanahalisi kimeweza kufanikisha nia ya serikali ya kuwatia woga wamiliki wa vyombo vya habari?
Ni bahati nzuri sana mleta thread hajui kwamba thread hii inazidi kukiangamiza chama chake!
TUMBIRI (PhD, Hull University - UK),
tumbiri@jamiiforums.com