Wasomi na kiingereza

Wasomi na kiingereza

Wachina hawasomi kwa Kiingereza, lugha yao ya kufundishia ni Kichina cha mandarin.Ila ukikutana na wachina walioamua kujifunza Kingereza wako fluent sana.
Hao hawasomi kwa kiingereza ila somo la english si wanafundishwa na lengo la kufundishwa hilo somo la english ili wajue kiingereza?
 
Ile BA haina technical terms?,Ile Bsc.Maths wantumia numbers Na signs Pekee,we are talking of coherent and lucid thinker with years of formal learning and with a well defined language of instruction.
mkuu nimekuuliza ni yupi anatumia kiingereza kingi kinachotumika kwenye mazungumzo ya kawaida. Mfano huyo mtu wa hesabu ana deal na namba tu, hicho kiingereza cha kumshinda mtu anayesoma history muda wote anatumia kiingereza tena kinachotumika mtaani anakipata wapi. Mtu wa history mitihani yake yote ni kuandika assay tu mapage na mapage huwezi kulinganisha. Labda huyo mtu awe anasoma nje ya nchi ambapo atapata muda wa Ku practice english na watu wa mataifa mengine.
 
Inakuwaje msomi ama graduate wa chuo kikuu aliespend miaka kama minne chuo kikuu na ana degree, masomo yake yote ni kiingereza tupu anafanikiwa kugraduate, lakini ukimwongelesha kiingereza haelewi

Akiamua yeye sasa Hata kuandika ujumbe kwa kiingereza anashusha broken ya hatari hadI unashangaa? Wengine wamefanikiwa kupata kazi kabisa unakuta bonge la engineer from ardhi university English mbovu mkichat yuko kwenye bonge la kampuni

Mbaya zaidi graduate kamaliza chuo few days anaambiwa andika barua ya kuomba internship anaweweseka..Mara nipe google..maelezo yake binafsi yanamshinda kujieleza kwa kiingereza anatafuta CV za wengine akopi.sasa najiuliza huyu mtu kafanikiwa kumaliza successful report zake aliandikaje?kama kiingereza cha kuandika anababaika presentation alihudhuriaje akapata marks
Research zake?

Au ndo wale wa kukariri? Sawa basi hata kama kukariri unashindwa kujifunzia hapo mpangilio wa grammar.

Boss mzima ananitext "is you coming or no"
Kiingereza nacho ni kipaji?
Kaka mkubwa elimu ya tanzania ukishaipata tu ujue tayari ubongo wako usha expire,ni elimi ya vyeti sio ujuzi,huwezi kumpa ujuzi mtu kwa lugha ya tatu au nne!!usanii tu
 
mkuu nimekuuliza ni yupi anatumia kiingereza kingi kinachotumika kwenye mazungumzo ya kawaida. Mfano huyo mtu wa hesabu ana deal na namba tu, hicho kiingereza cha kumshinda mtu anayesoma history muda wote anatumia kiingereza tena kinachotumika mtaani anakipata wapi. Mtu wa history mitihani yake yote ni kuandika assay tu mapage na mapage huwezi kulinganisha. Labda huyo mtu awe anasoma nje ya nchi ambapo atapata muda wa Ku practice english na watu wa mataifa mengine.
Tunaweza jadili hili suala usiku Na mchana lakini swali kuu Ni: miaka Zaidi ya Tano unasoma taaluma Fulani Kwa lugha Fulani,lakini huwezi itumia Ile lugha kuonyesha umahili wako Kwa hiyo taaluma?Basi ata ulichokisoma Ni cha kutiliwa Shaka kama unakifahamu?
 
Mawasiliano ni mawasiliano tuu.. hakuna technical way ya kuomba chumvi au kumsalimia mtu Barabarani kiongozi... 🙂 Ni kama kujaribu kutafuta sababu ili uvae chupi kichwani na blauzi kiunoni..

Iko namna sahihi inayokubalika generally ya kuwasiliana.. kwa matamshi au maandishi.. Japo sikatai pia tuna Technical Language ambayo ni tofauti kutokana na Taaluma moja hadi nyingine.

Tatizo letu hasa sisi watanzania ni wavivu sana.. ukisha fundishwa darasani hutaki kuendelea kujifunza na kukiboresha mwenyewe kile ulichojifunza. Kujua matumizi sahihi kulingana na maeneo na tamaduni.. tunaakomaa na kusoma kile cha kufanyia mitihani tuu...

Matokeo yake hata uwezo wa kusoma hadithi ya kiswahili(sio kizungu) na kuelewa general idea, na kupata tafsiri fupi ya maudhui na lengo inamshinda mtu wa chuo kikuu..(graduate)

Mtu anashindwa kusikiliza hotuba na kuchukua minutes zenye mashiko.. matokeo yake ufupisho wake unakuta amenakili kila kitu kilichosemwa na ameshindwa hata kung'amua context ya Msemaji na alilenga kuwaambia nini hadhira.

Na kikubwa kinachotukamata tukiwa shule utasikia mtu wa PCM anawaambia Watu ungwini peleka huko.. wana Lugha anacrash Sayansi na wa ECA anadharauliwa/kudharau wote..

Mwanasayansi na Mtunza fedha wanahitaji basic skills za Mawasiliano effective... Mtunza fedha na Mtu wa Lugha wanahitaji analytical skills, hata mwanasayansi na Mtu wa Lugha wao pia wanahitaji kujua mahesabu ya fedha.

#Tusitafute sababu ya kutokuandika au kusema matamshi kwa ufasaha.. hiyo ni kosa tuu.. na lack.of Discipline for the general population# Lugha ni tools muhimu sana.. lazima zitunzwe na kuzitunza ni pamoja a kuzitumia kwa ufasaha

 
Kwa bahati mbaya sana, vijana wa sasa hapa Tz sio tu wanashindwa kuzungumza au kuandika Kiingereza:- Hata Kiswahili wanachoandika au kukiongea mara nyingi sana kina makosa. Ukitaka kujua tatizo ni lugha (iwe Kiswahili au Kiingereza), pitia tu mambo watu wanayoandika wanapochangia mada kwenye mitandao.

a) WENGI SANA hawawezi kutofautisha kati ya herufi L na R. Unamsikia mtu anasema "nilipokuwa nachumbia mahari ambapo mahali ilipelekwa ni kwa mjomba"

b) Ni Watanzania wengi (hata baadhi ya viongozi wanasiasa) wanasema:- "Tangia sasa...." wakimaanisha kuanzia sasa. Hawajui wangepaswa kusema "Tangu sasa", au "kuanzia sasa"

c) Wapo pia watu wengi ambao hawajui the difference between a subject and a predicate (samahani kwa kuchanganya kimombo ndani maana hata mimi yapo maneno ya Kiswahili siyajui - kwa mfano subject and predicate). Nilitaka kusema kwamba watu wengi "wanachanganya mambo" wakati wanazumgumzia mambo mawili tofuati.

Kwa mfano mtangazaji wa habari anasema:- 'Lile gari lilimgonga mtu na kufa" Maana ya mstari huu ni kwamba gari ndio lilikufa. Angetaka kusema mtu ndie kafa angesema "lori lilimgonga mtu akafa"

d) Makosa yapo mengi tu kwenye Kiswahili kinachozungumwa na baadhi ya wasomi wa Tanzania. Kosa lingine ni pale mtoa habari anaposema:- "Alipigwa risasi akaweza kufa" badala ya kusema alipigwa risasi akafa. Unaposema mtu ameweza kitu fulani una maana hicho ni kitu ambacho alikuwa anataka akipate na akajitahidi mpaka akakipata. Hivyo sio sawa kusema mtu aliyepigwa risasi aliweza kufa maana hakuwa anajitahidi kufa.

So, my question to your dear readers is this:- If we can make SO MANYA MISTAKES in Kiswahili which is our mother tongue, do you expect us to be proficient, and efficient in making utterences in a foreign language? No way ! CIAO !

 
Inakuwaje msomi ama graduate wa chuo kikuu aliespend miaka kama minne chuo kikuu na ana degree, masomo yake yote ni kiingereza tupu anafanikiwa kugraduate, lakini ukimwongelesha kiingereza haelewi

Akiamua yeye sasa Hata kuandika ujumbe kwa kiingereza anashusha broken ya hatari hadI unashangaa? Wengine wamefanikiwa kupata kazi kabisa unakuta bonge la engineer from ardhi university English mbovu mkichat yuko kwenye bonge la kampuni

Mbaya zaidi graduate kamaliza chuo few days anaambiwa andika barua ya kuomba internship anaweweseka..Mara nipe google..maelezo yake binafsi yanamshinda kujieleza kwa kiingereza anatafuta CV za wengine akopi.sasa najiuliza huyu mtu kafanikiwa kumaliza successful report zake aliandikaje?kama kiingereza cha kuandika anababaika presentation alihudhuriaje akapata marks
Research zake?

Au ndo wale wa kukariri? Sawa basi hata kama kukariri unashindwa kujifunzia hapo mpangilio wa grammar.

Boss mzima ananitext "is you coming or no"
Kiingereza nacho ni kipaji?
"is you coming or no"

😅
 
Kiingereza za kujibia mitihani hakijawahi kua kigumu, hivyo mtu kumaliza had PHD na kutoongea kiingereza fasaha sioni shida.
Pia kiingereza sio akili, Wakandarasi wanaojenga barabara zetu kutoka china hata salamu za kiingereza hawajui. Wakandarasi wa SGR kutoka Turkey kiingereza hawajui, kajamba nani kutoka buza anapiga ngeli nzuri ila hata elfu hamsini kwenye bank account hana achilia mbali ujuzi wowote.
Rais wa China, Russia na korea kaskazini sijawah kusikia wanaongea kiingereza lakini nchi zao zina maendeleo makubwa sana... Ndugu zangu mkataa kwao mtumwa
Jamaa wa ng'ambo ya magharibi wameishachafua sana fikra za baadhi ya watu wa kizazi hiki!!!Tuna kazi ya kutosha kuwanyoosha hawa jamaa zetu baadhi!!!
 
Inakuwaje msomi ama graduate wa chuo kikuu aliespend miaka kama minne chuo kikuu na ana degree, masomo yake yote ni kiingereza tupu anafanikiwa kugraduate, lakini ukimwongelesha kiingereza haelewi

Akiamua yeye sasa Hata kuandika ujumbe kwa kiingereza anashusha broken ya hatari hadI unashangaa? Wengine wamefanikiwa kupata kazi kabisa unakuta bonge la engineer from ardhi university English mbovu mkichat yuko kwenye bonge la kampuni

Mbaya zaidi graduate kamaliza chuo few days anaambiwa andika barua ya kuomba internship anaweweseka..Mara nipe google..maelezo yake binafsi yanamshinda kujieleza kwa kiingereza anatafuta CV za wengine akopi.sasa najiuliza huyu mtu kafanikiwa kumaliza successful report zake aliandikaje?kama kiingereza cha kuandika anababaika presentation alihudhuriaje akapata marks
Research zake?

Au ndo wale wa kukariri? Sawa basi hata kama kukariri unashindwa kujifunzia hapo mpangilio wa grammar.

Boss mzima ananitext "is you coming or no"
Kiingereza nacho ni kipaji?

Kiingereza ni muhimu sana kukifahamu ila
Kwa nchi sio inshu
Kiiivyo
Maana
Tunaudumia wabongo wenzetuu tuu
 
Kuna Technical English and General Fluency English. Watu wanao soma sayansi wanatumia Technical English sana. Hivyo ukiwaingiza kwenye General fluency hawatakuelewa. na wewe wakiungiza kwenye technical hutowaelewa. Watu wanaosoma arts ndio wanatumia General fluency English, sana ila nao technical English holaaaa
Hiyo sio sbbu... Sababu ya msingi ni kwamba tunasoma shule ambazo walimu wetu hasa wa somo la Lugha nao hawajui kiingereza matokeo yake ni kwamba anaefundishwa na yeye anakua hakui kitu.
 
Hiyo sio sbbu... Sababu ya msingi ni kwamba tunasoma shule ambazo walimu wetu hasa wa somo la Lugha nao hawajui kiingereza matokeo yake ni kwamba anaefundishwa na yeye anakua hakui kitu.
Ila katika mazingira hayo hayo ya kufindishwa lugha na waalimu wasiojua kiingereza bado huwa wanapatikana wanafunzi wenye kukijua vizuri tu kiingereza,sasa kama tatizo ni waalimu hawa wanafunzi wengine wamewezaje kujua kiingereza hali ya kuwa waalimu wenyewe hawajui hiyo lugha?
 
Back
Top Bottom