Wasomi na kiingereza

Wasomi na kiingereza

Hoja yako ina mashiko kwa Tanzania tu! Mbona wenzetu Wakenya na Waganda wote wanajua hiyo sjui Tech na Fluent English? Tukubali elimu yetu ina shida.
Wao ni mother tongue language, wanatumia hiyo lugha kila mahali. Wakirudi nyumbani na wakiwa mtaani ndio lugha yao ya mawasiliano.
 
Back
Top Bottom