Wasomi na kiingereza

Wasomi na kiingereza

Ila katika mazingira hayo hayo ya kufindishwa lugha na waalimu wasiojua kiingereza bado huwa wanapatikana wanafunzi wenye kukijua vizuri tu kiingereza,sasa kama tatizo ni waalimu hawa wanafunzi wengine wamewezaje kujua kiingereza hali ya kuwa waalimu wenyewe hawajui hiyo lugha?
Well that's is good question.


Ktk hoja yng uliyo inukuu nimeongelea upande mmoja tu wa waalimu kutokuelewa hii lugha lkn pia upande wa pili ata wanafunzi nao hawana ile hali ya kujiendeleza na kutafuta maarifa zaidi na mbinu mbali mbali ktk lugha. Maana mwalimu anaweza kukufundisha msingi wa lugha na nyakati na vitu vingine kwa mfano. Huo ni msingi amekupa then mambo mengine unapaswa kujiendeleza mwenyewe... Kwahiyo kuna shida ktk pande zote mbili. Sasa kwa hao unao waona wako vzr ni wale wenye juhudi na walio tumia hizo misingi ya lugha vzr walizopewa na waalimu wao.
 
Tunaweza jadili hili suala usiku Na mchana lakini swali kuu Ni: miaka Zaidi ya Tano unasoma taaluma Fulani Kwa lugha Fulani,lakini huwezi itumia Ile lugha kuonyesha umahili wako Kwa hiyo taaluma?Basi ata ulichokisoma Ni cha kutiliwa Shaka kama unakifahamu?
wewe ndio huwezi madokta wanaokutibu wamesoma kwa lugha gani? Pamoja na kwamba hawajui kiingereza vizuri ukienda hospitali wanashindwa kukutibu? Au wewe unazungumzia ujuzi gani labda.
 
Well that's is good question.


Ktk hoja yng uliyo inukuu nimeongelea upande mmoja tu wa waalimu kutokuelewa hii lugha lkn pia upande wa pili ata wanafunzi nao hawana ile hali ya kujiendeleza na kutafuta maarifa zaidi na mbinu mbali mbali ktk lugha. Maana mwalimu anaweza kukufundisha msingi wa lugha na nyakati na vitu vingine kwa mfano. Huo ni msingi amekupa then mambo mengine unapaswa kujiendeleza mwenyewe... Kwahiyo kuna shida ktk pande zote mbili. Sasa kwa hao unao waona wako vzr ni wale wenye juhudi na walio tumia hizo misingi ya lugha vzr walizopewa na waalimu wao.
Mpaka hapo mkuu hauoni kuwa waalimu si tatizo tena bali ni suala la juhudi ya mwanafunzi mwenyewe? Na ndio maana wanafunzi wengine wameweza kukijua vizuri tu kiingereza,au athari ya hao waalimu ambao nao hawajui kiingereza ni ipi katika kumfanya mwanafunzi asijue kiingereza?
 
wewe ndio huwezi madokta wanaokutibu wamesoma kwa lugha gani? Pamoja na kwamba hawajui kiingereza vizuri ukienda hospitali wanashindwa kukutibu? Au wewe unazungumzia ujuzi gani labda.
Siwezi Nini Tena?🤔
 
I have set a trap for you in which you are trapped.

Is there any African english??, if there is any and in this case you prefer it to American and British English then why condemn the one who started the sentence with; " is you coming------", ----that's an African English so to say.

You have no maral authority to condemn him/her.
Mtego wako Mokaze hauondoi tatizo la waTz wengi kukwama kiingereza.

Sababu tuafanya siasa kwenye elimu ya msingi, na kungangania kujifunzia kiswahili. Wakati tukijua lugha ya soko ni English
 
Mpaka hapo mkuu hauoni kuwa waalimu si tatizo tena bali ni suala la juhudi ya mwanafunzi mwenyewe? Na ndio maana wanafunzi wengine wameweza kukijua vizuri tu kiingereza,au athari ya hao waalimu ambao nao hawajui kiingereza ni ipi katika kumfanya mwanafunzi asijue kiingereza?
Tatizo ni waalimu mkuu. Maana waalimu ktk ufundishaji wao hawawezi kwenda mbali zaidi maana nao hawana msingi mzuri wa lugha na wanachofanya ni kufundisha kanuni zilizopo ktk vitabu tu na si kwenda mbali zaidi nje ya kanuni na mafanunuzi kutoka ktk vitabu.
 
Kiingereza za kujibia mitihani hakijawahi kua kigumu, hivyo mtu kumaliza had PHD na kutoongea kiingereza fasaha sioni shida.
Pia kiingereza sio akili, Wakandarasi wanaojenga barabara zetu kutoka china hata salamu za kiingereza hawajui. Wakandarasi wa SGR kutoka Turkey kiingereza hawajui, kajamba nani kutoka buza anapiga ngeli nzuri ila hata elfu hamsini kwenye bank account hana achilia mbali ujuzi wowote.
Rais wa China, Russia na korea kaskazini sijawah kusikia wanaongea kiingereza lakini nchi zao zina maendeleo makubwa sana... Ndugu zangu mkataa kwao mtumwa
Hao sidhani kama wanasoma kwa kutumia English.
That's why hawawezi kumudu English hivyo hakuna cha ajabu.

Cha ajabu ni yule anayesoma kwa kutumia English for 6 or 10 years lakini anatoka mweupe.

Hapo lazima kuwe na tatizo linalohitaji solution na sio kutafuta justifications ili kujipa faraja.

Na hakuna tatizo kujua lugha zaidi ya moja maybe kama una plan za kuishi Tanzania milele.
 
Kuna Technical English and General Fluency English. Watu wanao soma sayansi wanatumia Technical English sana. Hivyo ukiwaingiza kwenye General fluency hawatakuelewa. na wewe wakiungiza kwenye technical hutowaelewa. Watu wanaosoma arts ndio wanatumia General fluency English, sana ila nao technical English holaaaa

Wewe umeenda shule kweli? Nauliza tu kwa heshima.
 
Inakuwaje msomi ama graduate wa chuo kikuu aliespend miaka kama minne chuo kikuu na ana degree, masomo yake yote ni kiingereza tupu anafanikiwa kugraduate, lakini ukimwongelesha kiingereza haelewi

Akiamua yeye sasa Hata kuandika ujumbe kwa kiingereza anashusha broken ya hatari hadI unashangaa? Wengine wamefanikiwa kupata kazi kabisa unakuta bonge la engineer from ardhi university English mbovu mkichat yuko kwenye bonge la kampuni

Mbaya zaidi graduate kamaliza chuo few days anaambiwa andika barua ya kuomba internship anaweweseka..Mara nipe google..maelezo yake binafsi yanamshinda kujieleza kwa kiingereza anatafuta CV za wengine akopi.sasa najiuliza huyu mtu kafanikiwa kumaliza successful report zake aliandikaje?kama kiingereza cha kuandika anababaika presentation alihudhuriaje akapata marks
Research zake?

Au ndo wale wa kukariri? Sawa basi hata kama kukariri unashindwa kujifunzia hapo mpangilio wa grammar.

Boss mzima ananitext "is you coming or no"
Kiingereza nacho ni kipaji?

Bongo ni kupoteza muda tu,,,,wavulana wengiwao hawajatulia uhuni uhuni na wengine kubebeshwa mimba na kuishi kama mke na mume tena hapo hostels,, wengine wametelekezwa na mabwana wao. Unategemea nini hapo!!!!!!!! Watu weusi wengiwao co watu wa shule,,,
 
Kiingereza ni Lugha tuu... Maarifa hayana Kabila dini wala lugha.. wewe ukijua engine inafanyaje kazi ..kwa kifupi umejua... ueleze kwa kijapani kwa kiingereza au Kisukuma unaelezea namna engine inavyofanya kazi periodt.
Nice.

Sasa tatizo sio kwamba English ni lugha tu.
Bali tatizo English ndio lugha inayotumika kimataifa.
Kuna wachina wanakuja hapa kila siku, na uwezo wao wa kuongea kiswahili ni sifuri na uwezo wao wa kuzungumza kiingereza ni zero.. ila wanakuja na wanatalii na kurudi kwao... Maswala ya wakalimani hayajaanza leo na hayataisha leo
So unadhani ni kawaida kwa mtu kutumia almost 10 years kujifunza kwa English then anatoka mweupe kwenye English.

Sababu wachina hawawezi kumudu English wala kiSwahili na wanatumia wakalimani.

Wachina hawatumii English wala Kiswahili kwenye mifumo yao hivyo hakuna cha ajabu wao kushindwa kumudu Kiswahili wala English.
Ila ingekuwa ajabu wao kushindwa kumudu kichina.

Na mkuu watanzania sio wachina.
Kujifunza kwa kiswahili ninamaanisha Watu wazungumze kwa uhuru usio na mipaka wa kimaarifa. Mtu akikuelezea juu ya mji wake, timu yake ya mpira au akiuliza kwa lugha yake ya kiswahili huulizwa kwa urefu na upana na kwa namna huru.. Hii inamfanya mtu kuelewa kwa uharaka na urahisi...na kwa namna inayohusisha mazingira yake..humfanya kukumbuka haraka
Well mpaka leo bado kuna watu hawajaweza kumudu Kiswahili.
If you name 3nations that has become successful kwa kuendekeza mapokeo nitakuelewa... Maana I can guarantee you there is none
Mapokeo kivipi kama wao ndio walichangia kwenye uanzilishi?
knowledge is simply contextualized information. Wewe kujua A definition of kinetic energy na huwezi kuiweka into context to solve your problem or enhance your environment..is nothing but an information au umbea... And probably you shouldn't be receiving such info. Its a waste of time.
Well hapo blame mfumo wa elimu.
Na kama ni hivyo hata ukibadilisha tusome masomo yao kwa Kiswahili still itakuwa umbea as you said.
Sababu hutoweza kuapply hayo kivyovyote vile.

English ni essential kwenye ulimwengu wa sasa hizo sababu nyingine hazina mashiko.
Achana na umuhimu wa English duniani.

Haimake any sense mtu atumie 10 years kujifunza kwa English then atoke mweupe.
hilo ni tatizo linalohitaji solutions na sio justifications.
Kama wameshindwa kujifunza na kuitumia lugha tu then hata ukiweka Kiswahili sidhani kama wataweza kutumia hayo maarifa kama lugha tu imewashinda.

Definitely something is wrong.
 
Hao sidhani kama wanasoma kwa kutumia English.
That's why hawawezi kumudu English hivyo hakuna cha ajabu.

Cha ajabu ni yule anayesoma kwa kutumia English for 6 or 10 years lakini anatoka mweupe.

Hapo lazima kuwe na tatizo linalohitaji solution na sio kutafuta justifications ili kujipa faraja.

Na hakuna tatizo kujua lugha zaidi ya moja maybe kama una plan za kuishi Tanzania milele.
Ndio maana nimekuambia kuandika kiingereza sio kazi kwasababu wanasoma vitabu vya kiingereza hivyo kujibu maswali sio tatizo. Hata mitihani ingetungwa uingereza na kuletwa hapa wangefaulu tu.

Rejea professor Ndalichako kasoma hadi nje Canada if I'm not mistaken na wazungu wamempa PHD, it means presentation, ila ukisikia kiingereza chake ni kibovu sana. Hapo unajifunza wenzetu wanaangalia 'content' sio kiingereza kizuri.

Na huo ushamba ndio unawaponaa wazazi wetu kupeleka watoto shule za English medium ili waongee kiingereza kizuri na kichwani hamna kitu. Wasomi wa Tz badilikeni
 
Jamaa wa ng'ambo ya magharibi wameishachafua sana fikra za baadhi ya watu wa kizazi hiki!!!Tuna kazi ya kutosha kuwanyoosha hawa jamaa zetu baadhi!!!
Sana, yaani hata wazazi huku mitaani wanatafuta ada kubwa kupeleka watoto kwenye hizo wanazoziita 'intaneshno skuli' ili watoto waongee kiingereza kizuri bila kujali 'kontenti' kama ipo kichwani au la.

Ulaya pale pale kuna nchi kama Italy, Spain portugal nk hawajui kabisa kiingereza sijui Tz tunapapatika na nini!!
 
Back
Top Bottom