Wasomi na kiingereza

Wasomi na kiingereza

Inakuwaje msomi ama graduate wa chuo kikuu aliespend miaka kama minne chuo kikuu na ana degree, masomo yake yote ni kiingereza tupu anafanikiwa kugraduate, lakini ukimwongelesha kiingereza haelewi

Akiamua yeye sasa Hata kuandika ujumbe kwa kiingereza anashusha broken ya hatari hadI unashangaa? Wengine wamefanikiwa kupata kazi kabisa unakuta bonge la engineer from ardhi university English mbovu mkichat yuko kwenye bonge la kampuni

Mbaya zaidi graduate kamaliza chuo few days anaambiwa andika barua ya kuomba internship anaweweseka..Mara nipe google..maelezo yake binafsi yanamshinda kujieleza kwa kiingereza anatafuta CV za wengine akopi.sasa najiuliza huyu mtu kafanikiwa kumaliza successful report zake aliandikaje?kama kiingereza cha kuandika anababaika presentation alihudhuriaje akapata marks
Research zake?

Au ndo wale wa kukariri? Sawa basi hata kama kukariri unashindwa kujifunzia hapo mpangilio wa grammar.

Boss mzima ananitext "is you coming or no"
Kiingereza nacho ni kipaji?
Unashangaa degree holder kushindwa kuongea au kuandika kiinglish wakati huo tuna miwatu ina Phd/degree tatu lakini kutamka kaneno kadogo kama Entrepreneur tu inakuwa mtihani.
 
Sana, yaani hata wazazi huku mitaani wanatafuta ada kubwa kupeleka watoto kwenye hizo wanazoziita 'intaneshno skuli' ili watoto waongee kiingereza kizuri bila kujali 'kontenti' kama ipo kichwani au la.

Ulaya pale pale kuna nchi kama Italy, Spain portugal nk hawajui kabisa kiingereza sijui Tz tunapapatika na nini!!
Watakwambia wao wameendelea, sasa huwa najiuliza kabla kuendelea kiichumi walitumia kiingereza?
 
Sana, yaani hata wazazi huku mitaani wanatafuta ada kubwa kupeleka watoto kwenye hizo wanazoziita 'intaneshno skuli' ili watoto waongee kiingereza kizuri bila kujali 'kontenti' kama ipo kichwani au la.

Ulaya pale pale kuna nchi kama Italy, Spain portugal nk hawajui kabisa kiingereza sijui Tz tunapapatika na nini!!
Ukubali ukatae kt the irreplaceable . English ni Kiswahili cha dunia. Na lugha ya ajira na soko Tz ni English .

Kosa ni kuwaanzisha watoto masomo kwa Kiswahili elimu ya msingi na kubadika secondary huku walimu wakiwa hawana msingi mzuri wa English
 
Kiingereza tunakisoma na kukitumia kwa sababu inatubidi, lakini kutokukijua haimaanishi kwamba huna akili wala uelewa.


Akili unaweza kuwanayo lakini ukakosa elimu kwani kiingereza ndiyo lugha iliyojaa elimu kubwa kuliko kiswahili.
 
Akili unaweza kuwanayo lakini ukakosa elimu kwani kiingereza ndiyo lugha iliyojaa elimu kubwa kuliko kiswahili.
Ndo maana nasema inabidi tukisome tu kwa sababu ya umasikini wetu, laiti nchi yetu ingelikuwa na uwezo kama yalivyo mataifa mengine basi hiyo elimu yote iliyo kwa kiingereza ingekuwa kiswahili.

Leo hii tusingekuwa tunakejeliana kwa kutokujua kiingereza.
 
Inakuwaje msomi ama graduate wa chuo kikuu aliespend miaka kama minne chuo kikuu na ana degree, masomo yake yote ni kiingereza tupu anafanikiwa kugraduate, lakini ukimwongelesha kiingereza haelewi

Akiamua yeye sasa Hata kuandika ujumbe kwa kiingereza anashusha broken ya hatari hadI unashangaa? Wengine wamefanikiwa kupata kazi kabisa unakuta bonge la engineer from ardhi university English mbovu mkichat yuko kwenye bonge la kampuni

Mbaya zaidi graduate kamaliza chuo few days anaambiwa andika barua ya kuomba internship anaweweseka..Mara nipe google..maelezo yake binafsi yanamshinda kujieleza kwa kiingereza anatafuta CV za wengine akopi.sasa najiuliza huyu mtu kafanikiwa kumaliza successful report zake aliandikaje?kama kiingereza cha kuandika anababaika presentation alihudhuriaje akapata marks
Research zake?

Au ndo wale wa kukariri? Sawa basi hata kama kukariri unashindwa kujifunzia hapo mpangilio wa grammar.

Boss mzima ananitext "is you coming or no"
Kiingereza nacho ni kipaj
yes is me coming now now.
 
Ukubali ukatae kt the irreplaceable . English ni Kiswahili cha dunia. Na lugha ya ajira na soko Tz ni English .

Kosa ni kuwaanzisha watoto masomo kwa Kiswahili elimu ya msingi na kubadika secondary huku walimu wakiwa hawana msingi mzuri wa English
Labda dunia ya tatu, lakini kwa wenzetu wanauza movies zao zilizo na lugha zao mfano wahindi, wachina na sasa wakorea. Kiingereza ni lugha ya kitumwa kwa waafrika...
 
Labda dunia ya tatu, lakini kwa wenzetu wanauza movies zao zilizo na lugha zao mfano wahindi, wachina na sasa wakorea. Kiingereza ni lugha ya kitumwa kwa waafrika...
Utapinga kwa itikadi za ki communist na haipindui ukweli. Lakini ukweli unabaki tembelea duniani uone. waTz wengi wakivuka mipaka wanakuwa mabubu
 
Huo ububu unatokana na huo utumwa wa kifikra kwamba atadharaulika kutojua kiingereza, kitu ambacho si kweli
Turudi kwenye hoja, utamalizaJe PhD huku English ikikupiga chenga, na ilhali ndiyo lugha uliosomea na kufanyia uwasilishaji ?!

Tatizo liko wapi ?! Hebu lijibu kitaaluma na si kishabiki !!
 
Turudi kwenye hoja, utamalizaJe PhD huku English ikikupiga chenga, na ilhali ndiyo lugha uliosomea na kufanyia uwasilishaji ?!

Tatizo liko wapi ?! Hebu lijibu kitaaluma na si kishabiki !!
Nitakujibu kitaaluma na si kishabiki.

Lugha huwasilishwa na namna mbili written na spoken. Mara nyingi mashuleni tunatumia written na si spoken.

Sasa basi spoken language inahitaji practice ya kutosha kuanzia matamshi n.k lakini pia unapozungumza huna muda wa kufikiri ndo maana mara nyingi tunashindwa.

Sasa huyo Ph. D holder huenda alitumia zaidi written na si spoken
 
Anapendaga sana kutumia as far as.....concerned.
Nilisikia pia akisema.
"Sa nyinyine unakuta mtu hajafika ata Uingereza, lakini utasikia you know, you know " kumbe yy hatumii you know, yy anatumia "as far as....concerned..."
Nimesoma comments kidogo hapo YouTube, sijaona hata mmoja akimkrash, unaona tu lugha sio ishu manake wengi ni kama wameelewa na wanamuelewa.
 
ukipenda kizungu ukajifunza vyema nakufanyia mazoezi huwezi kwama
ukikishika ni rahisi sana kujua lugha zingine
 
Back
Top Bottom