Umesema vitu vingi. Lakini nadhani unachokosa ni picha pana tu ya umuhimu wa kujifunza kwa lugha yako.
Mkuu unataka kusema sasa hivi hatujifunzi Kiswahili?
Na mimi sijasema Kiswahili hakina umuhimu
Simaanishi kujifunza kwa Kiswahili ni kitu kibaya kama ulivyodhani. kama ni hivyo hata masomo tunayosoma siyo yetu vilevile so tuache kutumia masomo or maarifa yao as you said.
Sisi tumecopy tu or tuanzishe masomo yetu then tukijifunza kwa lugha za wengine well that would be strange.
Utamaduni ukipanuka uhitaji wa bidhaa za kiswahili unakuwa
Mfano kupanuka kwa kiingereza kumefanya watanzania na dunia kufurahia Filamu za kiingereza ..maana wanaelewa.
Well if it was that easy kwa muda wote huo uliopita basi leo tungekuwa tayari na bidhaa zetu ambazo zipo nje.
Wanaojifunza lugha ukubwani ni wengi.. hakuna mtu aliyesoma kichina toka akiwa mdogo nchi hii ni leo tuna wakarimani lukuki wa lugha ya kichina.. simply kwa sababu ya uhitaji.. wapo Watu wanazungumza kiarabu na mie nimejifunza kihehe na kisukuma ukubwani. Hiyo sio kazi ni interests .
Well mkuu tunaongelea English.
Ambayo mtu anasoma na kujifunza for 6 years na hakuna kitu.
So unataka kusema kiingereza hakina uhitaji au umuhimu Tanzania?
Na mimi sijasema kujifunza lugha ukubwani haiwezekani bali nimesema ni rahisi kwa mtoto mdogo kujifunza lugha na kuelewa pia kuiweza kuimudu kuliko kwa mtu mzima.
Swala la communication ni swala la kuhitajika. Kama huna unachoweza kunivutia niwasiliane na wewe, then tusiwasiliane... Ila ukiwa na chochote kitakachofanya tuhitajiane naamini tutawasiliana.. bila kuwa na sababu ya kuwasiliana kujua lugha hiyo ya kizungu ni umbea tu. Maana hakufanikishi lolote.
Mkuu.
Shule wanatumia hicho kiingereza kufundisha kama hujui then tegemea kufeli au ufaulu kwa kukariri then ushindwe kutumia ulichosoma kwa kutumia miaka kibao kukisoma alafu hujui cha kufanya baada yakumaliza zaidi ya kupata ajira.
Huo ni mfano mmoja wapo mdogo tu wa umuhimu wa kiingereza kwa mtu wa kawaida.
That's why nikasema labda English haina umuhimu kama umeplan kujifungia Tanzania tu maisha yako yote. even ukijifungia Tanzania bado utahitaji kutumia English kwenye simu, laptop internet even kuangalia movie nk.
Even jf wanatumia English.
Mpaka hapo utasema kujua English ni kilele na ni umbea tu sababu hakuna wa kuwasiliana nae?
Pia sijasema kujua English ni kufanikiwa bali ni essential kwa mtu anayejitambua kwanini yupo duniani.
Achana na kutumia tu au umuhimu wake bali ni fun kujua lugha zaidi ya moja.
Najifunza kifaransa japo sidhani kama nitakitumia but it's just fun to learn.
Na sio kwamba ni umbea or kelele sababu nobody cares.
Kuongea kiingereza hakukufanyi miraculously smart.. na wala hakukufanyi uwe mvumbuzi..
Well wewe ndio umesema hivyo.
Mimi sijasema kutumia au kuongea kiingereza inakufanya uwe miraculously smart na uwe mvumbuzi. Hapana.
Utasema hivyo hiyo only kama mindset yako inadhani hivyo or kama huwezi au hajui kutumia lugha nyingine.
Or ile inferiority ya africans juu ya vitu wasivyoviweza so watafanya kila njia kufanya kile kitu kiwe si chochote kwao ili kupata justification yao wao kushindwa kufanya kitu hicho.
Ila hakuna cha ajabu hapo.
And they're lucky sijawalaumu wao kushindwa kumudu English bali nimelaumu mfumo sababu msingi ni mbovu na sio kwamba wao hawana akili.
Btw wao kushindwa kumudu English it's not my problem.
I still believe kila mtu anauwezo sawa tatizo ni msingi wa mtu huyo unadetermine huyo mtu atakuwa nani baadae.
Nilichosema ni kwamba kiingereza ni essential sababu ni lugha ya kimataifa.
Kibiashara.
Ushirikiano na mataifa mengine kitechnology nk.
Well even kutobambikiwa mikataba na kuibiwa kizembe.
Hayo ni machache tu.
That's why I said English ni essential kwenye ulimwengu wa sasa na sio kwamba Kiswahili si chochote or hakina umuhimu or kujua kuongea English kunakufanya uwe miraculously smart na mvumbuzi or anything kind of that.
Kiingereza ni essential kwenye ulimwengu wa sasa.