Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,323
- 90,587
Umetunga uongo mtupu kutetea mauzauza. Maana ya fluency English ni uwezo wa kuongea na kuandika Kingereza sahihi, kilichonyooka kwa urahisi. Kila mtu aliyesoma na kumaliza chuo kwa Kingereza anapaswa awe fluent bila kujali amesoma sayansi, biashara, arts
Kuna Technical English and Fluency English. Watu wanao soma sayansi wanatumia Technical English sana. Hivyo ukiwaingiza kwenye fluency hawatakuelewa. na wewe wakiungiza kwenye technical hutowaelewa. Watu wanaosoma arts ndio wanatumia fluency English, sana ila nao technical English holaaaa