GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,059
- 126,648
Kuna Watu Wawili Wanoko hapo nimeambiwa uko nao Jirani hapo na Mimi sipatani nao.Pia unaweza kumwambia Sinde mpigie Ngosha ulikuwa naye counter
Nimegeuza Ndege yangu na sasa naelekea Kutua pale Kilima Nyege Oystebay katika Pub ya yule Mzee wa Kihaya Marehemu Mtafungwa aliyekuwa Mmoja wa Rubani wa Mwalimu Nyerere.
Nitakuwa hapo hadi Saa 9 Kamili na kuanzia Saa 10 nitakuwa Mbezi Beach mitaa ya kwa Balozi Ombeni Sefue kuna Demu wa Kihaya mzuri sana namfukuzia na Saa 2 Kamili nitatoka hapo.





