Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,911
- 183,308
Ndiwoooooooh mume wanguuuu!!!!Mke wangu i'm so happy for you [emoji7]
Natoka kifungoni nakutana na habari njema, [emoji847]
Ulitakaa ushindee wee mtalikiwa na mbambikwa mtoto?? Badala uhangaikie ustawi wa jamii kudai haki yako, uki buzzy kulanda JF utakufa siku si zakooo.Jf mmenisikitisha sana, choko anapewa vipi tuzo? Tumefikaje hapa? Hizo mada nzuri mada zipi zaidi ya ujinga alionao?
Nasikia hasira mno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa mnooo, nitaenda mwenyewe.Siku hyo ndo watajua ww ni ke au me [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] au nitume nikakuchukulie hahaaa
Asante shem [emoji1545][emoji1752]
Hapa tu ndipo if imezingua though hawajamchagua wao.Hadi akina cocastic wanashinda
Sasahv hamu yake kuu ni kuwa mwanamkeSahizi kapunguza dis mkuu
Usijari kabisaAsante sana Mbeya Girl naomba ulinzi wako siku ya kwenda kuchukua
GENTAMYCINE niko hapa kaunta nasubiri nyama iive hebu njoo tudokoe kidogoUmenielezea vyema kweli kweli Mkuu wangu na kama hajakuelewa / hawajakuelewa hapa basi watakuwa na tatizo Kubwa la Akili linalohitaji Tiba ya haraka Hospitali Kubwa na Rufaa kwa Vichaa / Wendawazimu nchini Tanzania.
Wahi ukapokee zawadi ya miti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipokeee kwan zawadi, ntadeal nao km watakavyokujaa.
Uko hapo Sinde Pub Mbezi Beach Tangi Bovu ili nije au unataka kunipotezea tu Nauli yangu ambayo ningeweza Kuitumia kwa Kuhongea Mademu wa Uswahilini Kwangu na Nikabandua hata Kimoko tu cha Mayele?GENTAMYCINE niko hapa kaunta nasubiri nyama iive hebu njoo tudokoe kidogo
Njoo. Nimehamia kwa mama Glady hapa alipokuwa yule mwanamke wako wa Kihaya na genge lake. Nimekaa opposite na geti la Harold KidaUko hapo Sinde Pub Mbezi Beach Tangi Bovu ili nije au unataka kunipotezea tu Nauli yangu ambayo ningeweza Kuitumia kwa Kuhongea Mademu wa Uswahilini Kwangu na Nikabandua hata Kimoko tu cha Mayele?
Pia unaweza kumwambia Sinde mpigie Ngosha ulikuwa naye counterUko hapo Sinde Pub Mbezi Beach Tangi Bovu ili nije au unataka kunipotezea tu Nauli yangu ambayo ningeweza Kuitumia kwa Kuhongea Mademu wa Uswahilini Kwangu na Nikabandua hata Kimoko tu cha Mayele?
Uko hapo Sinde Pub Mbezi Beach Tangi Bovu ili nije au unataka kunipotezea tu Nauli yangu ambayo ningeweza Kuitumia kwa Kuhongea Mademu wa Uswahilini Kwangu na Nikabandua hata Kimoko tu cha Mayele?
Niko kwa mzee Juma yesUko hapo Sinde Pub Mbezi Beach Tangi Bovu ili nije au unataka kunipotezea tu Nauli yangu ambayo ningeweza Kuitumia kwa Kuhongea Mademu wa Uswahilini Kwangu na Nikabandua hata Kimoko tu cha Mayele?
Bro tutakula masizi. Dick amechoma hadi baaaaaaassUko hapo Sinde Pub Mbezi Beach Tangi Bovu ili nije au unataka kunipotezea tu Nauli yangu ambayo ningeweza Kuitumia kwa Kuhongea Mademu wa Uswahilini Kwangu na Nikabandua hata Kimoko tu cha Mayele?
Ni hiari kwenda au kutuma mtu, Utaratibu na mwongozo tayari umetolewa kwa wahusika PM.Kuna watu hawata enda chukuwa zawadi
Mzee Juma yuko? Bubu huyo hapo Jirani nataka nimletee Viatu anishonee Vimechanika jana wakati nikichanja Mbuga nisishikwe Ugoni Mbezi Juu ( kwa Londa )Njoo. Nimehamia kwa mama Glady hapa alipokuwa yule mwanamke wako wa Kihaya na genge lake. Nimekaa opposite na geti la Harold Kida