nipokeee kwan zawadi, ntadeal nao km watakavyokujaa.
Binamu hongera kwa ushindi, sasa kama unavojua ndio nimeanza kualika ndugu wote kuanzia mbambabey, mbinga, mpitimbi, mputa, namtumbo, lituhi, liuli, na akina shangazi wa bombambili hadi matarawe na mfaranyaki ili tuje kukusindikiza kupokea zawadi maana umetuheshimisha kwa watu wa mjini huko tutakua na jokate ndio ataongoza msafara, tutakaa siku moja na tunakuja na basi ya kangaulaya maana feo anabei sana,

