Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 10,660
- 23,140
Ha ha ha. Mshana is my Love....hujui kwaniUmesikia ana zawadi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ameshakuwa asali
Ha ha ha. Mshana is my Love....hujui kwaniUmesikia ana zawadi [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ameshakuwa asali
Jaman mbna nitakuwa wima wimaaa humuuuu, kusambaza upendoooooo. [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Hahaha
Sasa hata akikoment shudu itampunguzia kwamba yeye ndo mwenye celeb yake??
Na kwa pambe hili ameishiwa nguvu imebidi atoe hongera
Na wewe cocastic ole wako utusaliti
Tutakukata sikio
Sawa mganga wa kienyeji🙃Ha ha ha. Mshana is my Love....hujui kwani
Watu weuweeeeeeeeeeeeeeeeeeeh!!!!!!Wapi cocaaaaa[emoji7][emoji108][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Shosss amefikaaaaaah[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Tutampa escort matata ofisi za jf
Coca ananyanyua kwapa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mwakaaa huuu naja kivingineeee upyaaaaaaaa.Cocaaaa huyoooo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Shoste unakimbiza[emoji7][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kwa zile codes zako kule jukwaa lenu, hakuna mtu anakukamata
Ongezaaaaa sautiiiiiiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bila kutukanwa haya mambo hutoyaweza.
Wapo wafuasi watakutukana na Kura watakupa.
Na wapo watakutukana na Kura hawakupi.
Alafu wapo watakuchekea na kukupa maneno matamu huku wakikung'ong'a na Kura hawakupi.
Alafu wapo wanaokuchekea na kukufurahia na Kura watakupa.
Hivyo ndivyo mambo yalivyo kwenye hizi ishu.
Mimi huwaga namjibu MTU atakavyokuja, akitukana nampa anachokitaka. Akija vizuri namjibu vizuri. Hiyo ndio Haki.
cocastic Bwana Yesu asifiwe mtumishi.Habari wana JF,
Jamii Forums inatambua mchango wa wanachama wake walioshiriki mijadala vizuri kwa mwaka 2022. Mchakato huo ulikuwa wa wazi na shirikishi. Kwa mujibu wa kura zilizopigwa hapa jukwaani washindi wetu ni kama ifuatavyo.
Jukwaa Mshindi Kura Jokes 47% Kilimo na Uvuvi 68% Technology 93% Celebrities 28% MMU 69% Siasa 49% Michezo 49% Afya 58% Garage 40% Lugha 56% Elimu 54% International & Kenyan 62% & 83% Historia No competitor Photos & Habari na Hoja & Intelligence 83% & 50% & 32% Biashara na uchumi 42% Chef No competitor Sheria No competitor Entertainment 82%
Kwa wote ambao wametajwa katika orodha hii, mnaomba kuingia inbox ili kujua utaratibu wa kuchukua zawadi zenu Mtapokea ujumbe kutoka kwa ID official ya JamiiForums.
NB: Utaratibu wa kuchukua tuzo hautahusisha kufichua utambulisho wa mwanachama yeyote.
Hongereni sana.
Utakuwaje kwenye list na hujashinda? Watu wako wa kimasikhara hawajapiga kuraaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cocastic nae kashindaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora sipo kwenye hiyo list...!!
Ongezaaaa sautiiiii haters waumieeeee.Aliyebarikiwa amebarikiwa tu Mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwaka huu kazana nawee ukachukue tuzo, acha makasiriko.Huyu kiukweli ni lesbian halisi wala havai viatu vya Warumi japo ni MBEyA wa mjini na.most ya umbea wake unahusu USHOGA
Mzee asiye na hiyana akishindwa comment atapita na like🤣🤣🤣Asante, naisubiri zawadi yangu mkuu
Roho mbaya tuuu. Yan januari hii inatuambia tukutane mwakaniKuna nn??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Washindi washatangazwa na code za kupokelea zawadi washapewa, had utaratibu washapatiwaa.
Tukutanee tena mwakani.
Ni hatari inaonekana kakita mizizi sanaHadi akina cocastic wanashinda
Mmekula zawadi Sasa mkajitambulishe vizuri next year mnakarishwaKuna nn??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Washindi washatangazwa na code za kupokelea zawadi washapewa, had utaratibu washapatiwaa.
Tukutanee tena mwakani.