Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 7,802
- 20,763
Siku naenda kulipa mahari ndugu ikabidi wafatilie kwanza kama sinda undugu na mke wangu
Kuna kipindi nikiwa ofisi ya ardhi bagamoyo, watu wanajua nimeongozana na dada yangu.
Kifupi mke wangu ni kama pacha wangu. Mimi pacha wa kiume yeye pacha wa kike.
Tuna mawazo ya kufanana mpaka kero. Kama siku nikimwacha huyu mwanamke ni kwa sababu tunafanana. Naweza Ingia chumbani nikabeba charge nafungua mlango unasikia "mme wangu usisahau charge" hii kitu inaniudhi sana
Kwa sababu naweza toka mishe nafungua mlango unasikia "alafu baby nilisahahu kukukumbusha kununua dawa ya meno" huku ninerudi nayo
Ni mambo mengi ambayo unakuta namweleza au ananieleza wakati kimefanyika. Nadhani hata yeye inamkera
Na ile kuzungumza kitu kimoja kwa wakati mmoja, jana tulizungumza jambo pamoja tukaghairisha na sex🤣
Ramadhan Karim.
Kwa wakristo wenzangu pasaka iko karibu, kwa wale walio Rombo nikichinja nitawakaribisha.
Kuna kipindi nikiwa ofisi ya ardhi bagamoyo, watu wanajua nimeongozana na dada yangu.
Kifupi mke wangu ni kama pacha wangu. Mimi pacha wa kiume yeye pacha wa kike.
Tuna mawazo ya kufanana mpaka kero. Kama siku nikimwacha huyu mwanamke ni kwa sababu tunafanana. Naweza Ingia chumbani nikabeba charge nafungua mlango unasikia "mme wangu usisahau charge" hii kitu inaniudhi sana
Kwa sababu naweza toka mishe nafungua mlango unasikia "alafu baby nilisahahu kukukumbusha kununua dawa ya meno" huku ninerudi nayo
Ni mambo mengi ambayo unakuta namweleza au ananieleza wakati kimefanyika. Nadhani hata yeye inamkera
Na ile kuzungumza kitu kimoja kwa wakati mmoja, jana tulizungumza jambo pamoja tukaghairisha na sex🤣
Ramadhan Karim.
Kwa wakristo wenzangu pasaka iko karibu, kwa wale walio Rombo nikichinja nitawakaribisha.