Nakumbuka mwaka jana nilihudhuria harusi ya rafiki wangu (wa kike),asee was very impressed kwa kweli. Si unajua pale tena harusi za siku hizi wale maharusi wanachukua time ya kuelezea familia zao na kujuana ndugu wa pande zote.
Basi kwenye maelezo yule jamaa akasema alikutana na huyu manzi miaka 9 nyuma,na tokea hapo wakawa wapenzi na hadi inafika time wanafunga ndoa. Inapendeza sana
Katika hili nikaja kugundua mambo matatu, kuwa ili upate kuwa pamoja na mwenzi wako kwa kipindi kirefu basi lazima yafanyike haya.
1.Lazima mmoja awe mjinga kwa mwenzie - kusikilizana sawa ila kuna baadhi ya mambo ya mambo unayaona ila unajifanya hauyaoni (special kwa mwanaume)hawa ladies wana mambo mengi sana ya kukera na ukichukulia serious kwa kila kitu basi mapema tu munamwagana.
2.Upendo - lazima kuwe na true love hata ya upande mmoja (special kwa mwanamke)kama mamaa amekuelewa atleast 95% basi gentle upo kwenye njia nzuri ya kuwa na mahusiano ya muda mrefu.
3.Kujali - kila mmoja we tayari kujali haja na shida za mwenzie(kama nyege unachukulia kitu simpo kwa mwenzako io safari yenu haina umbali) na hata kwenye misaada ya kifedha na mawazo pia ni muhimu kuzingatia.
Mwisho: zingatieni afya zenu
Basi kwenye maelezo yule jamaa akasema alikutana na huyu manzi miaka 9 nyuma,na tokea hapo wakawa wapenzi na hadi inafika time wanafunga ndoa. Inapendeza sana
Katika hili nikaja kugundua mambo matatu, kuwa ili upate kuwa pamoja na mwenzi wako kwa kipindi kirefu basi lazima yafanyike haya.
1.Lazima mmoja awe mjinga kwa mwenzie - kusikilizana sawa ila kuna baadhi ya mambo ya mambo unayaona ila unajifanya hauyaoni (special kwa mwanaume)hawa ladies wana mambo mengi sana ya kukera na ukichukulia serious kwa kila kitu basi mapema tu munamwagana.
2.Upendo - lazima kuwe na true love hata ya upande mmoja (special kwa mwanamke)kama mamaa amekuelewa atleast 95% basi gentle upo kwenye njia nzuri ya kuwa na mahusiano ya muda mrefu.
3.Kujali - kila mmoja we tayari kujali haja na shida za mwenzie(kama nyege unachukulia kitu simpo kwa mwenzako io safari yenu haina umbali) na hata kwenye misaada ya kifedha na mawazo pia ni muhimu kuzingatia.
Mwisho: zingatieni afya zenu