Mfanano wa hoja: 1. Kuna jamaa mmoja alikuwa tajri sana na ameajiri wafanyakazi wengi. Akizungumza sauti yake ilikuwa ni kama ina mkwaruzo hivi. Baadhi ya wafanyakazi wake wakawa wameiga kuongea hivyo 2. Watangazaji wengi wa Tanzania wameiga sauti ya marehemu Julius Nyaisanga.Wapenzi mkikaa muda mrefu kuna vitu mtafanana sababu ya kuigana tu ambako kunatokea automatically.
Mfano mke wangu ameiga kabisa maneno nnayotumia kuwagombeza watoto wakikosea, akiwa peke yake labda seblen mie nipo nje au chumbani utasikia anatumia hayohayo maneno nnayotumiaga mimi. Vile vile hata ongea yangu naona anaiiga na mm kuna baadhi ya maneno machache nimeyatoa kwake pamoja na namna ya kuyatamka.
Ww je umefanana nini na mpenzi wako?
Kwa sasa Rage apewe maua yakeMakolo watabisha
UBUYU WA MOTOWenyew wanaitaga ubuyu
Hahaha!kwa hiyo anakwambiaga shosti au shoga yangu nna umbea wa moto?
Wapenzi mkikaa muda mrefu kuna vitu mtafanana sababu ya kuigana tu ambako kunatokea automatically.
Mfano mke wangu ameiga kabisa maneno nnayotumia kuwagombeza watoto wakikosea, akiwa peke yake labda seblen mie nipo nje au chumbani utasikia anatumia hayohayo maneno nnayotumiaga mimi. Vile vile hata ongea yangu naona anaiiga na mm kuna baadhi ya maneno machache nimeyatoa kwake pamoja na namna ya kuyatamka.
Ww je umefanana nini na mpenzi wako?
na mzee baba anakaa kitako kabisa kusikiliza ubuyuHahaha!
Hahaha
Hawa viumbe ni wambea hatari ila akianzaga tu namvutia breki, atavuta mdomo tu na kukaa kimya
Mi mpaka saivi, anapambana...mi nabadilishaga mada chap, hawa viumbe bhana.Mii alitaka kuniambukiza umbea, lakini nikamgomea.
Acha shoboKama huna cha kucoment bora kukaa kimya kuliko kutafuta likes za kijinga kwa kuharibu thread nzuri.
Woooi, ndo maana magufuli aliwahi kusema "Msije shangaa naosha vyombo nyumbani" wanaume tukiwa kwa wake zetu kuna mengi sana yanatokeaga yaan image 2 tofauti kabisa. Ona wa huyu yeye anadeka, hahahahaaKuna maneno tumeigana ila kubwa zaidi ni kudeka. Mimi ndio cha kudeka, sasa nae nimemdekeza sasa hivi anadeka.
Huwa nacheka mpaka basi!
Sio poa mi huwa namkaripia akianza kuleta stori stori za kimbea.na mzee baba anakaa kitako kabisa kusikiliza ubuyu