Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

Nilitupilia mbali uzazi wa mpango baada wa kubleed for almost 2 weeks unameza dawa inakata inaanza upya ..hii ilikwenda kwa miezi miwili ikanichezesha makida makida.. niliona ni upuuzi kurisk afya yangu while naweza tumia kalenda....lakini pia hayufanyi kila siku..pia si kigezo za mwanaume kuchepuka uweke FP atachepuka usiweka atachepuka vile vile nilitoa natumia kalenda akishindwa vumila hizo siku 7sjui 10 na achepuke tu aisee nadunda mwaka wa 3 with 4 kids na imetosha SIZAI TENA Nimefunga kwa imani..
 
Mtu mnakubaliana, anamwaga ndani then anakuja kusema "Ningewezaje sasa?"..unaishia kusamehe tu...hujui ni bahati mbaya au makusudi
Iyo njia ya kuongoza akili kwenye point of no return sio kila mwanaume anaweza mudu ni asilimia ndogo sana ya wanaoweza ,lkn pia usimlaumu mwenzio maana wakati anakaribia si huwa Kuna dalili anaonyesha kama kunguruma ,kulia,kujamba au kotoa macho na kuhema kwa nguvu ukiona hizo dalili unatakiwa umsukume ...
 
Hard truth ni hii

Wanaume wengi hawajali kuhusu uzazi wa mpango. Sababu somehow dunia imehusisha idadi ya watoto na UKIDUME!

Yaani kama mwanamke, usipopambania kujilinda, mume hata kama mlisema mtazaa watoto 2...hana shida kuzaa 5 sababu hatowabeba yeye, hatowapeleka clinic yeye, hatokaa nao wakiumwa. His only role will be kutoa pesa, na hii role siku hizi tunasaidiana.

All in all, wanaume wengi hawajali uko siku za hatari, uko siku salama (sio shida zao at all). Ukilialia hapo kusema siku za hatari mnaweza kubaliana kabisa amwage nje na akamwaga ndani.
Sasa wakati wa kumwaga unamng'ang'ania asitoke unategemea nini
 
Nje ya mada, wakuu fibroids zinasababishwa na nini? Na zinatibikaje? Kuna mtu naona zinamtesa sana, kuna kipindi kafafanyiwa operation, lakini juzi tena kaambiwa zimeota afanyiwe! Mind u hana mtoto na 4th floor..
Hata sijui tiba yake ni nini ? Zinanitesa sana siku hadi siku tumbo langu linavimba
 
Nilitupilia mbali uzazi wa mpango baada wa kubleed for almost 2 weeks unameza dawa inakata inaanza upya ..hii ilikwenda kwa miezi miwili ikanichezesha makida makida.. niliona ni upuuzi kurisk afya yangu while naweza tumia kalenda....lakini pia hayufanyi kila siku..pia si kigezo za mwanaume kuchepuka uweke FP atachepuka usiweka atachepuka vile vile nilitoa natumia kalenda akishindwa vumila hizo siku 7sjui 10 na achepuke tu aisee nadunda mwaka wa 3 with 4 kids na imetosha SIZAI TENA Nimefunga kwa imani..
Mwambie jamaa awe anafanya coitus interruptus
 
Hata sijui tiba yake ni nini ? Zinanitesa sana siku hadi siku tumbo langu linavimba
Tafuta lugols iodine utumie mpaka fibroids ziishe. Wataalamu wanasema fibroids zinasababishwa na upungufu wa iodine kwenye mwili wa mwanamume,ukikosa lugols iodine basi suppliments kwa chakula.

Tumia mwani,nunua yale majani yake kabisa,safisha kwa maji safi . Yaloweke kwa saa 24 kisha yatie kwenye blender,kula kijiko kikubwa asubuhi na jioni kwa muda mrefu iwezekanavyo.

Kama unaishi karibu na bahari uwe unaenda beach mara kadhaa kwa wiki. Kaa ufukweni,fanya deep breathing ya taratibu tu hata kwa saa moja . Ukiweza kuogelea pia sio mbaya,bahari ina iodine nyingi kwenye hewa mpaka maji yake .

Kama una uwezo basi fanya diet kali ya ketovore/carnivores diet. Chakula chako kikuu kiwe protein za wanyama (ng'ombe, mbuzi, kondoo na samaki).

Acha kula sukari kabisa, modify jinsi ya kula wanga , usitumie mafuta ya kupikia wala bidhaa za viwandani. Mwili wako ukiweza kuingia kwenye ketosis basi shida zote za kiafya ambazo sio za kuambukizwa zitaisha .

Pole sana .
 
Tafuta lugols iodine utumie mpaka fibroids ziishe. Wataalamu wanasema fibroids zinasababishwa na upungufu wa iodine kwenye mwili wa mwanamume,ukikosa lugols iodine basi suppliments kwa chakula.

Tumia mwani,nunua yale majani yake kabisa,safisha kwa maji safi . Yaloweke kwa saa 24 kisha yatie kwenye blender,kula kijiko kikubwa asubuhi na jioni kwa muda mrefu iwezekanavyo.

Kama unaishi karibu na bahari uwe unaenda beach mara kadhaa kwa wiki. Kaa ufukweni,fanya deep breathing ya taratibu tu hata kwa saa moja . Ukiweza kuogelea pia sio mbaya,bahari ina iodine nyingi kwenye hewa mpaka maji yake .

Kama una uwezo basi fanya diet kali ya ketovore/carnivores diet. Chakula chako kikuu kiwe protein za wanyama (ng'ombe, mbuzi, kondoo na samaki).

Acha kula sukari kabisa, modify jinsi ya kula wanga , usitumie mafuta ya kupikia wala bidhaa za viwandani. Mwili wako ukiweza kuingia kwenye ketosis basi shida zote za kiafya ambazo sio za kuambukizwa zitaisha .

Pole sana .
Olivia ni mwanamke! ushauri utafanya kazi kwake?
 
Nilishawahi kutumia hormonal IUD, sikupata madhara wala maudhi yoyote na baada ya miezi 7 period ikakata kabisa.

Kilivyotolewa, nilipata maumivu nikaahirisha kuweka kingine, ila NAKIMISS pia 😂 nafikiria kuweka tena nisije pata mimba ya uzeeni!
Hayo mapori mnataka yajazwe na akina nani? Zaeni mkuu
 
Tafuta lugols iodine utumie mpaka fibroids ziishe. Wataalamu wanasema fibroids zinasababishwa na upungufu wa iodine kwenye mwili wa mwanamume,ukikosa lugols iodine basi suppliments kwa chakula.

Tumia mwani,nunua yale majani yake kabisa,safisha kwa maji safi . Yaloweke kwa saa 24 kisha yatie kwenye blender,kula kijiko kikubwa asubuhi na jioni kwa muda mrefu iwezekanavyo.

Kama unaishi karibu na bahari uwe unaenda beach mara kadhaa kwa wiki. Kaa ufukweni,fanya deep breathing ya taratibu tu hata kwa saa moja . Ukiweza kuogelea pia sio mbaya,bahari ina iodine nyingi kwenye hewa mpaka maji yake .

Kama una uwezo basi fanya diet kali ya ketovore/carnivores diet. Chakula chako kikuu kiwe protein za wanyama (ng'ombe, mbuzi, kondoo na samaki).

Acha kula sukari kabisa, modify jinsi ya kula wanga , usitumie mafuta ya kupikia wala bidhaa za viwandani. Mwili wako ukiweza kuingia kwenye ketosis basi shida zote za kiafya ambazo sio za kuambukizwa zitaisha .

Pole sana .
Wataalam wa wapi hao wanaodai Fibroids inasababishwa na upungufu wa Iodine mkuu? Halafu hiyo Lugol's Iodine unayomwambia atumie unamaanisha atumieje? Anywe au? Mwenzio asijekwenda kunywa Iodine wakaenda kumzika maana Lugol's Iodine sio kinywaji kile.
 
Back
Top Bottom