Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

Wanadamu wa sasa tunapenda ngono kama chakula.

Siku za hatari kwa mwanamke ni 7-10 tu. Kuanzia siku ya 10 hadi ya 18 au 20 mkiweza.

Sasa hizo siku 10 mwanaume eti anashindwa kuvumilia, ni uzembe wa kifisi.

Na wanaume inabidi wajue kukaa japo wiki 2 straight kwa mwezi bila kusex inakufanya u-recharge mwili na inner energy yako inakuwa kubwa.

Kiasi kwamba siku ukimkamata mkeo anafeel kama kakutana na mtu mpya.
Hard truth ni hii

Wanaume wengi hawajali kuhusu uzazi wa mpango. Sababu somehow dunia imehusisha idadi ya watoto na UKIDUME!

Yaani kama mwanamke, usipopambania kujilinda, mume hata kama mlisema mtazaa watoto 2...hana shida kuzaa 5 sababu hatowabeba yeye, hatowapeleka clinic yeye, hatokaa nao wakiumwa. His only role will be kutoa pesa, na hii role siku hizi tunasaidiana.

All in all, wanaume wengi hawajali uko siku za hatari, uko siku salama (sio shida zao at all). Ukilialia hapo kusema siku za hatari mnaweza kubaliana kabisa amwage nje na akamwaga ndani.
 
Mimi nipo na hamtaki kunitumia kuhusu hizo shida zenu ,kisa vielfu kumi vyenu mnaona kama nitafaidi ,endeleeni kuishi kwa mashaka kwenye tundoa twenu ila mkae mjue si kila mwanamke anaweza kutumia kila aina ya uzazi wa mpango anaoutaka yeye ila hormone diagnosis ni lazima .

Shida hizo hela mnaishia kuwapa wafamasia wa vipharmacy mshenzi huko vichochoroni ila kuleta kwa watu wenye kazi zao hamtaki ,endeleeni kuteseka .

Anyway sina hela ya pombe leo mwenye uhitaji kabisa ya mambo ya uzazi alike huu uzi ili nimsaidie nione kama badaye nitatamba pande zangu.
 
Hawana afya hiyo. Wanakula chips, biskuti na soda. Afya ya kuzaa watoto 10 watowe wapi?
Wanaume wengi pia wanakula hivyo hivyo vyakula na hawana hizo nguvu za kuzalisha wala kulea hao watoto 10.
Wanaishi na stress za vicoba afya ya kuzaa watoto 10 watapata wapi?
Kwa maisha ya sasa kwenye familia nyingi, mahitaji ya nyumbani na ada za shule mnachangiana kuzitoa, na wote mnajishughulisha, la sivyo huyo mwanaume pekee hatoboi. Stress zinakosekanaje sasa hapo?

Hata kama una uwezo wa kuzaa, ikizidi sana unampa watoto watatu maana hao ndiyo mtamudu kulea.
 
Habari,

Hii ni kwa wanawake wenzangu ambao wanatumia uzazi wa mpango aina ya IUD (Intra-uterine Device) au Kitanzi.

How are you guys? Vinawapa maudhi kama kilivyoninyoosha mimi au mmetulia?

I have to say nili-opt kutumia IUD sababu niliambiwa haina maudhi, na niliweka a copper IUD nikiambiwa ni non-hormonal yaani hakiingilii mifumo ya homoni. Miaka miwili ya mwanzo naona niliishi nacho tu poa.

Kuanzia around February 2025, nikaanza kupata periods zinazodumu siku 8 hadi 10, tumbo likawa linauma Mungu hapendi, nikipona yeast infection napata BV na mzunguko unaendelea hivyo.

Nimetoa IUD tangu November 2025. Kila kitu kimetulia! Yaani periods zangu zimerudi kuwa normal, sipati infections anymore na wala siumwi tumbo.

Tatizo ni kwamba; NIMEKIMISS. Namiss maisha yangu ya kuwa siwazi kupata ujauzito. Maana huku kwenye ndoa muda wowote unamwagiwa ndani, sipendi kukaa roho juu kabisaa. Niweke tena nikitumaini nitatulia miaka miwili mingine?
Kumwagiwa ndani au nje si jambo la kuzungumza na mwenza wako kabla ya tendo au huko kwenye ndoa hali ikoje mkitaka kubanjuana?
 
Wanaume wengi pia wanakula hivyo hivyo vyakula na hawana hizo nguvu za kuzalisha wala kulea hao watoto 10.

Kwa maisha ya sasa kwenye familia nyingi, mahitaji ya nyumbani na ada za shule mnachangiana kuzitoa, na wote mnajishughulisha, la sivyo huyo mwanaume pekee hatoboi. Stress zinakosekanaje sasa hapo?

Hata kama una uwezo wa kuzaa, ikizidi sana unampa watoto watatu maana hao ndiyo mtamudu kulea.
Sikusema kwa ubaya, lakini wanawake ndiyo wanaongoza kupenda kula hivyo vyakula vya hovyo

Hata hivyo mimi mwenyewe sipendi kuwa na watoto wengi sitaki waishi maisha ya shida nikifariki
 
Kumwagiwa ndani au nje si jambo la kuzungumza na mwenza wako kabla ya tendo au huko kwenye ndoa hali ikoje mkitaka kubanjuana?
Siyo kazi rahisi kumwaga nje, utamu unazidi ukimwaga ndani

Pia kuna nyakati mnaweza kufika kileleni kwa pamoja hivyo huwezi kuchomoa uume dakika hiyo

Pia kuna muda mnakuwa mmelewa wote wawili huo muda wa kumwaga nje hamuwezi kukumbuka
 
Hard truth ni hii

Wanaume wengi hawajali kuhusu uzazi wa mpango. Sababu somehow dunia imehusisha idadi ya watoto na UKIDUME!

Yaani kama mwanamke, usipopambania kujilinda, mume hata kama mlisema mtazaa watoto 2...hana shida kuzaa 5 sababu hatowabeba yeye, hatowapeleka clinic yeye, hatokaa nao wakiumwa. His only role will be kutoa pesa, na hii role siku hizi tunasaidiana.

All in all, wanaume wengi hawajali uko siku za hatari, uko siku salama (sio shida zao at all). Ukilialia hapo kusema siku za hatari mnaweza kubaliana kabisa amwage nje na akamwaga ndani.
😅😅😅😅😅😅Kumwaga nje nako si kitoto. Mi naonaga naumia tu hasa misuli ya gobole
 
Back
Top Bottom