Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

Nje ya mada, wakuu fibroids zinasababishwa na nini? Na zinatibikaje? Kuna mtu naona zinamtesa sana, kuna kipindi kafafanyiwa operation, lakini juzi tena kaambiwa zimeota afanyiwe! Mind u hana mtoto na 4th floor..
Pole kwake, fibroids hazina sababu ya kitabibu inayojulikana ila kuna vichochezi vinavyoweza kuchangia ikiwemo historia ya fibroids kwenye familia, upungufu wa vitamin D na unene kupitiliza.

Sisi wanawake wa kiafrika ndiyo kundi linalozipata zaidi kuliko wanawake kutoka maeneo mengine. Shangazi yangu ameondolewa kizazi kwa sababu ya hili tatizo 😢.

Tiba inategemeana na fibroids zimejiotea wapi na kwa ukubwa gani. Kuna dawa za kuzifanya zinywee au operation. Pia kuweka IUD inasaidia kupunguza bleeding kipindi cha period.
 
Binti wa zamani ni mke wa mtu na mtu mwenyewe ni mimi. Manyanza Mwalimu wa Jamii dosho12 leo dada Seran walikuwepo wakati natoa mahari na ndoa. Hesima iwepo ndugu!
Akibisha natuma na picha za harusi hapa hapa 😁
Aiseeeh 😂 😂
hii ni maajabu.jpeg
 
Bora wewe umesoma hata kichwa cha uzi, ameita wanawake wenzake ila wanaume ndiyo wamejazana na unsolicited advice zao 🚮🚮🚮
Hapana pamoja na kuitwa wanawake wanaume pia tunahusika , kwani hivyo vitanzi si mnatuwekea sisi ili tusiwatungishe mimba ?

Kwa namna moja au nyingine tunahusika
 
Kaka zangu wakimatumbi linapokuja suala la uzazi WA mpango wa kisasa wanakuwa wakali kweli sijui shida ni nini?
Yaani kajamaa unakuta hakajui chochote kuhusu kalenda na hakana njia mbadala hilo Povu kanalotoa Sasa😀😀😀😀😀
 
Kaka zangu wakimatumbi linapokuja suala la uzazi WA mpango wa kisasa wanakuwa wakali kweli sijui shida ni nini?
Yaani kajamaa unakuta hakajui chochote kuhusu kalenda na hakana njia mbadala hilo Povu kanalotoa Sasa😀😀😀😀😀
Manjia ya kisasa kiukweli sio poa , bora hata mtumie billing ovulation method (BOM)
 
Kitanzi cha Copper ni kweli hakina hormone za uzazi lakini usichoambiwa ni kwamba Copper ina uwezo wa kuathiri hormone za uzazi hasa estrogen ndio maana kuna hayo maudhi unayapata.

Hiyo sentensi kwamba " hakina homoni ni maneno tu ya kutia watu moyo ili waone kina uafadhali".

Mbaya zaidi kitanzi cha copper kinatoa kiwango kikubwa cha copper mwilini kuliko kiwango kinachoruhusiwa kwahiyo kinaleta " copper toxicity". So unaepuka hormones unapambana na copper toxicity.

Kuna group Facebook la wanawake kutoka sehemu mbalimbali duniani wanaotumia hizo Copper IUD, simulizi wanazotoa hao wamama sio poa. Ukipata nafasi kalitafute usome,utaona hayo mambo wanayopambana nayo.Hayo majitu ni masumu.

Bora njia za asili kama Billings Ovulation Method au kujipima joto mdomoni au homoni kwenye mkojo. Unazuia mimba kiuhakika bila madhara yoyote.
 
Back
Top Bottom