Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 5,513
- 9,472
Angalau 1 billion si unaona wachina walivoendeleaTunatakiwa kufika wangapi mkuuš„
Angalau 1 billion si unaona wachina walivoendeleaTunatakiwa kufika wangapi mkuuš„
Hicho kidude hakina hormone sawa ila ukiwa mwanamke haujatulia infectiona zitakuua, unatakiwa kuwa mke wa mume mmojaHabari,
Hii ni kwa wanawake wenzangu ambao wanatumia uzazi wa mpango aina ya IUD (Intra-uterine Device) au Kitanzi.
How are you guys? Vinawapa maudhi kama kilivyoninyoosha mimi au mmetulia?
I have to say nili-opt kutumia IUD sababu niliambiwa haina maudhi, na niliweka a copper IUD nikiambiwa ni non-hormonal yaani hakiingilii mifumo ya homoni. Miaka miwili ya mwanzo naona niliishi nacho tu poa.
Kuanzia around February 2025, nikaanza kupata periods zinazodumu siku 8 hadi 10, tumbo likawa linauma Mungu hapendi, nikipona yeast infection napata BV na mzunguko unaendelea hivyo.
Nimetoa IUD tangu November 2025. Kila kitu kimetulia! Yaani periods zangu zimerudi kuwa normal, sipati infections anymore na wala siumwi tumbo.
Tatizo ni kwamba; NIMEKIMISS. Namiss maisha yangu ya kuwa siwazi kupata ujauzito. Maana huku kwenye ndoa muda wowote unamwagiwa ndani, sipendi kukaa roho juu kabisaa. Niweke tena nikitumaini nitatulia miaka miwili mingine?
Ili tuanze kushindia silesi moja moja sio! We jilinganishe na china kama mnataka kurudisha subsistence farming?Angalau 1 billion si unaona wachina walivoendelea
Kwani china wanashindia silesi mojA moja?Ili tuanze kushindia silesi moja moja sio!
Lugols iodine 3% anaweka tone moja kwenye glass ya maji kila siku. Hii sio iodine tincture ya kupaka kwenye vidonda.Wataalam wa wapi hao wanaodai Fibroids inasababishwa na upungufu wa Iodine mkuu? Halafu hiyo Lugol's Iodine unayomwambia atumie unamaanisha atumieje? Anywe au? Mwenzio asijekwenda kunywa Iodine wakaenda kumzika maana Lugol's Iodine sio kinywaji kile.
Angalia haunuki vibaya mwenzio umkeri kwa shombo samaki hayo makituHabari,
Hii ni kwa wanawake wenzangu ambao wanatumia uzazi wa mpango aina ya IUD (Intra-uterine Device) au Kitanzi.
How are you guys? Vinawapa maudhi kama kilivyoninyoosha mimi au mmetulia?
I have to say nili-opt kutumia IUD sababu niliambiwa haina maudhi, na niliweka a copper IUD nikiambiwa ni non-hormonal yaani hakiingilii mifumo ya homoni. Miaka miwili ya mwanzo naona niliishi nacho tu poa.
Kuanzia around February 2025, nikaanza kupata periods zinazodumu siku 8 hadi 10, tumbo likawa linauma Mungu hapendi, nikipona yeast infection napata BV na mzunguko unaendelea hivyo.
Nimetoa IUD tangu November 2025. Kila kitu kimetulia! Yaani periods zangu zimerudi kuwa normal, sipati infections anymore na wala siumwi tumbo.
Tatizo ni kwamba; NIMEKIMISS. Namiss maisha yangu ya kuwa siwazi kupata ujauzito. Maana huku kwenye ndoa muda wowote unamwagiwa ndani, sipendi kukaa roho juu kabisaa. Niweke tena nikitumaini nitatulia miaka miwili mingine?
Ma P2 tena.Sitaki ufanyike nje cz kwanza inakata stimu na ndio maana namiss kitanzi changu sababu sasa hivi napata shida sana kuhesabu tarehe, mara kunywa p2. Aaargh!!
Hujajibu swali la msingi mkuu, ni wapi wataalam wamesema fibroids zinasababishwa na upungufu wa Iodine? tuletee rejea( reference) ya hilo.Lugols iodine 3% anaweka tone moja kwenye glass ya maji kila siku. Hii sio iodine tincture ya kupaka kwenye vidonda.
Hicho kidude haijalishi umetulia,haujatulia, infections ziko palepale, haijalishi.Hicho kidude hakina hormone sawa ila ukiwa mwanamke haujatulia infectiona zitakuua, unatakiwa kuwa mke wa mume mmoja
HatubadilikiUkiona hadi bongo ambapo wanapenda kuzaliana kama wanalipwa napo wamepunguza, ujue kweli mmewachosha wanawake, badilikeni!
Sina mtoto ila hili tatizo limenizidia sasa inabd niende kwenye opKuna wataalamu wa mambo ya dawa za Kienyeji humu! japo huyu mama kafanyiwa na bado anaendelea kufanyiwa means ni mateso haya! una mtoto?
Mimi ni mwanamke hivi kumbe fibroids huwapata hadi wanaume ?Tafuta lugols iodine utumie mpaka fibroids ziishe. Wataalamu wanasema fibroids zinasababishwa na upungufu wa iodine kwenye mwili wa mwanamume,ukikosa lugols iodine basi suppliments kwa chakula.
Tumia mwani,nunua yale majani yake kabisa,safisha kwa maji safi . Yaloweke kwa saa 24 kisha yatie kwenye blender,kula kijiko kikubwa asubuhi na jioni kwa muda mrefu iwezekanavyo.
Kama unaishi karibu na bahari uwe unaenda beach mara kadhaa kwa wiki. Kaa ufukweni,fanya deep breathing ya taratibu tu hata kwa saa moja . Ukiweza kuogelea pia sio mbaya,bahari ina iodine nyingi kwenye hewa mpaka maji yake .
Kama una uwezo basi fanya diet kali ya ketovore/carnivores diet. Chakula chako kikuu kiwe protein za wanyama (ng'ombe, mbuzi, kondoo na samaki).
Acha kula sukari kabisa, modify jinsi ya kula wanga , usitumie mafuta ya kupikia wala bidhaa za viwandani. Mwili wako ukiweza kuingia kwenye ketosis basi shida zote za kiafya ambazo sio za kuambukizwa zitaisha .
Pole sana .
Uzuri ni kwamba ushauri sio lazima aufuate,mwenye tatizo anajua kinacHujajibu swali la msingi mkuu, ni wapi wataalam wamesema fibroids zinasababishwa na upungufu wa Iodine? tuletee rejea( reference) ya hilo.
Pili, nilimaanisha Lugol's Iodine sio Iodine tincture, kinachonishangaza ni wewe kumwambia mtu anywe Iodine bila ushauri wala vipimo. Iodine ikizidi au kupungua mwilini, tezi ya thyroid itapata shida, unavyomwambia anywe Iodine ilihali hujui kiwango cha Iodine mwilini mwake, je akipata matatizo ya thyroid utamchangia matibabu?
Mimi ni mwanamke hivi kumbe fibroids huwapata hadi wanaume ?
Hilo ni tatizo la wanawake pekee. Mtu yeyote mwenye shida ya fibroids atazame hii video,kisha asome comments. Hopefully itamsaidia kupambana na tatizo lake.Mimi ni mwanamke hivi kumbe fibroids huwapata hadi wanaume ?
Hujajibu swali la msingi mkuu, ni wapi wataalam wamesema fibroids zinasababishwa na upungufu wa Iodine? tuletee rejea( reference) ya hilo.
Pili, nilimaanisha Lugol's Iodine sio Iodine tincture, kinachonishangaza ni wewe kumwambia mtu anywe Iodine bila ushauri wala vipimo. Iodine ikizidi au kupungua mwilini, tezi ya thyroid itapata shida, unavyomwambia anywe Iodine ilihali hujui kiwango cha Iodine mwilini mwake, je akipata matatizo ya thyroid utamchangia matibabu?
Sawa, kusikia kwa kenge .....................Hatubadiliki
Fibroids hazimpati mwanaumeMimi ni mwanamke hivi kumbe fibroids huwapata hadi wanaume ?
Aisee šNamiss maisha yangu ya kuwa siwazi kupata ujauzito. Maana huku kwenye ndoa muda wowote unamwagiwa ndani
Uzuri ni kwamba ushauri sio lazima aufuate,mwenye tatizo anajua kinac
Hilo ni tatizo la wanawake pekee. Mtu yeyote mwenye shida ya fibroids atazame hii video,kisha asome comments. Hopefully itamsaidia kupambana na tatizo lake.
View: https://youtu.be/NZI8qJjN2Qw?si=Zu4ymq90Ptnxt4Ng