Zurie
Platinum Member
- Jul 6, 2014
- 2,087
- 5,955
- Thread starter
- #241
Hizi mambo zenu mnakaa mnajitungia hizi ndo mnafanya wanawake wengine anakaa na BV sijui Yeast Infection weee haendi hospital wala hasemi kwa kuogopa kuonekana kicheche.Hicho kidude hakina hormone sawa ila ukiwa mwanamke haujatulia infectiona zitakuua, unatakiwa kuwa mke wa mume mmoja
Issue kama Bacterial Vaginosis sio STI ni issue ya imbalance ya microbiome huko chini. IUD inaweza kuwa chanzo cha hiyo imbalance. Actually kuna wanawake damu yao ya period inawapa BV. Mwingine akivaa tu jeans ya kubana, tayari.
Copper IUD haina hormones but inarelease copper ions zinazoharibu uwezo wa mbegu za kiume. So tayari kuna kitu kipya hapo.