Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Na sisi hatupendi hzo toxic zenu Ila nyie ndo mnaona sawa tu.
Kwanza tumeachana kwanini nikuachie wanangu wewe endelea na life lako
Basi sawa, watoto wangu niliwapata kupitia surrogacy kuepuka ujinga kama huu. Naomba kuuliza hivi nikikupa hao watoto bado utataka nikupe na child support ama utalea wewe kama wewe?
 
Nakubaliana na wewe hii tabia ya kujiaminisha huyu wangu, hufanyi starehe matokeo yako ni kujeruhiwa moyo.
Huyo atafte kipoozeo standard kuliko mumewe bana aendelee na maisha na huyo mume ampuuze life liendelee
Mie huwa nashangaa mtu anaumia vipi kwa usaliti wa mwenzi wake, si na yeye afanye vile mwenzake kafanya. Lazima maisha yawe balanced, ili kutofany upande m1 kuwa ktk risk isiyo na msingi. Mbwai n mbwai tyuuuuuh
 
Maisha yenyewe ni haya haya.. hakuna penye uafadhali , kuikimbia ndoa sio kwamba huo uendako utakua salama, kuna changamoto zake zitakazo kutafuna nafsi na roho vile vile... busara inahitajika

usaliti ni mbaya sana , hilo nakubali ila nature ya uanaume nayo ni changamoto sana kwa wanaume wenyewe, tunatamani kila mwanamke awe wetu

jambo moja ambalo nina uhakika nalo ,kuchepuka kwa Mwanaume hakuna uhusiano wowote na upendo dhidi ya familia au mkewe, hivi vitu vitabaki vile vile kwenye familia yake
Hata sisi huwa tunatafta mtu wa kutupa satisfaction na upendo uko pale pale tunaenda taste tofauti, Kuna wanaojua kubembeleza, kukupa hela kwahyo hyo huwa nikufanya kitu roho unapenda na haihusiani na upendo kabisa.
Wengine wapenda different style, kujaribu jaribu basi, wengine wafata mhongaji mzuri tu.
So kuchepuka huwa ni choice na haihusiki na upendo wengi hutafta satisfaction ya kufidia Jambo.
Pia huko kwingine wewe wataka starehe with no stress hzo other aspects nyingine zinakuwa hazinihusu
 
Atafute kipoozeo kimoja matataaa, akirudi home mwepesiiii. Heshima na adabu kama zote, anaimba tu mapambio[emoji28][emoji28][emoji28]
Hahhaahhah tuseme ameeeeee


Asipolipiza ataumwa madonda tumbo, presha na sonona,, atakufa awaache beautiful babies wake mikononi mwa mke mwenzie na bwana kiborodinda wakila maraha
 
Hatushindani, kwani nyie mkichepuka mnashindana na mwamke?


Hizo aibu zinabakije kwangu kwamfano? Yaani wewe ndio unaamua na kupanga zibakie kwangu au?
[emoji23][emoji23][emoji23]Kama mtu ataogopa kufanya limpalo amani eti aibu basi anachekesha. Kwanza wewe uzini huko aibu naipataje Mimi kah
 
Muache ajipe moyo, hawajui vizuri wanaume huyu, wao wanaua huku wana kulambisha asali unakuja shituka damu inatoka shingoni, unabaki kutoa kilio cha haja.
12 yrs of our marriage, kama anacheat it has never affected our family or my feelings in any ways kwa sababu sijawahi kumgundua wala sijawahi kuwa suspesious

I love the fact that he is protecting feelings and emotions.

Kama nilivyosema mwanzo, almost kila mwanaume anacheat, ila inategemea na style yake. Wengine wanajaribu sana kuhakikisha mke hagundui na hakuna tofauti yoyote ndani ya familia. Ila wengine wanabadilika and everything gets worse

Kwa mfano kwa case ya mleta mada, aligundua kwa sababu aliona mabadiliko kwa mume wake, lets say mume asingeonyesha viashiria vyovyote ndoa yao bado ingekua salams mpaka with the same level of love and trust
 
Hapana, anabalance tu equation. Kilicjopungua hapa, anajazia kule kidogo.

Apo umeruka mkojo unakanyaga mavi. Bora uniambie utaachana na habari za wanaume jumla ila kama utaenda kwa me mwingne mambo ni yale yale. Kwenye hii ndoa tunachoangalia cha kuokoa ni watoto. Je ukianza maisha maisha mapya yatawasaidia vipi watoto wasidhurike?
 
Wewe kuna Uzi ulisema hujaolewa then hapa unasimulia experience za kuachwa na nyege na kuchakaa kwenye ndoa [emoji3][emoji3]
Nimeolewa na kuachika Mara Saba, kwani kwenye ndoa mb... Na k huwa ziko hewani useme hufanyaji huwa tofauti na mahusiano. Watu wanaishi kindoa tu bila kufanya official
 
We mzee unakuwaga na madini sana kichwani ila tatizo lako moja tu la kukimbia kijijini tukuyu na mtaji wa parachichi.
Tatizo unamsikiliza sana kaka yako, rudi nyumbani tule maisha. Usingeondoka saa hivi tungekuwa wote hapa Kiwira tunapiga hela kwenye mnada wa ndizi [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Mbona umekazania sana achepuke?? Kwani akiomba talaka kuna shida gani? Yani wewe solution yako ni kuchepuka na atiwe mimba tu!
Kuolewa kutamu sijui..aombe talaka ili akawe huru zaidi huko nje..huku kuchepuka ndo kunawafanya wananunuliwa magunia ya mkaa..Hawawezi kushindana na mwanaume kamwe,zaidi itakula tu kwao..ila pia sihalalizi watu kutokutulia na wake zao
 
Wewe ungekua Mwanaume ukakuta Mwanamke kaachika utaoa??
kwamba Mwanaume mwenzio alikua kiazi kumwacha huyo mwanamke?

mkiwaza upande wenu, jaribuni kuwaza na upande wa pili pia, inawezekana ila ni ngumu kupita maelezo
Waliachika ndo huolewa Mara nyingi kuliko wanao jifanya wema
 
Hahhaahhah tuseme ameeeeee


Asipolipiza ataumwa madonda tumbo, presha na sonona,, atakufa awaache beautiful babies wake mikononi mwa mke mwenzie na bwana kiborodinda wakila maraha
Yaani kama namuona akimtazama mumewe sijui anatafakari nini kichwani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Atafute kipoozeo kimoja matataaa, akirudi home mwepesiiii. Heshima na adabu kama zote, anaimba tu mapambio[emoji28][emoji28][emoji28]
Tema akifanya hivo kuwa busy kutokumkasirikia mume, na kipoozeo high class atamuumiza mume Mara elfu na zaidi na aache kulia Lia ajipende na achangamke zaidi awe na furaha, mume atakoma mwenyewe
 
Wao wakisalitiwa wanavyotia huruma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shenzi zao

Wengine hata nguvu hawana wapo hapa wanajishaua,, 'mwanamke mmoja hatoshi'' (ukisoma hapa Soma kwa sauti ya puani)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufa uwiiiiiiiiiiih, utakuta mwanaume ni kiba100, kweny show 16% F grade, kiumbe kike wa watu anamvumilia ili kumpa heshima na thamani yake, afu kenyewe kanajikuta kumba kumba kwa demuz pembeni,

Dadeki ni kupeleka nyapu nje ikutane na mikunyenge ya kiwango cha uchumi wa kati hadi ijute kukaa ndani tyuuuh 4 nothing, uwiiiiiiiiih
 
Apo umeruka mkojo unakanyaga mavi. Bora uniambie utaachana na habari za wanaume jumla ila kama utaenda kwa me mwingne mambo ni yale yale. Kwenye hii ndoa tunachoangalia cha kuokoa ni watoto. Je ukianza maisha maisha mapya yatawasaidia vipi watoto wasidhurike?
Hapana, anachepuka kwa heshima ili kulinda ndoa yake. Hawavunji ndoa maana bado wanapendana na wana watoto wa kulea.
 
Back
Top Bottom