Je, wewe baba mwenye binti utafurahi siku binti yako akikuletea mchumba hana kitu kabisa.
Umasikini ni laana, basi tu wengi wetu tunatokea familia masikini, tumekulia umasikini, tunazeeka na umasikini wetu hivyo tunaona kuwa masikini ni sifa chanya.
Kwangu mimi naona umaskini unaanzia kichwani.
Mimi kama Baba, maisha ya binti yangu yananihusu nini?
How do i get involved in my daughter's business?
Yani wao wenyewe huko wamekutana wamependana halafu mimi nije ku interfere mahusiano yao kwa kigezo cha kwamba mume wake mtarajiwa hana hela.
I handled my marriage on my own, without my parents interfering. So why would I fuk up my daughter’s marriage?
How stupid is that?
Mindset ya namna hii mara nyingi inakuwa ya kibinafsi na kimasikini.
Aina hii ya mzazi ndio wale ambao wana malengo ya kupiga jackpot kupitia mali ya kuozesha binti zao.
Aina hii ya Wazazi ndio wale ambao wenye roho mbaya na tamaa, hutoza fedha nyingi za mali kwa madai ya kipumbavu utasikia "huyu binti nilimgharamia elimu yake" mara sijui "aliumwa sana hivyo nilitumia pesa nyingi kumtibu"
Maana yake wewe mwanaume kuumwa kwako, elimu yako, hizo gharama zote ulizotumia zinakufanya uwe worthless mbele ya binti yao.
Mwanaume yeyote atayeingia kwenye mahusiano na mwanamke wa mzazi huyu. He would be one of the unluckiest motherfk in the world
Kwanza atabebeshwa majukumu yote ya familia ya huyu mwanamke wake.