Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

U get what u deserve.. Not what u expect! Hicho ndicho nilichojifunza kwa siku ya leo.. thanks muchh 😍

Kuelewesha vijana ni kazi sana ndugu yangu, mkijadili mada anakugeuzia kibao as if umemwambia unataka nini wakati ni mjadala mezani..
Ndo ivo Cha msingi na wewe ujitume upambane usijisaulishe sana ukitegemea utaolewa na tajiri, utazeekea kwenu

Maana wewe una mipango yako na MUNGU naye ana mipango yake, Pambana usitegemee sana mwanadam kisa ya utajiri wake au chochote.
 
Hata wanaume maskini huwa wanasettle na wanawake wenye mionekano mibaya sio kwa kupenda ila kwa sababu ya Hali zao mbaya za kiuchumi.

Ndo maana wanaume wengi wakijipata haswa kiuchumi huwa wanaoa mke wa pili ambaye ni mzuri kimuonekano kuliko mke wa kwanza
 
Ndo ivo Cha msingi na wewe ujitume upambane usijisaulishe sana ukitegemea utaolewa na tajiri, utazeekea kwenu

Maana wewe una mipango yako na MUNGU naye ana mipango yake, Pambana usitegemee sana mwanadam kisa ya utajiri wake au chochote.
Sawa kila mtu ana pambana kivyake, sio
Kosa mtu kukataa umasikini, sio kosa kuchaguq mtu asiye masikini! Inategemea tu mtu amedefine vipi huo umasikini, ndiomaana kuna mwanamke ukimnunulia ata kitenge anatoa ushuhuda, na kuna dada ata umpe g wagon bado ataonesha dharau au aone kawaida!
 
Mwanaume rijali provider anaejielewa haangalii umaskini wa mwanamke kama kigezo cha kutokumchagua, linapokuja swala la sex au ndoa, wanaume wengi hatujali kama huna hela, huna nguo nzuri, huna kazi, huna pa kulala unalala chini ya mwembe, kikubwa sana kwenye macho yetu uwe na muonekano mzuri na tabia inayoridhisha Kelsea
Wanaune wanaojielewa ni wa kuhesabu ila hawa wengi wanataka mwanamke mwenye pesa wakiamini hatokua na tabia za kuomba pesa kwa sababu wao wenyewe hawapo tayari kutoa pesa.
 
Wanawake wengi wamejikuta wameingia kwenye ndoa za majuto kwa tamaa ya pesa, kumbe amani yao ilikuwa kwa mwanaume masikini aliyemdhania. Ni woga tu, maisha mazuri ya ndoa ni wote muanzie kwenye zero point
 
Fafanua jibu lako, halafu ujue kitakwimu wadada wenye mwonekano mzuri ni wengi kuliko wanaume wenye hela.

Tena kati ya hao wanaume wenye hela, toa waume za watu, toa wababu, toa wanaume wenye hela za kichawi zenye masharti, toa wanaume waliojipatia izo hela kwa njia haramu k.v kuiba kuua..toa mashoga, hapo unabakia na nani 😁

Math ain't mathing Seran
Sasa mashoga wanaingiaje hapa?? Hivi hamuwezagi kujadili mada km hizi bila kuhusisha Gays??
Hivi mkoje??
 
Back
Top Bottom