min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,624
Bwashee , sioni update yoyote ya group letu la majobless wa kishua😅Haya majadiliano yame nifanya niulize swali, umaskini ni nini?
Bwashee , sioni update yoyote ya group letu la majobless wa kishua😅Haya majadiliano yame nifanya niulize swali, umaskini ni nini?
Mwanaume yeyote kutoka kundi lolote anaweza kumgeuka mpenzi wake.We acha tu mawinga sio watu
Wewe ni winga?Mwanaume yeyote kutoka kundi lolote anaweza kumgeuka mpenzi wake.
Ila mimi nitakuwa mwaminifu 😉
Sijawahi ni mwiko katika ukoo wetu kutazama nyuma kwa kila kitu unachofanya, kwani vipi mbona unauliza hilo swali?Ndugu, mkuu mjusi, Hivi ulishawahi kusoma unachoandika
Sijawahi ni mwiko katika ukoo wetu kutazama nyuma kwa kila kitu unachofanya, kwani vipi mbona unauliza hilo swali?Ndugu, mkuu mjusi, Hivi ulishawahi kusoma unachoandika
😂😂😂😂😂Tajiri amnyee wapi hawa hawa wanuka shida wenzetu
Hali ya uchumi wao ikoje kwanza.... Embu tuanzie hapaUnadhani ni kwanini wanawake wengi miaka hii hawataki kuolewa na wanaume maskini wanao anzia chini !!?
Yani unachanganya mafaili..Sijawahi ni mwiko katika ukoo wetu kutazama nyuma kwa kila kitu unachofanya, kwani vipi mbona unauliza hilo swali?
Yote kwa yote muhimu dawa inakufikia.Yani unachanganya mafaili..
Sawa kazana nipone..Yote kwa yote muhimu dawa inakufikia.
Zinazofata ni sindano za makalio vidonge vya kumeza vimeisha utaweza kweli?Sawa kazana nipone..
Nipe za kupachika sharobaloZinazofata ni sindano za makalio vidonge vya kumeza vimeisha utaweza kweli?
Hizo za kupachika ndo zipi, ni kupachika mimba au? maana udaktari wenyewe hatujasoma tunafosi tu.Nipe za kupachika sharobalo
Kwa sisi wanaume tusio nacho nako kwa moto😁Saa ingine hata hao wenye nazo wana changamoto zao ikiwemo masimango.
Tena akikuona umetoka kwenye maisha ya hali ya chini ndo anaigeuza kama fimbo yaani ukimkosea kitu kidogo tu utajuta maneno yake.
Kiujumla ni kuomba tu Mungu kwani kuwa kwenye mahusiano kwa mwenye nacho au asiye nacho ni kama kucheza kamari lolote linaweza kutokea mbele.
The Haves and Have Nots lol 😆Kwa sisi wanaume tusio nacho nako kwa moto😁
Kwenye talking stage ya utongozaji, ukimuomba mwanaume tsh elf 10 hata kama una nia nzuri, mwanaume anakimbia, urafiki unaishia hapo hapo, hata kukutongoza anaghairi..
Wadada wengi siku hizi wamejanjaruka,, ukimkimbia kwasababu hiyo, hata usipomwambia anajua kabisa umemkaushia kwa sababu kakupiga kizinga, ila kukwambia ndo hawezi😂 Shadeeya shibela Seran
Ngoma drooNa wanaume wengi pia hawataki wanawake maskini
Ova
Kwani mkiingia kwenye mahusiani ndio huwa hamuwezi kufanya chochote kwa ajiri ya future yenu? Kuna maana gani sasa ya kumwezesha girl child kama ataishia kuwa useless na kusubiri hatma ya maisha yake iamuliwe na mwanaume?Wanaume wakifanikiwa wanakukimbia wanatafuta warembo wa mjini sasa.. unarudi zako kuanza upya na masikini mwingine🥲
Tunaweza na huwa tunapambana sana, wengine hatujazoea kukaa tu kusubiri kuletewa ila ndio hivyo inavyokuwa..Kwani mkiingia kwenye mahusiani ndio huwa hamuwezi kufanya chochote kwa ajiri ya future yenu? Kuna maana gani sasa ya kumwezesha girl child kama ataishia kuwa useless na kusubiri hatma ya maisha yake iamuliwe na mwanaume?