Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

Sasa hv kila mtu apambane ki mpango wake ukitegemea mwanaume umekwisha maana na wanaume sasa hv na sisi hatutaki demu masikini dadeki
 
Mwanaume huwa thamani yake inaanzia chini. Umasikini ni default starting ya almost kila mwanaume, ni tofauti na nyie ambao mnaingia kwenye dating pool thamani yenu ikiwa tayari ipo juu. Kumtaka kijana wa 20's awe na gari, nyumba, kazi na hela ya kutimiza mahitaji ya mwanamke ni kumwonea tu huyo kijana. Unachokiongelea sio umasikini kama hali ya kudumu ila ni default starting ya karibu wanaume wote
Ata mimi ninapokutana naye najua hana mia mbovu na si-expect kuona gari au nyumba kwake! Sio kila mwanamke anategemea kuona hivyo vitu kama maendeleo kwa haraka haraka! Kuna watu tunaaanza nao moja ndio tumemaliza chuo mnasindikizana mpaka interview zote, mambo yanagoma mnaanza biashara ndogondogo! Unauza mpka mama ntilie ili tu mfikie lengo!

Ungejitahidi kuweka ujinsia na chuki kwa mwanamke kando, tungeelewana sana! Ila shida unashikilia sana mambo ya gender.. hapo hata nikuelezee siku tatu utakazania mwanaume ndio anaonewa
 
Hii hoja huwa inanishangaza sana. Kwamba mkiingia kwenye mahusiano maisha yenu yanaganda kumsubiri mwanaume?

Ndio maana sometimes huwa nawaza women empowerment ni poor utilization of fund and resources. What is a meaning of empowering a girl child if she will grow up and expect a man to solve all of her living responsibilities.
Point hapo sio kumsubiri mwanaume point ni kuachwa baada ya mafanikio, mtu kufanikiwa akakuacha sio kwamba wewe ndio hunaga maisha mengine unasubiri atoboe aje maishani mwako unaweza kuwa na kazi pia ila point ni mtu kwanini akijipata asepe?
 
Kwangu mimi naona umaskini unaanzia kichwani.

Mimi kama Baba, maisha ya binti yangu yananihusu nini?

How do i get involved in my daughter's business?

Yani wao wenyewe huko wamekutana wamependana halafu mimi nije ku interfere mahusiano yao kwa kigezo cha kwamba mume wake mtarajiwa hana hela.

I handled my marriage on my own, without my parents interfering. So why would I fuk up my daughter’s marriage?

How stupid is that?

Mindset ya namna hii mara nyingi inakuwa ya kibinafsi na kimasikini.

Aina hii ya mzazi ndio wale ambao wana malengo ya kupiga jackpot kupitia mali ya kuozesha binti zao.

Aina hii ya Wazazi ndio wale ambao wenye roho mbaya na tamaa, hutoza fedha nyingi za mali kwa madai ya kipumbavu utasikia "huyu binti nilimgharamia elimu yake" mara sijui "aliumwa sana hivyo nilitumia pesa nyingi kumtibu"

Maana yake wewe mwanaume kuumwa kwako, elimu yako, hizo gharama zote ulizotumia zinakufanya uwe worthless mbele ya binti yao.

Mwanaume yeyote atayeingia kwenye mahusiano na mwanamke wa mzazi huyu. He would be one of the unluckiest motherfk in the world

Kwanza atabebeshwa majukumu yote ya familia ya huyu mwanamke wake.
Hmm u went too far! Kwani hujawahi kuona binti yako ana kakijana hakaeleweki na huoni wakifika popote? Hata mtaani tu hujakutana na binti anayekaribia kuharibiwa maisha ukasikia ukakasi na hata hakuhusu?

Achana na wale waliojitambua wakaanza maisha wameamua kuingia ndoani, kuna mwanga unaouona kama mzazi
 
Vijana wajinga wa JF hawataki single mother, lakini wanataka watoto wakali wakati hali zao ni makapuku jazz band
Hata wakiwapata hao wasio singo maza wanashindwana nao wanazidi kuliongeza kundi tu, watoto mpaka wa 2005 saiz ni masingo maza!
 
Point hapo sio kumsubiri mwanaume point ni kuachwa baada ya mafanikio, mtu kufanikiwa akakuacha sio kwamba wewe ndio hunaga maisha mengine unasubiri atoboe aje maishani mwako unaweza kuwa na kazi pia ila point ni mtu kwanini akijipata asepe?
Hivi hakuna wanawake waliojipata wakawaacha wanaume wao pia?
 
Uko sahihi alafu wanaume watulivu wakiwa hawana ela wapate ela sasa ndo utaona rangizao
Hili labda liwe pamoja na sababu zingine, ila mwanaume mliyekutana mkiwa masikini mkapata pamoja, ni ngumu sana kukuacha.

Lakini kama mwanamke ana tabia za hovyo, hawezi kuwa sababu ya kutokuachwa hata kama mmetafuta wote
 
Yani nikomae nae mpaka tunadharaulika na kila mtu, halafu aokoteze viela vya kubadili mboga ndio aanze kula pembeni! Uweeeh! Siwezi..
Huwezi kushindana na nature ya mwanaume kubadili mboga. Kipato kikiongezeka na matumizi huongezeka.

Hakuna mwanamke aliyewahi kushinda hiyo ligi. Usiseme fulani mbona hana, sema hajadakwa tu.
 
Point hapo sio kumsubiri mwanaume point ni kuachwa baada ya mafanikio, mtu kufanikiwa akakuacha sio kwamba wewe ndio hunaga maisha mengine unasubiri atoboe aje maishani mwako unaweza kuwa na kazi pia ila point ni mtu kwanini akijipata asepe?
Kwanini wewe unafikiri mwanaume akijipata hana haki ya kukuacha? Una tangiable value yoyote uliongeza kwenye hustles zake mpaka ujione upo entitled kwenye mafanikio yake?
 
Ata mimi ninapokutana naye najua hana mia mbovu na si-expect kuona gari au nyumba kwake! Sio kila mwanamke anategemea kuona hivyo vitu kama maendeleo kwa haraka haraka! Kuna watu tunaaanza nao moja ndio tumemaliza chuo mnasindikizana mpaka interview zote, mambo yanagoma mnaanza biashara ndogondogo! Unauza mpka mama ntilie ili tu mfikie lengo!

Ungejitahidi kuweka ujinsia na chuki kwa mwanamke kando, tungeelewana sana! Ila shida unashikilia sana mambo ya gender.. hapo hata nikuelezee siku tatu utakazania mwanaume ndio anaonewa
Sisemi kwamba mwanaume anaonewa, offcourse yoyote ambae ana nguvu ya kufanya maamuzi lazima atakua ruthless. Power don't meant to be polite.

Ninachotaka kukiongea hapa ni unrealistic expectations mlizonazo wanawake. Ukipita huku utasikia mahari yangu milioni 500,ukipita kule utasikia mwanaume mwenye kipato chini ya milioni mbili asioe. Unabaki kujiuliza hawa wanawake wanaongea haya kwa kufanya rejea ya uchumi huu huu wa bongo au wanafanya rejea ya uchumi wa monaco ambapo wanaishi matajiri tu.!
 
Back
Top Bottom