Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 14,246
- 40,256
Wapo sawa tatizo ni unrealistic expectations. Idadi ya wanaume waliopo kwenye daraja wanalolitaka ni kama 5% tu ya wanaume wote. Hawa hawawezi kuwaoa wanawake wote wenye uhitaji wa kuolewa.Wapo sawa , umaskini sio jambo la kujivunia.