Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

Kwanini wewe unafikiri mwanaume akijipata hana haki ya kukuacha? Una tangiable value yoyote uliongeza kwenye hustles zake mpaka ujione upo entitled kwenye mafanikio yake?
Kwanini asingeniacha mapema kabla hajajipata anasubiri tu aone mwangaza ndio ajichomoe betri? Alikuwa anasubiri nini? Na unafikiri kwamba nitaona ni kawaida tu kaniacha labda kachoka na sio kwamba kajipata? Unataka ni-sugarcoat kitu ambacho kiko wazi? Huoni kama nimepotezewa muda mpaka hapo?
 
Sisemi kwamba mwanaume anaonewa, offcourse yoyote ambae ana nguvu ya kufanya maamuzi lazima atakua ruthless. Power don't meant to be polite.

Ninachotaka kukiongea hapa ni unrealistic expectations mlizonazo wanawake. Ukipita huku utasikia mahari yangu milioni 500,ukipita kule utasikia mwanaume mwenye kipato chini ya milioni mbili asioe. Unabaki kujiuliza hawa wanawake wanaongea haya kwa kufanya rejea ya uchumi huu huu wa bongo au wanafanya rejea ya uchumi wa monaco ambapo wanaishi matajiri tu.!
Sasa hao mpaka wanaongea hivyo kuna mambo wameshayaona yatawafaa huko katika level zao huwezi kutulinganisha wanawake wote na wanawake wa mitandaoni au wanaodanga kimataifa!

Mimi nimekutana na winga tukaanzia chini winga akaniacha, nimeanz amahusiano mengine nianze kukurupuka nataka mahali mls500??? Haiingii akilini so far! Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba!
 
Kwa sisi wanaume tusio nacho nako kwa moto😁

Kwenye talking stage ya utongozaji, ukimuomba mwanaume tsh elf 10 hata kama una nia nzuri, mwanaume anakimbia, urafiki unaishia hapo hapo, hata kukutongoza anaghairi..

Wadada wengi siku hizi wamejanjaruka,, ukimkimbia kwasababu hiyo, hata usipomwambia anajua kabisa umemkaushia kwa sababu kakupiga kizinga, ila kukwambia ndo hawezi😂 Shadeeya shibela Seran
Yaani tena ndo mnapataga shida hatari.

Ila kuna muda mnapata wa kufanana nao Mkuu nikimaanisha mwenye uelewa wa kuwa kuna kupata na kukosa kwamba ukikosa leo kesho utapata. Japo kwa zama hizi ni wa kuhesabu hao.

Mwisho wa siku Suluhisho linabakia kupambana tu yaani wanaume mtafute njuruku. 💵
 
Yaani tena ndo mnapataga shida hatari.

Ila kuna muda mnapata wa kufanana nao Mkuu nikimaanisha mwenye uelewa wa kuwa kuna kupata na kukosa kwamba ukikosa leo kesho utapata. Japo kwa zama hizi ni wa kuhesabu hao.

Mwisho wa siku Suluhisho linabakia kupambana tu yaani wanaume mtafute njuruku. 💵
Hivi suala la kutafuta pesa ni la wanaume pekee?
 
Kwamba mlikuwa mnazunguka na huyo bwana ako 24/7 kama paka na mkia wake? How this possible?
Naona unalazimisha huyo mdogo wangu Seran akubali kwamba huyo jamaa yake hakukosa hiyo unayooita necha yenu wanaume. Lol

Kuna watu wana mapenzi ya kipekee Kipenzi Changu.

Kama walikuwa hadi wanatumia Line moja sio mchezo eti.
 
Hmm u went too far! Kwani hujawahi kuona binti yako ana kakijana hakaeleweki na huoni wakifika popote? Hata mtaani tu hujakutana na binti anayekaribia kuharibiwa maisha ukasikia ukakasi na hata hakuhusu?

Achana na wale waliojitambua wakaanza maisha wameamua kuingia ndoani, kuna mwanga unaouona kama mzazi
Tofautisha mtu kutoeleweka kwasababu ya tabia zake ambazo zimechangiwa na maadili mabovu.

Na kumuona mtu haeleweki kwasababu hana kipato cha kukuridhisha.

Muktadha wa hoja ya mdau ni kwamba hafurahishwi kuona binti yake anaolewa na mwanamume asiye na hela.
 
Hii hoja ipo katika mfumo wa kujitetea na si katika ukweli harisi, badilikeni nyie wadada wa mjini mnahangaisha mioyo ya vijana mitaani.
Viumbe wote duniani majike huwa hawapendelei madume/wanaume dhaifu/masikini/losers, tena shukuru katika jamii ya binadamu kuna unafuu kiasi kwa sababu Kuna wanawake wachache huwa hawajali au wanawake waliofanikiwa huwa tayari kuwahudumia wanaume wa aina hiyo. Hili ni somo katika evolution
 
Unadhani ni kwanini wanawake wengi miaka hii hawataki kuolewa na wanaume maskini wanao anzia chini !!?
Katika jamii za viumbe wote duniani majike/wanawake hawapendelei sana madume/wanaume dhaifu/masikini/losers, tena shukuru katika jamii ya binadamu kuna unafuu kiasi kwa sababu Kuna wanawake wachache huwa hawajali au wanawake waliofanikiwa huwa tayari kuwahudumia wanaume wa aina hiyo. Hili ni somo katika evolution,
 
Hongera ila mwanaume mwenzio huku hatukufika popote..
We ulimsaidiaje yeye kujipata?

Sababu hasa ya wewe kuachwa ni hiyo ya kujipata au kulikuwa na sababu zingine?

Hali yake ya kiuchumi saivi ipoje?
 
Viumbe wote duniani majike huwa hawapendelei madume/wanaume dhaifu/masikini/losers, tena shukuru katika jamii ya binadamu kuna unafuu kiasi kwa sababu Kuna wanawake wachache huwa hawajali au wanawake waliofanikiwa huwa tayari kuwahudumia wanaume wa aina hiyo. Hili ni somo katika evolution
Pesa pekee sio ukamilifu anaouhitaji mwanamke kumfanya atulie.

Mwanamke haitaji kitu kimoja pekee. Ni package ya vitu vingi.

Mwanamke ni mtu mwenye asili ya matamanio kwenye mambo ambayo yako nje ya uwezo wake.

Anaweza kuwa na desire saizi ya kuwa na mwanaume mwenye hela ni kwasababu kwa wakati huo anaishi maisha magumu.

Lakini akimpata mwenye hela, anapanda thamani na saizi matamanio yake yanavuka viwango yanakuwa sio tena pesa.

Hapo utamuona akianza kuvutiwa na wanaume wenye vipaji, au wanaume ambao ni maarufu.

Unaweza kuwa na hela halafu hauna kipaji cha kucheza mpira, mwisho wa siku mke wako akatoka na athlete.

Ukiwa mcheza mpira na hauna six pack, utagongewa na Gym trainer.

Ukiwa na six pack na huna mpini mkubwa, utagongewa na kina mandingo wa mtaa.
 
Back
Top Bottom