Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

Wengi wa aina hiyo wanakuwa wametokea kwenye familia za kimasikini.

Huwa najiuliza, hivi wao hawajiulizi ni kwanini Mama zao waliwavumilia Baba zao kujenga familia katika hali ya umasikini?

Kama hela ni jambo la muhimu mwanaume kuwa nalo ili kudumisha mahusiano, kwanini Baba zao hawana?

Hapa kuna tabia inajengeka.

Kwamba Mwanamke anaiona thamani ya mwanaume pale tu ambapo huyo mwanaume atakua na hela.

Na sasa mwanaume akiwa na hela unakuwa unamtengenezea mazingira ya kutoona value ya mahusiano kwasababu anajua uko hapo kwasababu ya hela zake.

Automatically hiyo inakuwa inamkata stimu emotionally.
Na ukizingatia kwamba zaidi ya watanzania 47m ni masikini, mabinti wengi wataolewa na masikini watake wasitake. Bora wajiandae kisaikolojia tu.
 
Hapana na hapo ndipo tunapo ubaini uongo wako, ukweli ni kwamba wanawake wengi ni wenye tamaa na kupenda wanaume wenye uchumi mzuri, hoja ya kwamba masikini huwa anabadilika akijipata na kuwaona wanawake ni makapi haina mashiko wala miguu ya kusimamia.
Hapo sasa utajua we mwenyewe mkuu! Hujui tu uvumilivu wa kuanza na mtu chini ntajichosha kukuelezea.. magumu anayopitia mtu kumvumilia mwenzie vishawishi anavyovuka mpaka wafikie lengo! Jinsi mtu unavyojikana ili mwende sambamba na huyo masikini… Halafu anajipata anajiona matawi; hivi nilikutanaje kutanaje na hili limwanamke!! Hapa hatuongelei tamaa ya pesa tunaongelea kuanza na mtu chini, kama huwezi kutuliza fahamu vzr unakimbilia tamaa ni ww sasa! Sio kila jambo ni kuhusu tamaa na sio kila mtu ana tamaa..
 
Hapana na hapo ndipo tunapo ubaini uongo wako, ukweli ni kwamba wanawake wengi ni wenye tamaa na kupenda wanaume wenye uchumi mzuri, hoja ya kwamba masikini huwa anabadilika akijipata na kuwaona wanawake ni makapi haina mashiko wala miguu ya kusimamia.
Pata vitu kulingana na uwezo wako , tatizo letu tunataka pisi kali na hatuna kitu mifukoni ndio maana vilio ni vingi.

Huko kyela wamejaa wanawake kibao wala hawachagui na wapo tayari kuanza moja na wewe bwashee
 
Na ukizingatia kwamba zaidi ya watanzania 47m ni masikini, mabinti wengi wataolewa na masikini watake wasitake. Bora wajiandae kisaikolojia tu.
Wengi wataolewa ndio ila kuna pisi hatutakaa tuziguse mjomba, bora tukomae kuzisaka tu.

Ebu fikirai hata wewe hamisa mobeto ni awe mke wa Mjusi Sharobalo !!!!!!!
 
Hapo sasa utajua we mwenyewe mkuu! Hujui tu uvumilivu wa kuanza na mtu chini ntajichosha kukuelezea.. magumu anayopitia mtu kumvumilia mwenzie vishawishi anavyovuka mpaka wafikie lengo! Jinsi mtu unavyojikana ili mwende sambamba na huyo masikini… Halafu anajipata anajiona matawi; hivi nilikutanaje kutanaje na hili limwanamke!! Hapa hatuongelei tamaa ya pesa tunaongelea kuanza na mtu chini, kama huwezi kutuliza fahamu vzr unakimbilia tamaa ni ww sasa! Sio kila jambo ni kuhusu tamaa na sio kila mtu ana tamaa..
Naona sasa umeanza kuchomoza makucha hadharani na kujikita kwenye ukweli angalau kwa asilimia chache anyway mwanamke ni kiumbe kilichoumbwa kwa njia ya ajabu sana na isiyo eleweka ni ngumu kamwe kwa mwanaume kutambua mwanamke anataka nini hasa kwa nyakati tofauti.
 
Na ukizingatia kwamba zaidi ya watanzania 47m ni masikini, mabinti wengi wataolewa na masikini watake wasitake. Bora wajiandae kisaikolojia tu.
Wenyewe wanelewa hela ilivyokuwa ngumu lakini wanavyoweka demand unaweza sema wao ni foreigners hawajui hali halisi ilivyo nchini.

Wakiwa kwenye peak yao ya umri wanajisahau sana wanajifanya wao ni flagship.

Miaka ikisogea wanaanza kumsumbua Mwamposa.

Unakuta geto limejaa mafuta na maji, huku Mwamposa, kushoto Kuhani Musa, na wengine hata siwajui.

Hii imefanya hadi nikienda kwenye mageto yao huwa najipanga vizuri, nikifika mlangoni sivui viatu nazama navyo ndichi kuepuka kuteleza na mafuta.

Just a precaution isintokee kama ya Kanumba.
 
Ni ukweli wa wazi kabisa , kuna pisi ukikutana nayo , unalinganisha mfuko wako na uzuri na urembo alio nao , kama mtu mwenye busara tu unaona uvunge hata kama umemuelewa .
Pisi za aina hiyo huwa naamua kujenga uhusiano nazo wa kibiashara na siyo upendo kwa masaa machache kulingana na mfuko unapumuaje kisha tunaachana, kusema kwamba niimiliki milele hapo nitakuwa mshirikina kwa kweli!
 
Badilikeni muolewe mtakuja kushituka mmeshakuwa vibibi na siyo mishangazi tena kusema kwamba mtabahatika kupendwa na dogodogo!
Ndoa sio kipimo cha mafanikio! After all walioko ndoani wanatoka kila kukicha..
CDA43B97-C261-4AD3-B252-976F475DB606.jpeg
🤝🏽
 
Back
Top Bottom