Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

Wanawake wengi hawawataki wanaume maskini

Unadhani ni kwanini wanawake wengi miaka hii hawataki kuolewa na wanaume maskini wanao anzia chini !!?
Manaa wakisha pata boxer zakubadilisha wewe ni takataka mbwa nyoko wewe nimekaa na mtu miaka mitatu nampelekea chakula cha home na mpikia namfulia nakama kuna vipesa nampa ili aende kununua material muda simuda akaenda kumuona mzungu akamuoa wameshazaa mtoto ni mdogo anakuja kwa dharau mimi nimeshaoa ila unaweza kuw amke mdogo sintopinga ili nikurudishie fadhila zako kweli nilikaa nawewe miaka yote mimu nikafanywe hawara kweli hii ni aibu
 
Kwani hao vibopa wenye mawe wanaotoka na pisi kali unadhani hawagongewi?

Tena anaweza kuliwa na msafisha kucha tu au muuza genge.

Swala la mtu kuwa na hela ni swala ambalo liko subjective.

Ni kiasi gani ambacho mtu akimiliki atapata recognition ya kuwa ni mtu mwenye hela?

Na wanaposema mwanamke anataka hela, anataka shingapi?

Ni kiasi gani cha pesa kinachomtosha mwanamke ili aonekane yupo kwenye mahusiano sahihi?
Hio ni infinite😂 huwezi kuipima ila condition ni kumudu luxuries anazopenda mwanamke. Wengi wakiona humudu kuwapa luxury lifestyle wanasneak out.
 
Tuupige vita umasikini kwa nguvu zetu zote.

vilevile true love haizingatii money.
Inazingatia mtakula nini au girlfriend wako ni robot kuna kuvaa kupendeza mtu akishiba hata kuliwa anakuwa ananguvu .
MImi kwa nilipofikia mtu maskini hapana .
NImekuwa chambo la kuwa saidia wanaume maskini watajirike na wanaoa wengine wakitajirika kwa sasa huna hela niache tu. Siwezi maisha naudhubutu wakuishi kwa shida kisa watoto wawatu.
Acha acha waseme wakisema mchana eh usiku watalala
 
Hiyo ni Sayansi ya kikanjanja,
Baga, pizza, chips kuku n.k havina shida na mchicha sio Bora kuliko hivyo kwa sababu huwezi kulinganisha mchicha dhidi ya protein au wanga.

Hiyo siyo ‘sayansi ya kikanjanja’ kama unavyodai.

Utafiti wa lishe umeonyesha wazi kiwa mboga mboga na vyakula vya asili vina vitamini, madini na fiber ambavyo burger na pizza havina.

Na hata hizo wanga na protein hazipo kwa kiwango kikubwa.

Vyakula vya fast food vina mafuta mengi, sukari na chumvi kupita kiasi na vinahusishwa moja kwa moja na kisukari, shinikizo la damu na unene.

Kwa maana hiyo kwa mwanaume ambaye anampenda mke wake, basi piza, baga na vyakula vingine junk food hawezi kuruhusu mke wake ale.
 
Hio ni infinite😂 huwezi kuipima ila condition ni kumudu luxuries anazopenda mwanamke. Wengi wakiona humudu kuwapa luxury lifestyle wanasneak out.
Luxuries nazo ni subjective.

Tukishafika kwenye mambo ya expensivu shiti gademiti teki iti o livu iti, life la kituristi.

Kila mtu anakuwa na demand zake na viwango vyake.
 
Inazingatia mtakula nini au girlfriend wako ni robot kuna kuvaa kupendeza mtu akishiba hata kuliwa anakuwa ananguvu .
MImi kwa nilipofikia mtu maskini hapana .
NImekuwa chambo la kuwa saidia wanaume maskini watajirike na wanaoa wengine wakitajirika kwa sasa huna hela niache tu. Siwezi maisha naudhubutu wakuishi kwa shida kisa watoto wawatu.
Acha acha waseme wakisema mchana eh usiku watalala
If she supported you when you was broken and now you got rich.

Leave her so she can help another brother.
 
Katika jamii za viumbe wote duniani majike/wanawake hawapendelei sana madume/wanaume dhaifu/masikini/losers, tena shukuru katika jamii ya binadamu kuna unafuu kiasi kwa sababu Kuna wanawake wachache huwa hawajali au wanawake waliofanikiwa huwa tayari kuwahudumia wanaume wa aina hiyo. Hili ni somo katika evolution,
Vipi tukija kwenye realitic mkuu. Tuna wanaune wenye hela wa kutosha kuoa wanawake wote kwenye dating pool? Kumbuka mwanaume anafika umri wa mtu mzima akiwa bado ni mwanafunzi au tegemezi kwa wazazi tofauti na mwanamke yeye anafika huo umri akiwa ready made.

Harafu tuangazie kidogo ile sera ya usawa wa kijinsia. Kuna umuhimu wowote kumpa girl child fursa ya elimu na ajira kama mwisho wake ataishia ku-demand lifetime security and provision kutoka kwa mwanaume?
 
Daah! Wakati napanga kukuita uje kuniokoa kwenye hii debate, kumbe mmeungana kunichangia.
Hahahaaa. Niite tu ntabadili gia angani. 🤪
Kutumia line 1 kunamzuiaje mtu kuchepuka? Huyo man unakuwa naye ndani tu kama mwali mkiburudishana? Hatoki kwenye mishe? Hasafiri?
Ngoja aje atujibu hili ni swali lake bila shaka.
 
Nimetolea mfano tu kuonyesha jinsi mlivyo unrealistic lakini simaanishi kwamba wote mtakua identical hapo kwenye mfano wa mahari. Katika situation yako unrealistic expectation inaweza kuwa ni imani kwamba mara zote kosa ni la mwanaume tu, kwamba nyie wanawake hamna flaws zozote.

Kwanini umehitimisha moja kwa moja kwamba winga aekuacha sababu kapata hela? offcourse pesa zinampa mtu uwezo wa kuondoka pale ambapo anaona amedharauliwa au sio hadhi yake tena, lakini wewe mwenyewe ushawahi kujifanyia tathmini na kugundua upo perfect kabisa?

katika mapenzi yenu kabla winga hajapata hela hakuna sehemu ulimuinyesha disrespects lakini akaamua kuendelea tu na wewe kwa sababu wakati huo hakuwa na options zingine?
Mambo ni mengi sana ila alivyoishiwa kwanini tena akanikumbuka?
 
If you love someone you never make it hard for him/her to get to you.
Kuanza kuomba omba hela kabla hamjafahamiana na mtu vizuri ni sign mbaya haijalishi unapenda kweli au unatania its a redflag
Umenikimbusha ishowspeed kwenye tour yake Nigeria alivyokuwa akiombwa hela, raia wengi wa Nigeria waliona kama wamedhalilishwa na hao watu kwa hiyo tabia.
 
Kupishana kupo kwenye mahusiano yote, lakini kitendo cha kuanzisha mapenzi mapya tayari ni sababu ya kuachwa
Muda mwingine labda ni vile tu alikua hajazoea hela, ungemvumilia kidogo tu mngekua mnasherekea miaka yenu 10++ ya ndoa mkiwa na watoto wenu.
Alifanikiwa, kwa sasa karudi kulekule(mwanzo
Ni kawaida. Mara nyingi kama mlipambana pamoja mkasapotiana mkiachana lazima kudrop ila kama mwanaume ulijipata ndo ukaoa ni either utamaintain au kudrop kidogo ila kwenda viral ni ngumu ndo maana vijana wengi wenye mianzo mizuri ya kimaisha wakioa wanakua wa kawaida.
 
Muda mwingine labda ni vile tu alikua hajazoea hela, ungemvumilia kidogo tu mngekua mnasherekea miaka yenu 10++ ya ndoa mkiwa na watoto wenu.

Ni kawaida. Mara nyingi kama mlipambana pamoja mkasapotiana mkiachana lazima kudrop ila kama mwanaume ulijipata ndo ukaoa ni either utamaintain au kudrop kidogo ila kwenda viral ni ngumu ndo maana vijana wengi wenye mianzo mizuri ya kimaisha wakioa wanakua wa kawaida.
Kumbe! Basi sio kosa langu! Mtu ameshakwmabia humfai sio mwanamke anayemtaka utalazimishaje hapo? Miaka 10 hmm sio kweli!
 
Hiyo siyo ‘sayansi ya kikanjanja’ kama unavyodai.

Utafiti wa lishe umeonyesha wazi kiwa mboga mboga na vyakula vya asili vina vitamini, madini na fiber ambavyo burger na pizza havina.

Na hata hizo wanga na protein hazipo kwa kiwango kikubwa.

Vyakula vya fast food vina mafuta mengi, sukari na chumvi kupita kiasi na vinahusishwa moja kwa moja na kisukari, shinikizo la damu na unene.

Kwa maana hiyo kwa mwanaume ambaye anampenda mke wake, basi piza, baga na vyakula vingine junk food hawezi kuruhusu mke wake ale.
Narudia tena, hiyo ni Sayansi ya kikanjanja.
Kwanza, Binadamu anahitaji vitamin, madini, wanga, na protein. Mchicha hauna protein au wanga, burger na pizza vina protein na wanga.

Pili, Kuna watu wengi tu wanashindia ugali, mihogo, vitumbua, dagaa na mchicha na bado wana viribatumbo. Tatizo sio burger, pizza au chips bali unakula kiasi gani na unafanya kazi ya aina gani.
 
Vipi tukija kwenye realitic mkuu. Tuna wanaune wenye hela wa kutosha kuoa wanawake wote kwenye dating pool? Kumbuka mwanaume anafika umri wa mtu mzima akiwa bado ni mwanafunzi au tegemezi kwa wazazi tofauti na mwanamke yeye anafika huo umri akiwa ready made.

Harafu tuangazie kidogo ile sera ya usawa wa kijinsia. Kuna umuhimu wowote kumpa girl child fursa ya elimu na ajira kama mwisho wake ataishia ku-demand lifetime security and provision kutoka kwa mwanaume?
Wanaume katika jamii nyingi huwa na mwanamke zaidi ya mmoja(katika dini ya Kiislamu wanaoa kabisa rasmi wanawake zaidi ya mmoja, kwa upande wa Wagalatia wanaume wengi pia wana mke zaidi ya mmoja ingawa sio rasmi).

Sera ya usawa wa kijinsia kwa sasa haina umuhimu tena, imepitwa na wakati, hii sera ilipaswa kuwepo nyakati hizo wanaume wanawapiga wanawake, kuna ukeketaji, hakuna pedi za bei rahisi, na wakati wazazi wengi walikuwa wanawazuia watoto wa kike kwenda shule.
 
Narudia tena, hiyo ni Sayansi ya kikanjanja.
Kwanza, Binadamu anahitaji vitamin, madini, wanga, na protein. Mchicha hauna protein au wanga, burger na pizza vina protein na wanga.

Pili, Kuna watu wengi tu wanashindia ugali, mihogo, vitumbua, dagaa na mchicha na bado wana viribatumbo. Tatizo sio burger, pizza au chips bali unakula kiasi gani na unafanya kazi ya aina gani.
Sayansi ya lishe huijui, ndio utaweza kujua mwanamke anahitaji nini?

Nani alikuambia mchicha hauna protein?

Mkuu ulaji wa vyakula vya asili kama hapo ulivyotaja havina uhusiano wowote na tatizo la kiribatumbo.

Kiribatumbo husabaishwa na mwili kuhifadhi calories nyingi ambazo haziunguzwi.

Vyakula vinavyoongoza kuwa na calories nyingi ni hivi fried foods kama Chips, mandazi, samaki wa kukaanga, kuku wa kukaanga nk. Mafuta mengi ndio calories nyingi.

Sayansi ya lishe inataja vyakula vya mafuta kuwa na kiwango kikubwa cha calories, inasemwa kuwa gramu 1 ya mafuta ni sawa na calories 9

Pombe gramu 1 sawa na calories 7

Wanga na sukari gramu 1 sawa na calories 4.

Kwa hiyo kama uliona wala mchicha wana viribatumbo, basi watakuwa wameangukia kwenye pombe.
 
Back
Top Bottom