Wanawake wengi hawajui kinachoendelea nchini na duniani

Wanawake wengi hawajui kinachoendelea nchini na duniani

Wanawake weng ni Wadadisi wakubwa kwenye Hisia za watu, Mahusiano (ndoa, urafiki, familia) na Nini mtu anafikiria au anahisi.

Inawezekana anapishana na info tofaut ya namna hizo kila mara ila anapuuzia.
Ndio walivyoumbwa.

Ambao wana weza zaid ya hayo ni wale waliolelewa kwenye Malezi na Elimu tofaut na aka adapt. (Kujipush to the Limit- na wakaweza) Kwahiyo inakuwa advantage kwake.

Ila hii haimanishi atapoteza ule udadisi wa hisia za watu ulioko ndan yake kama mwanamke. Au sio shemela Seran
Wengi wadhani ukianza kutamka termilogies nzito nzito ndio kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri🤣

Uwezo wa kuchambua mambo hauna uhusiano na elimu yako, utajua terminologies za kiafya(down syndrome) nitajua za kisheria(malice aforethought), maisha ndivyo yalivyo!

kila mtu ana personal interest zake..we unafurahia siasa mwingine anafurahia michezo, mwingine anapenda utawa mwingine atapenda uzinzi!🫴🏾

Emotional imtelligence, malezi ya jamii yanawaganya wawe karibu na watu huo sio udhaifu ni aina ya akili emotional and social intelligence! Kutozipa uzito au kutozichagua sio kutokuwa na idea nazo!

Hata mimi nikija hapa na ma-activist na ma theorists kama Herbert spencer, August comte, frantz fanonz, karl max na max weber, sio kila mtu kawasikia we ukija na kina charles darwin sjui gregor mendel isaac newton mi pia siwajui.. haya ya kujifunza darasani tusiringie sana kila mtu akitulia akajifunza ni rahisi kuyafaham tutofautishe uchaumbuzi na huu ujuaji mwingine.. sawa shem shem😅
 
Wengi wadhani ukianza kutamka termilogies nzito nzito ndio kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri🤣

Uwezo wa kuchambua mambo hauna uhusiano na elimu yako, utajua terminologies za kiafya(down syndrome) nitajua za kisheria(malice aforethought), maisha ndivyo yalivyo!

kila mtu ana personal interest zake..we unafurahia siasa mwingine anafurahia michezo, mwingine anapenda utawa mwingine atapenda uzinzi!🫴🏾

Emotional imtelligence, malezi ya jamii yanawaganya wawe karibu na watu huo sio udhaifu ni aina ya akili emotional and social intelligence! Kutozipa uzito au kutozichagua sio kutokuwa na idea nazo!

Hata mimi nikija hapa na ma-activist na ma theorists kama Herbert spencer, August comte, frantz fanonz, karl max na max weber, sio kila mtu kawasikia we ukija na kina charles darwin sjui gregor mendel isaac newton mi pia siwajui.. haya ya kujifunza darasani tusiringie sana kila mtu akitulia akajifunza ni rahisi kuyafaham tutofautishe uchaumbuzi na huu ujuaji mwingine.. sawa shem shem😅
Kweli. Ujuaji ni mwingi hasa kwa wanaume.
 
Wengi wadhani ukianza kutamka termilogies nzito nzito ndio kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri🤣

Uwezo wa kuchambua mambo hauna uhusiano na elimu yako, utajua terminologies za kiafya(down syndrome) nitajua za kisheria(malice aforethought), maisha ndivyo yalivyo!

kila mtu ana personal interest zake..we unafurahia siasa mwingine anafurahia michezo, mwingine anapenda utawa mwingine atapenda uzinzi!🫴🏾

Emotional imtelligence, malezi ya jamii yanawaganya wawe karibu na watu huo sio udhaifu ni aina ya akili emotional and social intelligence! Kutozipa uzito au kutozichagua sio kutokuwa na idea nazo!

Hata mimi nikija hapa na ma-activist na ma theorists kama Herbert spencer, August comte, frantz fanonz, karl max na max weber, sio kila mtu kawasikia we ukija na kina charles darwin sjui gregor mendel isaac newton mi pia siwajui.. haya ya kujifunza darasani tusiringie sana kila mtu akitulia akajifunza ni rahisi kuyafaham tutofautishe uchaumbuzi na huu ujuaji mwingine.. sawa shem shem😅
Basi mama utulie sasa
 
Sio wote mkuu,

kuna mademu wanajua kila kitu huwadanganyi ...mfano
Ujue kuna wanawake mpaka wana_bet wanachambua odds kama hawana akili timamu
Hapa kazungumzia kwa wingi..
Wingi ndio unaleta picha kwenye jamii.
Tunasema wahaya ni watu wakujigamba unadhani ni wote?
Wakurya wakorofi, je ni wote?
Waha ni wabishi, je ni wote
Warangi .........
Wanyamwezi .........
Wazaramo.......
Watanga.........
Wagogo .........
Wanyakyusa ............
Wakinga .........
wahehe ...........
wamakonde .......
wachaga ............
Wadigo............

Mtu ataonekana mbaya ama mzuri kwa yale mengi aliyojaa nayo.

Mtu mbaya anaonekana mbaya akiwa na mabaya mengi, lakini pia hawezi kukosa mazuri kabisa.

Hivyo hivyo mtu mwema/mzuri anaonekana mzuri ikiwa ana mazuri mengi, lakini hakosa baya.
 
Kuna mabinti, wanawake na madem wengi wanachosha kuzungumza nao.

Hawana uelewa wa kinachoendelea nchini, duniani, kwenye tech, siasa, wala mada pana.

Mazungumzo yao ni kuhusu drama za celebrities kama kina Diamond na Zuchu. Kutwa kufuatilia watoto wa Paula na Marioo.

Halafu hawafanyii kazi ndoto zao, kwao ni jukumu la mwanaume kuzitimiza.

Mtu hana muda hata wa kufuatilia taarifa ya habari hadi unajiuliza anaishije huyu yaani yeye tamthilia tamthilia na yeye.

Wanafurahi kukomenti kwenye page za umbea wapate likes.

Hata ukimchukua mwanamke aliyesoma ukimtoa nje ya field yake hakuna kingine anachojua zaidi ya umbea.

Mfano mzuri ni hapa JF ingia majukwaa ya tech, intelligence, great thinkers, kimataifa, siasa, ajira na tenda, afya huwezi kukuta mwanamke anacomment cha maana. Ila ingia mada za umbea na ngono MMU wako active

Na hili sio janga la Tanzania tu ni dunia nzima wanawake uwezo wao wa kuchambua mambo mapana ni mdogo sana na wengi hawajui chochote kwenye hii dunia wapowapo tu.

Ni jambo la kushukuru sana kuumbwa wanaume

Inatisha. Niliwahi kusafiri nikafikia kwa jamaa yangu ni relative. Kajenga nyumba nzuri jamaa ni mtu wa hustle sana. Kwa siku chache nilizokaa pale, hakuna siku tuliangalia taarifa ya habari, kwa sababu jamaa huwa anarudi kwa kuchelewa kama ujuavyo jiji la Dar. So shemeji na wote waliopo home ni mwendo wa tamthilia, wote wanahamia sebuleni kuangalia. Hata ratiba ya kusali ibada haipo. Nawashangaa sana wanawake
 
Wanawake ni watu wanaotawaliwa na hisia zaidi kuliko logical thinking, pia jamii nyiyzamani ziliwaweka wanawake mbali na mambo magumu yanayohitaji misuli na kuumiza kichwa kufikiri. Hizo jamii unazoona wanawake wengi wanashiriki mambo magumu ya siasa, Teknolojia na wanapata nafasi za madaraka kwa ushindani imechukua muda mrefu sana kufika hapo, sisi mpaka leo hii bado tupo katika kuwazawaidia wanawake ubunge wa bure bure unaoitwa viti maalumu.
 
Inatisha. Niliwahi kusafiri nikafikia kwa jamaa yangu ni relative. Kajenga nyumba nzuri jamaa ni mtu wa hustle sana. Kwa siku chache nilizokaa pale, hakuna siku tuliangalia taarifa ya habari, kwa sababu jamaa huwa anarudi kwa kuchelewa kama ujuavyo jiji la Dar. So shemeji na wote waliopo home ni mwendo wa tamthilia, wote wanahamia sebuleni kuangalia. Hata ratiba ya kusali ibada haipo. Nawashangaa sana wanawake
Taarifa ya habari sio mambo yao kabisa
 
Inatisha. Niliwahi kusafiri nikafikia kwa jamaa yangu ni relative. Kajenga nyumba nzuri jamaa ni mtu wa hustle sana. Kwa siku chache nilizokaa pale, hakuna siku tuliangalia taarifa ya habari, kwa sababu jamaa huwa anarudi kwa kuchelewa kama ujuavyo jiji la Dar. So shemeji na wote waliopo home ni mwendo wa tamthilia, wote wanahamia sebuleni kuangalia. Hata ratiba ya kusali ibada haipo. Nawashangaa sana wanawake
Ilinikuta hii miezi kadhaa mwaka jana na mwana tunapiga naye project mkoa aliopo nikafikia kwake

Kmmk niliangalia tamthilia za bongo na za mbele mpaka zote nikanza kuzikariri, muda wake na mastaa. Nasikitika mpaka kidume nikaanza kufuatilia kombolela na vacation huwa najilaumu mpaka leo

Yule shemu alikuwa akishika remote yaani kuanzia saa 1 usiku ni tamthilia tu, usiku saa 4 anamalizia Ousmane Bey hadi saa 5 anaenda kulala. Jamaa mke hana

Miezi 3 sebuleni ni Evermore, My love is your fortune na takataka zingine

Nashukuru tulimaliza ile project na jamaa nikawaacha na mitamthilia yao
 
Back
Top Bottom