Kama wanawake wanataka kuwa sawa na wanaume kwanini wamewekwa kwenye kundi maalumu?

Kama wanawake wanataka kuwa sawa na wanaume kwanini wamewekwa kwenye kundi maalumu?

Prof Phraoh AI

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2024
Posts
1,268
Reaction score
2,310
Kwenye sheria nyingi za kimataifa kundi maalum linatajwa kuwa Wanawake, Watoto, Wazee na watu wenye ulemavu.

wakati huohuo wanawake wa dunia ya sasa wanadai 50/50

NATURE HAIJAMUUMBA MWANAMKE KUWA SAWA NA MWANAUME.

ingawa dunia ya sasa inaelekeza nguvu kubwa ili kum push mwanamke, je kwanini hadi wawekeze nguvu kubwa kumpush mwanamke kama angekia yupo sawa na mwanaume?.

kwenye nature kulinganisha jinsia ya kike na ya kiume, kuanzia kwa ndege kuku n.k hadi kwa simba. pote utakutana na role ya kiume katika dominance.

jogoo, dume la ngombe, hadi Simba dume ( na wengine wote katikati ) ni viongozi lakini wanawake wameumbiwa utii na kujali.

sifa kuu ya wanaume kwa viumbe vingi tunavyovijua ni uwezo mkubwa wa nguvu za mwili, ujasiri, utawala, n.k ambavyo katika nature vyote huonekana katika jinsia ya kiume.

Hata kwa binadamu sifa hizi zipo ki asili fikiria mchezo maarufu duniani unaweza kuwa Football, ila ni Football ya Wanaume,
Top 10 ya matajiri wa dunia ni wanaume ( katika history wamewai kuwepo wanawake ila ukisoma historia zao unakuta sehemu kubwa au yote wamerithishwa) na sehemu nyingi nyingi...muhimu utakuta wanaume wanatawala

Kwanini kwa binadamu wanawake na dunia ya sasa inataka ku forge hii na kutaka kuonyesha wanawake ni sawa na wanaume ?

kwanini hata kwenye mbio lazima wathibitishe mshindi kwa wanawake ni kweli mwanamke na hana hormone za kiume ?

ni kwanini wanawake wawekewe urahisi mfano ubunge wa viti maalum na mambo mengi ili ku hakikisha ku balance mizani wawe sawa na wanaume ?

ni kwanini wanasayansi na wote walioleta mabadiliko kwenye dunia hii katika nyanja mbalimbali ni wanaume ?
( ukisema wanawake walinyimwa fursa, kwanini wanyimwe na wanaume kama wapo sawa ?)

ukilinganisha vyote haviishi lakini kiujumla, kwanini wanawake wapo katika kundi maalum ? kundi moja na wazee, watoto na wenye ulemavu. na wakati huohuo wanataka usawa na wanaume ?

Wanawake ni viumbe muhimu na wana role yao muhimu kwenye maisha, bila wao tusingekuwepo, vile vile kwa wanaume. lakini wanawake na wanaume ni tofauti ki majukumu na hatupo sawa hata kidogo.
 
Simba ni dume ni marioo yeye anakaa tu chakula kinaletwa na jike ila jike hali kwanza kabla yake
role yake ni kuwinda vitu vikubwa na vyenye nguvu na vyenye uhutaji wa kutumia akili nyingi, simba dume hasahasa anahusika kuwinda Tembo, Twiga, Nyati. wanyama wanaohitaji extreme power ila hautamkuta anawinda swqla na akikuta jike wanamuachia anakula yeye
 
Simba ni dume ni marioo yeye anakaa tu chakula kinaletwa na jike ila jike hali kwanza kabla yake
Kuna angle ukiangalia ni kua jinsia Me ina ujanja ujanja mwingi sana , jogoo yeye anachojua ni kushenyenta tu, kulea analea tetea.

Na wanyama wote dume linashenyenya likimaliza linapita hivi.
 
Kuna angle ukiangalia ni kua jinsia Me ina ujanja ujanja mwingi sana , jogoo yeye anachojua ni kushenyenta tu, kulea analea tetea.

Na wanyama wote dume linashenyenya likimaliza linapita hivi.
Jongoo anahonga ili ale mzigo tu ,utaona anachakura chakula chini halafu anamwita mtetea😅
 
Kuna angle ukiangalia ni kua jinsia Me ina ujanja ujanja mwingi sana , jogoo yeye anachojua ni kushenyenta tu, kulea analea tetea.

Na wanyama wote dume linashenyenya likimaliza linapita hivi.
Mbali na kushenyta, kwanza jogoo anahakikisha member wake wanakula, wanakua salama, wakigombana anaamua, analinda usalama.
hatakama una kuku jaribu kushika kuku utaona jogoo anakuletea shida anatetea kama actuvist ili kutetea member wake. anafanya vitu vingi sana kwaajili ya kuku

na kuku wanamuheshimu kitu kinachoonyesha yeye ni kiongozi wao
 
Mbali na kushenyta, kwanza jogoo anahakikisha member wake wanakula, wanakua salama, wakigombana anaamua, analinda usalama.
hatakama una kuku jaribu kushika kuku utaona jogoo anakuletea shida anatetea kama actuvist ili kutetea member wake. anafanya vitu vingi sana kwaajili ya kuku

na kuku wanamuheshimu kitu kinachoonyesha yeye ni kiongozi wao
Jogoo?? Mkuu unaongelea kuku unaofuga ndani au hawa wa kienyeji ambao miguu yao ndo msosi wao??
 
Jongoo anahonga ili ale mzigo tu ,utaona anachakura chakula chini halafu anamwita mtetea😅
na ndege wengi wanafanya na wanyama wengi wanafanya, hata kwa binadamu, mgombea anahonga wananchi wampigie kura, hii tosha ina onyesha jogoo ni kiongozi..

kuna wanyama wengi wana hustle ili kuoata jike. hustle yao ni kushawishi, ndivyo hivyo kwa binadamu: malaya utamshawishi kwa hela utachapa, na vilevile demu yeyoye itabudi wewe ndo umshawishi awe wako٫ utamshawishi kwa namna zako mbalimbali, ila lengo ni moja
 
Yani yeye watoto hawa mhusu kabisa ,yeye anawaza kukojoa kibao chake cha sekunde 2 tu
Na vina ujeuri kwelikweli, hasa vikiingiliana makoloni yao.

Ukute jogoo 3 zinafukuzia tetea moja, aloo hilo bifu lake ni balaa.
 
Na vina ujeuri kwelikweli, hasa vikiingiliana makoloni yao.

Ukute jogoo 3 zinafukuzia tetea moja, aloo hilo bifu lake ni balaa.
Kuna wale mitetea wana upwiru yeye hangoji kukimbizwa anajilaza tu mbele ya jogoo akishahongwa chakula😅
 
kama wanawake ni sawa na wanaume kwanini hadi tuwatetee na tuhakikishe wamepewa "haki yao"
 
Back
Top Bottom